Pre GE2025 Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba

Pre GE2025 Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yesu alisema mchungaji mwema wa kondoo huwaacha Kondoo 99 na kurudi nyikani kumtafuta huyo Kondoo 1 aliyepotea

Huko Chadema wamepotea wangapi na mmebaki kulalama tu X?

Angalia hekaheka za Ayatollah kuanzia Nondo atekwe asubuhi 😂
Zitasaidia nini Wakati yeye muda wote amekalia kimya uhalifu wa "Hawa" Dhalimu!?
 
Muda mchache uliopita Zitto Kabwe amepost picha ya Land cruiser iliyomteka Abdul Nondo.

Gari hiyo ulikuwa na namba za IST wameikuta kituo cha Gogoni Dar ikibadirishwa namba kutoka IST nakupachikwa nyingine.

Imagine Police wanasema hawajui wakati wao ndio wamehusika,watakataa vipi kwamba wao ndio wamewashikilia wakina Soka na wengine,?.

Tuna serikali yakipuuzi sana,polisi wanatumika kama mpira dume tu,itafika wakati polisi wataanza kubamizwa huku mtaani ndio akili zitawajia.
 
Ni dhahiri kuwa Polisi ndio wahusika wakuu wa matukio ya utekaji. Na kama kuna idara nyingine zinahusika basi zinalitumia hilo jeshi ovu la polisi.

Rai yangu kwa serikali na chama cha mapinduzi, aina hii ya utawala huwa na mwisho mmoja tu, it's a matter of time!
 
WaPhilipino wameanza kuchoka...🤣
Soon kitawaka...🤨
 
Ukishaamua kuishi Afrika, kubali kuishi na mbanga zake...
 
mi nashauri vijana waachane na siasa tu maana wanageuzwa mbuzi wa kafara na wakuu wa vyama vyao,kwanza tanzania upinzani hakuna haiwezekani kinatawala chama kimoja miaka nenda rudi,hakuna cha demokrasia ni udikteta tu
 
Ni kama unajaribu kusema huyu naye atauawa kama Kibao!?
Fedha na Madaraka ni sumu ya utu na ubinadamu!
Fedha na madaraka mara nyingi hubadilika kuwa sumu inayoharibu utu na ubinadamu, hasa pale yanapotumiwa vibaya na wale waliokabidhiwa dhamana ya kuongoza. Katika hali ambapo viongozi wa kisiasa wanajiona wanufaika wakuu wa fedha na madaraka, hutumia nafasi zao kugeuza vyombo vya dola, hususan polisi na usalama wa taifa, kuwa vyombo vya dhuluma na ukandamizaji. Kwa kutumia nguvu hizo, hufanikisha utekaji, mauaji, na vitisho dhidi ya wale wenye mawazo tofauti au wale wanaotaka kushindana nao kwa njia za kidemokrasia. Matendo haya si tu yanaharibu misingi ya haki na usawa, bali pia yanadhoofisha heshima ya vyombo vya dola kama walinzi wa raia.

Hali hii inapokua jambo la kawaida katika jamii, madhara yake ni makubwa na ya muda mrefu. Vyombo vya usalama vinapoonja utamu wa madaraka ya kisiasa, huanza kujiona kuwa sehemu ya mchakato wa kutafuta mamlaka. Mwishowe, wanaweza kuwageuka hata wale waliowatuma, wakitumia mbinu zilezile za ukandamizaji na nguvu kuhakikisha wao wenyewe wanashika madaraka hayo. Hii husababisha mzunguko wa uongozi wa mabavu, ambapo dola zinatumika kwa maslahi binafsi badala ya kulinda haki za raia, na hatimaye jamii huingia kwenye machafuko, hofu, na kupoteza imani kwa mfumo mzima wa uongoz
i.
 
mi nashauri vijana waachane na siasa tu maana wanageuzwa mbuzi wa kafara na wakuu wa vyama vyao,kwanza tanzania upinzani hakuna haiwezekani kinatawala chama kimoja miaka nenda rudi,hakuna cha demokrasia ni udikteta tu
Huwezi kuachana na kitu unapenda kufanya,utafika muda polisi watapigwa humu mitaani
 
Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.

Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).

Soma Pia: Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701

Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
CHADEMA wote,ACT wote na wale wapenda haki naombeni kituo Cha GOGONI tuanze ncho.Hicho kituo kinatakiwa kigeuke majivu haraka sana.
 
mi nashauri vijana waachane na siasa tu maana wanageuzwa mbuzi wa kafara na wakuu wa vyama vyao,kwanza tanzania upinzani hakuna haiwezekani kinatawala chama kimoja miaka nenda rudi,hakuna cha demokrasia ni udikteta tu
Ushauri wako ni WA kijinga sana na cowards kama wewe hawana mchango wowote kwenye taifa hili.
 
Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.

Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).

Soma Pia: Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701

Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
Hii sio haki.....huu uhuni tuukatae.
 
Gogoni si ndio yule bonge aliyetaka kutekwa akajinusuru ilikuwa watekaji wampeleke hapo?
 
Back
Top Bottom