Uchaguzi 2020 Zitto: Wagombea wote 18 wa ACT-Wazalendo kisiwani Pemba wameenguliwa

Pemba wagombea wengi wa upinzani hawajasoma elimu wengi ni madrasa
Miaka mingine walikuwa wanajaza vipi, ila pia Sheria za uchaguzi zinahitaji kufanyiwa marekebisho, mtia nia akikosea kujaza fomu anapaswa apewe fomu nyingine au kurekebisha alipokosea na siyo kumtoa kwenye kinyang'anyiro
 
kama hujafuata sheria za uchaguzi unategemea usikatwe kweli? wengine walikuwa hawajiamini wakaamua kufanya makosa ili waenguliwe tu
 
kama hujafuata sheria za uchaguzi unategemea usikatwe kweli? wengine walikuwa hawajiamini wakaamua kufanya makosa ili waenguliwe tu
Kwanini kukosea kunatokea kwa wapinzani tu?ni uhuni was chama tawala baada ya kulewa madaraka
 
CCM mnaaka kuleta Vita Huko Pemba, faida itakuwa ya Nani? Kuna kila dalili kuvhocuea vurugu . Kuna kila dalili hiki Chama kuondolewa madarakani na jumuia za kimataifa. Ninafanya watanzania kuwa wajinga wakisingizia demokrasia na muungano.
 
Weyani tv inapatikana king'amuzi gani?? Haijafungiwa tu??
 
Haaa haaa daah, siasa mmefanya peke yenu miaka mitano. huu woga unatokea wapi
Swali jingine Je baada ya kupora uchaguzi SM kwanini wauogope uchaguzi huu ilhali wenyeviti wote ni wao?
Kizuri si wote baina yao wanaofurahia kinachoendelea...
Dunia inazunguuka "...wamepita wengi na walisifiwa sana ila mwishowe walikuwa na anguko baya"
TUJISAHIHISHE...
 
Kinachoshangaza ni upinzani tu wanakiuka taratibu na unakuta wasomi wazuri wanaojua kujaza fomu vizuri kuliko hata wale wa chama tawala. Ingetokea wa chama tawala hata mmoja kaenguliwa kwa kosa hilo watu wangeona kuna usawa kwenye utendaji kazi wa tume. Tume imekuwa ikifanya kazi kibaguzi sana.

Uzuri wa zanzibar ni tofauti na bara huwa hawakubali kuendeshwa kibubusa.
Tuombe mungu machafuko yasitokee ila haki itendeke.
 
Zanzibar ni tofauti na Bara. Wataleta machafuko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…