Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo jamaa jinga sana.Upumbavu mtupu.
Kwahiyo mtu kutekwa ndio mashindano kwako ya kuona nani akiongea ataachiwa mapema?
Useless old folk.
CHOMENI MOTO KITUO- HICHO ACHENI UBWEGEThis is too much or we have to wait to take the actions against all police in all over the country.
Wewe unafikiri kwanini ile Sheria iliyopitishwa na Bunge ya kuwataka TISS wa waruhusiwe kuwakamata wanaowahisi ni wahalifu na kuwahifidhi kwenye Mahabusu yao?? Unafikiri kwanini waliwekewa kinga ya kutoshitakiwa wanapotekeleza majukumu yao hata kama wametenda makosa?? Na ili Sheria ile iweze kutumika nilazima isainiwe na Rais. Je Rais aliyeidhinisha ni yupi??Tanzania yetu....
Hivi mama,umeridhika na haya yote kweli?
Kama ni maagizo yako I swear mwisho wako waweza kuwa wa aibu.... naamini siyo wewe maana haiwezekani mwanamke mwenye utungu akawa katili kwa watoto wa wenzie namna hii...hapana haiwezekani ikawa ni maagizo yako mama.Daah
Mfano mzuri Haiti..Hii nchi tusipoangalia kuna siku tutaingia kwenye machafuko ya raia against state machinery,ngoja watu wachoshwe na haya matukio ni suala la muda tu.
Brother/sister Huwa unajisikia furaha kutetea waovu?.Gentleman,
huyo kijana anafahamika kwa ujanja ujanja wa kujipatia fedha au simpathy kwa jamii,
.Hata hivyo hatuwezi kupuuza au kuvumilia aina hii ya matukio yenye kuibua hisia na taharuki kwa jamii,
wahusika watabainika soon, na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
ni muhimu ustahimilivu na subra vikachukua mkondo wake 🐒
Magufuli ndio muasisi wa huu ubaradhuli.Ayatola Zitto hana akili kabisa, tena linapaswa likamatwe na polisi maana haini kabisa likipatikana na hatia lihukumiwe kunyongwa hadi kufa, alitutukania sana Dkt Magufuli wetu kwa dhihaka na kejeli na bado akome kabisa
Hilo jamaa lina vihoja vya kipuuzi muda wote, halafu linajiita Yohana Mbatizaji. Ni sadist wa kutupwa huyo.Upumbavu mtupu.
Kwahiyo mtu kutekwa ndio mashindano kwako ya kuona nani akiongea ataachiwa mapema?
Useless old folk.
Una hoja za kipumbavu sana wewe. Halafu achana na hilo jina, unalinajisi tu kwa kufurahia mateso ya binadamu wenzako.Niliwaambia Zitto ni tofauti na Mwamba
Huyo Dogo atapatikana lije jua ije mvua 🐼
Mama hana time kabisa na hizi story, its job specificationsTanzania yetu....
Hivi mama,umeridhika na haya yote kweli?
Kama ni maagizo yako I swear mwisho wako waweza kuwa wa aibu.... naamini siyo wewe maana haiwezekani mwanamke mwenye utungu akawa katili kwa watoto wa wenzie namna hii...hapana haiwezekani ikawa ni maagizo yako mama.Daah
Niliona ukitumia nguvu kubwa kuunga mkono polisi kuua wezi/panya road. Ukawapongeza polisi kuua hao vijana. Ulitegrmea hizo extrajudicial killings zitaishia kwa hao tu? Hizi nchi zetu ukisharuhusu polisi wafanye mauaji na nyie raia mkashangilia bila kujua kesho watageuka kwenu.Huyu mama mbn ana support upuz
Ova
No no no no, huu ni mfumo ambao Zitto akiwa mbuge ameshiriki kuandaa, Dkt Magufuli hahusiki kabisa na ushahidi ni ujinga wa hao akina Ayatola Zito na wenzake kufanya sherehe kusema eti wanashangilia kifo na eti utekaji utaisha hahaha 😂 ndiyo wajue Dkt Magufuli alikuwa mtu wa watu!Magufuli ndio muasisi wa huu ubaradhuli.
Kama hahusiki mbona hakemei?Madaraka yamempanda kichwani ule utu aliokua nao mwanzo umeshapotea. Najiulizaga, ina faida gani uuwe watu wakati na wwe utakufa tu siku moja. We iba kura tu kila uchaguzi maisha yaendelee ila kuuana na kutekana is too much.
Nakumbuka 2020 CCM ilishinda almost kata zote na majimbo yote ila cha ajabu pale singida mjini kuna wamama waliokua mawakala wa Lissu wakapewa kesi ya uhujumu uchumi na haikua na dhamana. Nikawaza sasa kama umeshashinda unaenda kutesa watu wa nini? Kama huyu Mama kahusika basi mwisho wake utakua mbaya na wa aibu.
Wewe ni mjinga sana! Magu alikuwa ni shetani mkubwa sana! Pumbavu kabisa Wewe!No no no no, huu ni mfumo ambao Zitto akiwa mbuge ameshiriki kuandaa, Dkt Magufuli hahusiki kabisa na ushahidi ni ujinga wa hao akina Ayatola Zito na wenzake kufanya sherehe kusema eti wanashangilia kifo na eti utekaji utaisha hahaha 😂 ndiyo wajue Dkt Magufuli alikuwa mtu wa watu!
Hata mtoto mchanga anajua nondo kachukuliwa na police.Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.
Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).
Soma Pia: Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701
Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
Gentleman,Brother/sister Huwa unajisikia furaha kutetea waovu?.
Inaonekana umekata tamaa kabisa.mi nashauri vijana waachane na siasa tu maana wanageuzwa mbuzi wa kafara na wakuu wa vyama vyao,kwanza tanzania upinzani hakuna haiwezekani kinatawala chama kimoja miaka nenda rudi,hakuna cha demokrasia ni udikteta tu