permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Miaka mingine walikuwa wanajaza vipi, ila pia Sheria za uchaguzi zinahitaji kufanyiwa marekebisho, mtia nia akikosea kujaza fomu anapaswa apewe fomu nyingine au kurekebisha alipokosea na siyo kumtoa kwenye kinyang'anyiroPemba wagombea wengi wa upinzani hawajasoma elimu wengi ni madrasa
were ni shabiki tu hutizami mstakabali wa nchi.Unataka nchi ya kihuni tu yenye mashaka kwa amaniKwa faida ya watz! Kama hawakufuata sheria wanaenguliwa tu no way!
Kwanini kukosea kunatokea kwa wapinzani tu?ni uhuni was chama tawala baada ya kulewa madarakakama hujafuata sheria za uchaguzi unategemea usikatwe kweli? wengine walikuwa hawajiamini wakaamua kufanya makosa ili waenguliwe tu
CCM mnaaka kuleta Vita Huko Pemba, faida itakuwa ya Nani? Kuna kila dalili kuvhocuea vurugu . Kuna kila dalili hiki Chama kuondolewa madarakani na jumuia za kimataifa. Ninafanya watanzania kuwa wajinga wakisingizia demokrasia na muungano.Mambo ni mazito kidogo.
Zitto kasema kuwa Pemba hakuna mgombea wa ACT aliyeachwa . Wote 18 wameliwa vichwa.
View attachment 1549864
Aidha Zitto pia amesema jumla ya wagombea ubunge 44 wa ACT-Wazalendo Tanzania nzima wameenguliwa.
Hii ni hatari tupu.
View attachment 1549869
Watz bado wanamhitaji sana Rais Magufuli na CCM kwa ujumla na wala si wapinzani ambao hupinga kila kitu!
Hahahaaa! Na miaka yote pemba wanashinda upinzani, ccm haijawahi kuwapenda waislam zaidi ya kuwatumia tuPemba wagombea wengi wa upinzani hawajasoma elimu wengi ni madrasa
27 Aug 2020
ACT Wazalendo watowa kauli nzito pingamizi za Pemba, wasema liwalo sasa naliwe
Chama cha ACT Wazalendo kimesema sasa hakitakubaliana na hujuma yoyote dhidi ya wagombea wake kwenye uchaguzi wa Oktoba 2020 na kwamba watachukuwa hatua kali kukabiliana nazo.
Source : Weyani TV
Ingawa wengi wanapinga lakini yule mkristo aliua waislam wengi sanaWatakimbilia tena Shimoni kama wakati wa Rais Mkapa wadanganye!!
Usiwe mpumbavu kiasi hicho kisa unapata ujira wa udhalimu.Mliweka wagombea wasio na sifa
Swali jingine Je baada ya kupora uchaguzi SM kwanini wauogope uchaguzi huu ilhali wenyeviti wote ni wao?Haaa haaa daah, siasa mmefanya peke yenu miaka mitano. huu woga unatokea wapi
Poleni, njia ya ballot boxes Inaelekea kufeliMambo ni mazito kidogo.
Zitto kasema kuwa Pemba hakuna mgombea wa ACT aliyeachwa . Wote 18 wameliwa vichwa.
View attachment 1549864
Aidha Zitto pia amesema jumla ya wagombea ubunge 44 wa ACT-Wazalendo Tanzania nzima wameenguliwa.
Hii ni hatari tupu.
View attachment 1549869
PoleniWatasusa sisi twala!
Pemba wagombea wengi wa upinzani hawajasoma elimu wengi ni madrasa