Multi secretarial effects of CVD9 Pandemic ni dhahiri kabisa! tuache mijadala hatarishi, inaweza maliza watu wetu, kizembe mfano kusanyiko la wabunge DODOMA! siyo sahihi, kwa muktadha wa dharula ya sasa Duniani,
Wenzetu watu zaidi ya 3, ni marufuku, kila hatua unapimwa, si mbaya kuiga haya muhimu, wana nchi wao wako bega kwa bega na serikali zao! hapo kwetu TZ kila mtu kwa nafsi yake pale alipo atambue kuwa tatizo tunalo yampasa kuchukua tahadhari kubwa ili kuiponya nafsi yake na ya Jamii yetu.
Kwa hali ilivo, hakuna sababu ya kuhatarisha Bunge kwa kuchambua taarifa ya utafiti ya Waziri wa Fedha na Uchumi ktk kusanyiko, Athari za ugonjwa ziko wazi, kiuchumi, kisiasa, kila mtu ana up to date infor. tusipoteze muda, hii ni fursa ya kurahisishia tatizo cause, BBC,CNN, SABC nk, Walisha/wana tuelimishasana, tukae tujadili tena upya? anza kutenda pale ulipo,
Ili ku-minimize possibilities of infections spread Mijadala kama hii Bungeni ifanyike kwa mtindo wa ''TELECONFERENCE'' , TELEMARKETING, TELEMETRY & TELEMEDICINE kwa Upande wa sector ya Afya. Tanzania tunavyo vifaa,havitumiki hapa Ushirika wa Sector binafsi km NGO's, Private Hospitals, Health insurances nk ziko active,zitatufaa sasa, na baadaye, sababu vyombo hivi viko vizuri nchini ktk nyanja hii ya Mawasiliano. tuvitumie.
Vyombo vya habari vyote nchini, na nje km TV, RADIO, Magazeti ni muhimu, kujikita ktk kutoa Elimu ya Afya kwa Umma kuliko wakati mwingine wowote ule, tuliowahi kuvihitaji. Silaha hii tukitumia vizuri tutavuka salama, Tanzania tuko vizuri mpaka vijijini huko. habari zafika.
Siungi mkono suala la kuongeza kununua chakula cha kutosha kwa watanzania, pia -subsidization kwa wafanyakazi wa Utalii, na kusahau sector nyingine muhimu, ni nzuri but kwa sasa, haitufai, zaidi tutafilisika, tutachekwa, tutakosa fedha ya kununua Dawa,
Africa/Tanzani in Particular, tujikite zaidi katika kukinga, na ku-control further spreading of infections, through our understanding, and nzuri zaidi Medias zote zisaidie, ndiyo njia muafaka na rahisi inayo tufaa. kulingana na hali zetu, tujitambue tu kwamba yatupasa ku behave ki-hivi.
Nashauri hivi km Akiba ya chakula inatutosha watanzania wote zaidi ya watu Million 55 kwa siku 3, ni vyema sana tuiache kama ilivo, isiongezewe, kwa sababu hatutakufa au kuugua wote mara moja, haijawahi kutokea taifa wakafa wote! na haitatokea. akiba hii itafaa kusaidia wale tu waliopatwa na janga hili.
Wakati tuna jihadhari na hili tusibweteke na kudhani ndiyo hili tuuu janga moja!! Majanga yanaweza yakafuatana mfululizo, mfano Mafuriko , Tetemeko, Ebola tena, Cholerae tena nk, na hela sehemu kubwa tulinunulia chakula!!!
Wakati haya yanaendelea , wataalamu wetu wa Afya, kisasa, na kienyeji wahamasishwe kubuni njia nzuri za dharula zinazoendana na mazingira yetu ya ki-Africa naamini wanayo mengi ya kutunusuru, ila wanapuuzwa, hawapewi nafasi na kipaumbele, kwa kutokujua au kwa kujua.
Ndugu wananchi muelewe kuwa hakuna jinsi, tukiumwa wote pa kukimbilia na kufia ni kwa hawa wataalamu wetu, hutafia nyumbani, hata familia yako watakukimbiza mahali salama, Hospital au kwa Mganga wa kienyeji ambaye yamkini hana Elimu ya ugonjwa huu,
Serikali haiwezi, chukua tahadhari na kusahau kundi hili muhimu. hata uwe na cheo, Mahela vipi, Kwa sasa huko India, South Africa, Ulaya hutapokelewa. kwanza hupati Visa, wenzenu, Israel,Nigeria health facilities zao wako vizuri, mchekea tu
Hizi huduma za Hospitali zenu za serikali mlizo zidharau kwa miaka dahari, Viongozi wa ki-Africa wote mjifunze kupitia ugonjwa huu! hakuna cha mgonjwa wa BOT, Rais na familia yake Sijui Afisa wa serikali, Spika ndugai, kwenda kutibiwa Abroad, km mlivozoea!!! wote sasa mmekuwa MANZI GA NYANZA.