Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria zinasemaje? lazima usomee elimu na usiwe madrasa ?, au tunatengeneza sheria kadri tunavyoona inatufaa sisi watawala ?Pemba wagombea wengi wa upinzani hawajasoma elimu wengi Ni madrasa
Hahahaaa...waweke mpira kwapani tu.Nachokiona kuna Zecccm tume sio huru nadhani upinzani chukueni hatua madhubuti kuandamana , kama mlimpokea maalimu kwa mafuriko vipu ao policcm wawatishe.
Kachukue uje tukuonyeshe asubuhi tu huko huko mpakani.Halafu msumbiji mbegu imeshapandwa biashara ya silaha ndogo ndogo katika Afrika kwa sasa inatisha
Sasa CCM hapa wansingizwaje? Hii shughulini ya tume ya uchaguzi na ACTCCM wana hofu kila kona hawajiamini wanaweza kosa bara na Pwani..
Upinzani ni wakati wa kwenda mbele zaidi ili kuuondoa huu udhalimu wa mkoloni mweusi.
Ndugu hayamambo ni mzito kuliko unavyo Dhani ukisusa akina lipumba wanashirikiUpinzani Tanzania hakuna, vyama vyote ni mamluki. Sikutegemea vyama hivyo kuingia uchaguzi bila tume huru ya uchaguzi kwa vituko vilivofanywa na dola uchaguzi wenyeviti wa mitaa.
Muovu hukimbia hata asipofukuzwaHaaa haaa daah,siasa mmefanya peke yenu miaka mitano. huu woga unatokea wapi
ACT Wazalendo pambaneni kiume. Na huyo mgombea wenu wa URAIS JMT na Zanzibar sasa waoneshe uwezo na uchungu wao kwa chama badala ya kujiunga nanyi kutaka madaraka tu. Tunategemea Membe na Maalim Seif wakiwashe sasa. La sivyo hawana maana na ACT WAZALENDO mmelamba galasa kuwakumbatia hawa jamaa. Wajifunze kwa LISSU, mpinzani wa kweli mtoa uhai wake kwa chama na nchi ya JMT.
Dunia Ni Mimi na wewe,Kama unayaona haya chukua hatuaHivi dunia inaona kweli haya,