milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Hii aina ya ukamataji wa raia,ni aina ya ugaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
As long as ww ni upinzani jua upohatarini,wanapunguza kasi wa upinzani mwakani kuwe mteremko.Police wanakuwa kama genge la wahuni. Sasa wananchi watapata wapi msaada?
Kwa hili Polisi wetu mnatia aibu kama mnamkamata mtu mkiwa na nia njema kwa nini mnafichaficha mambo?Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.
Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).
Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701
Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
Usihangaike naye huyo, kama Bwana wangu aishivyo, anachotafuta atakipata.Tanzania yetu....
Hivi mama,umeridhika na haya yote kweli?
Kama ni maagizo yako I swear mwisho wako waweza kuwa wa aibu.... naamini siyo wewe maana haiwezekani mwanamke mwenye utungu akawa katili kwa watoto wa wenzie namna hii...hapana haiwezekani ikawa ni maagizo yako mama.Daah
Wanakata GogoWaliokujakumteka yule bonge wakamshindwa walitaja kituo Cha Gogoni..kunanini Gogoni??
Hakika. Ni mwenzao ktk serikali sidhani kama fisi watamkula fisi mwenzao.Niliwaambia Zitto ni tofauti na Mwamba
Huyo Dogo atapatikana lije jua ije mvua 🐼
Usiwe mdini ndugu. Huyu ni binadamu na ana damu na ndugu zake wanaumia. Tanzania ni yetu tuishi kwa amaniHuyu si dini yao kama kibao tu. Sasa inakuaje?
Sidhani!UOGA TU.anawaogopa viongozi wake alishasema yeye hautaki haya mambo hajawahi kuua . lakini kuwakataza anaogopa
Kwani Mwamba siyo mserikali? 😂Hakika. Ni mwenzao ktk serikali sidhani kama fisi watamkula fisi mwenzao.
Hapo kuna Police wamevujisha mchongo ,maana hadi picha ya gari imepigwa kituoni na maelezo kuwa imebadilishwa namba.simply kuna mapolice hawakubaliani na hayo matendoKwa hili Polisi wetu mnatia aibu kama mnamkamata mtu mkiwa na nia njema kwa nini mnafichaficha mambo?
Hivi ushawai ona mateso ya mama wa kambo?Tanzania yetu....
Hivi mama,umeridhika na haya yote kweli?
Kama ni maagizo yako I swear mwisho wako waweza kuwa wa aibu.... naamini siyo wewe maana haiwezekani mwanamke mwenye utungu akawa katili kwa watoto wa wenzie namna hii...hapana haiwezekani ikawa ni maagizo yako mama.Daah
Duh,...tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates.
Zito anataka kuwaumbua polisi maana kama yupo humo kweli mtihani uliopo ni namna ya kumtoa bila makachero ya Zitto kunyaka tukio na camera
Hapo kuna Police wamevujisha mchongo ,maana hadi picha ya gari imepigwa kituoni na maelezo kuwa imebadilishwa namba.simply kuna mapolice hawakubaliani na hayo matendoZito anataka kuwaumbua polisi maana kama yupo humo kweli mtihani uliopo ni namna ya kumtoa bila makachero ya Zitto kunyaka tukio na camera.
Sidhani. Kwa makesi ya u-osama aliyobambikwa nayo na kukaa selo, kuharibiwa biashara nk nk nashindwa kuamini. Isipokuwa bibie alimhadaa kwa kauli laini za 4R kwa mujibu wa T.A.L.Kwani Mwamba siyo mserikali? 😂