Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Wabarikiwe mno.Hapo kuna Police wamevujisha mchongo ,maana hadi picha ya gari imepigwa kituoni na maelezo kuwa imebadilishwa namba.simply kuna mapolice hawakubaliani na hayo matendo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabarikiwe mno.Hapo kuna Police wamevujisha mchongo ,maana hadi picha ya gari imepigwa kituoni na maelezo kuwa imebadilishwa namba.simply kuna mapolice hawakubaliani na hayo matendo
Wamuachie huyo dogo Kwa nini wanatisha watu? Lengo ni lipi hasa?Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.
Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).
Soma Pia: Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701
Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
Yana mwisho na huo mwisho ni mbaya sana .Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.
Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).
Soma Pia: Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701
Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
Toka alfajiri sana hadi muda huu hatuwezi kuyapuuza mashaka yako.Sidhani kama yupo hai...😭😭
Zitto atalifikisha mbali ili suala,kama kweli wanae wangemuachia tu kwakweli..Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.
Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).
Soma Pia: Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701
Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
Nani awapigie kura?Wamuachie huyo dogo Kwa nini wanatisha watu? Lengo ni lipi hasa?
By the way Kuna watu wanamuharibia Mama,bila shaka bond ya Chadema/ACT Wazalendo mwakani itakuwa kubwa sana maana maslahi ya pamoja ndio yatawaunganisha.
Acha upuuzi wako hapa huyo Mama shetani kabisa alafu umemuweka kwenye Avatar kabisa na huenda na wewe leo ulikuwa kanisan huku kwenye Avatar yako umemuweka shetani wa kikeMadaraka yamempanda kichwani ule utu aliokua nao mwanzo umeshapotea. Najiulizaga, ina faida gani uuwe watu wakati na wwe utakufa tu siku moja. We iba kura tu kila uchaguzi maisha yaendelee ila kuuana na kutekana is too much.
Nakumbuka 2020 CCM ilishinda almost kata zote na majimbo yote ila cha ajabu pale singida mjini kuna wamama waliokua mawakala wa Lissu wakapewa kesi ya uhujumu uchumi na haikua na dhamana. Nikawaza sasa kama umeshashinda unaenda kutesa watu wa nini? Kama huyu Mama kahusika basi mwisho wake utakua mbaya na wa aibu.
Inaumiza sana, wanawake basi tumekuwa viumbe vya ajabu sanaHivi ushawai ona mateso ya mama wa kambo?
maana haiwezekani mwanamke mwenye utungu akawa katili kwa watoto wa wenzie namna hii....
Mwanake nikiumbe kingine kabisa hujawai sikia kajifungua na kutupa mtoto?
NIKAWAIDA
Tupunguze kuwachukia tu,Japo wapo wengine wa hovyo na wengine wema.hahahahaWabarikiwe mno.
Kwa maana nyingine ni kwamba hayo ni maagizo kutoka juuTumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.
Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).
Soma Pia: Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701
Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
Maigizo hayo nondo siyo wa kutekwaTumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.
Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).
Soma Pia: Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701
Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
Zitto wewe ulijifanya kukalia kimya uhalifu wa huyo ajuza anayejifanya kukuita wewe "mwanae". Sasa endelea kukaa kimya kama itakusaidia. Ukichaa wa Jiwe wa kutaka kutawala milele tayari umemuingia huyo chura kiziwi.Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.
Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).
Soma Pia: Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701
Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
Yanachukiwa matendo sio watu. Ni vile tendo linalochukiwa huwa limemnata mtu na kuwa kitu kimoja.Tupunguze kuwachukia tu,Japo wapo wengine wa hovyo na wengine wema.hahahaha
Kuna Michezo unachezwa kisayansi sana kutokea Magambani!Wamuachie huyo dogo Kwa nini wanatisha watu? Lengo ni lipi hasa?
By the way Kuna watu wanamuharibia Mama,bila shaka bond ya Chadema/ACT Wazalendo mwakani itakuwa kubwa sana maana maslahi ya pamoja ndio yatawaunganisha.
Zitto ni mnafiki. Hawezi kumnyooshea kidole ajuza. Yule ni mama yake wa kufikia.Niliwaambia Zitto ni tofauti na Mwamba
Huyo Dogo atapatikana lije jua ije mvua 🐼
Madaraka na Fedha Huwa vinaondoa utu, ubinadamu na haya! Au aibuMadaraka yamempanda kichwani ule utu aliokua nao mwanzo umeshapotea. Najiulizaga, ina faida gani uuwe watu wakati na wwe utakufa tu siku moja. We iba kura tu kila uchaguzi maisha yaendelee ila kuuana na kutekana is too much.
Nakumbuka 2020 CCM ilishinda almost kata zote na majimbo yote ila cha ajabu pale singida mjini kuna wamama waliokua mawakala wa Lissu wakapewa kesi ya uhujumu uchumi na haikua na dhamana. Nikawaza sasa kama umeshashinda unaenda kutesa watu wa nini? Kama huyu Mama kahusika basi mwisho wake utakua mbaya na wa aibu.