Uchaguzi 2020 Zitto: Wagombea wote 18 wa ACT-Wazalendo kisiwani Pemba wameenguliwa

Uchaguzi 2020 Zitto: Wagombea wote 18 wa ACT-Wazalendo kisiwani Pemba wameenguliwa

Acha kupanic Zitto ikiwa unaona wameenguliwa bila kufuata sheria za uchaguzi kata rufaa au nenda mahakamani.

Tatizo wagombea wenu wanauza mechi na wengine ni mbumbumbu hawategui mitego ya kisheria katika ujazaji fomu sasa wakikosea kujaza unataka wapokelewe na kupitishwa tu unavyotaka? Uchaguzi huanzia kujaza fomu.
Kwa maana hiyo nje ya ccm hakuna mgombea anae jua kuzijaza hizo fomu?
 
Wapemba komaeni acheni kubweteka na kula urojo tu,hao majambazi ya uchafuzi Ni lazima muyatoe!
 
Acha kupanic Zitto ikiwa unaona wameenguliwa bila kufuata sheria za uchaguzi kata rufaa au nenda mahakamani.

Tatizo wagombea wenu wanauza mechi na wengine ni mbumbumbu hawategui mitego ya kisheria katika ujazaji fomu sasa wakikosea kujaza unataka wapokelewe na kupitishwa tu unavyotaka? Uchaguzi huanzia kujaza fomu.
hivi nikweli nchi nzima wagombea wanaokosea ni waupinzan tu waccm wao ni malaika hawakosei hata wacheni mahaba jaban
 
Pemba wagombea wengi wa upinzani hawajasoma elimu wengi Ni madrasa
Kwa maana hiyo wagombea wa ccm tu ndio waliosoma hiyo unayoita elimu?
Lakini pia sijajua una maanisha nini unaposema hawajasoma elimu?

Ila ni hatari sana kwa kusoma kwako lakini ukashindwa kuelewa kwamba neno madrasa ni lugha ya kiarabu ambayo kwa kiswahili maana yake ni shule.
 
Kisiwani Pemba, majimbo 18/18, Wanaenguliwa wagombea wa @ACTwazalendo systematically. Tutafuata hatua zote za kisheria kuzuiwa kinachofanywa. Halafu tutajua la kufanya. Mpaka sasa Tanzania nzima wameshaengua wagombea ubunge 44 wa ACT Wazalendo kwa sababu za kipuuzi sana

From zitto kabwe

ACT Wazalendo pambaneni kiume. Na huyo mgombea wenu wa URAIS JMT na Zanzibar sasa waoneshe uwezo na uchungu wao kwa chama badala ya kujiunga nanyi kutaka madaraka tu. Tunategemea Membe na Maalim Seif wakiwashe sasa. La sivyo hawana maana na ACT WAZALENDO mmelamba galasa kuwakumbatia hawa jamaa. Wajifunze kwa LISSU, mpinzani wa kweli mtoa uhai wake kwa chama na nchi ya JMT.
 
Ccm inatafuta ushindi wa kishindo kwa kila mbinu.
 
Kisiwani Pemba, majimbo 18/18, Wanaenguliwa wagombea wa @ACTwazalendo systematically. Tutafuata hatua zote za kisheria kuzuiwa kinachofanywa. Halafu tutajua la kufanya. Mpaka sasa Tanzania nzima wameshaengua wagombea ubunge 44 wa ACT Wazalendo kwa sababu za kipuuzi sana

From zitto kabwe
Naona htari kubwa mbele.. Wapemba nawajua
 
ACT Wazalendo pambaneni kiume. Na huyo mgombea wenu wa URAIS JMT na Zanzibar sasa waoneshe uwezo na uchungu wao kwa chama badala ya kujiunga nanyi kutaka madaraka tu. Tunategemea Membe na Maalim Seif wakiwashe sasa. La sivyo hawana maana na ACT WAZALENDO mmelamba galasa kuwakumbatia hawa jamaa. Wajifunze kwa LISSU, mpinzani wa kweli mtoa uhai wake kwa chama na nchi ya JMT.
ACT wanamhitaji Maalim Seif kuliko Maalim anavyoihitaji ACT.
 
Kiongozi wa Chama Zitto Kabwe ameelezea hayo kupitia ukurasa wa Twitter

"Kisiwani Pemba, majimbo 18/18, Wanaenguliwa wagombea wa @ACTwazalendo systematically. Tutafuata hatua zote za kisheria kuzuiwa kinachofanywa. Halafu tutajua la kufanya. Mpaka sasa Tanzania nzima wameshaengua wagombea ubunge 44 wa ACT Wazalendo kwa sababu za kipuuzi sana"

My take: Haijapata kutokea kuwa na uchaguzi wa namna hii, chama kichanga kabisa kuogopwa kwa kiasi hiki.
 
Back
Top Bottom