Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Kwaiyo yanaitwa maporomoko ya kidatu?
So jibu nilichouliza maana iwe maporomoko au bwawa lakini zote zina function aina moja ya power, kwanini tusifukie hayo maporomoko ya KIDATU?
Maana tunatakiwa kwenda na fasheni,wajuzi(Porofesa Muongo) na wanasema gesi ndio mpango mzima. Je nchi zinazotumia gesi as source of power wamefukia mabwawa na maporomoko yao?
Mkuu hata mimi naungana na wewe kwamba umeme wa maji unatufaa sana sisi kuliko huo umeme wa gesi nk,
Ila kuna aina mbili za umeme wa maji, ule wa maporomoko na ule wa kujenga bwawa, pale kidatu sio Bwawa bali ni maporomoko ya maji kutoka mlimani na hapo ndipo mashine zimetegwa na maji yanapoporomoka kutoka mlimani ndipo huendesha hizo generators kuzalisha umeme. Kuna ( falls na Dams). Linalotaka kujengwa huko stiegler ni Bwawa ambalo litahifadhi maji kisha zinawewa njia kwenye barrier (Dyke) ambapo katika hizo njia wataweka Generators na maji yanapopita kwa msukumo ndipo huendesha hizo generators.