Ziwa Nyasa limeporwa kikamilifu?

Ziwa Nyasa limeporwa kikamilifu?

a

Acha uchochezi, hujaonyesha chanzo cha ramani hizo mbili ulizotuwekea. pia practicability ya mpaka ni shughuli za kiuchumi za nchi. practice haionyeshi kuwa we are restricted that much beyond as you have just shown. acha uchochezi.
Kumbe mmelala mnasubiria kuona shughuli za kiuchumi ndipo mjue mmeingiliwa?
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.

Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.

Kuchorwa mpaka huo kwa rangi nyekundu ni kuashiria kuna mzozo ambao umoja wa mataifa haujaelewa ni nani hasa mwenye haki na eneo hilo kati ya Tanzania na Malawi.

Tangu 2015 sikuwahi kuchungulia tena eneo hilo, ila leo nimeangalia mpaka huo kupitia camera za satellite nikashtuka baada ya kuona mpaka huo umehamishwa alafu wakabadili na jina la ziwa hilo na kuliita ziwa Malawi 😠

Yaani kwa kifupi lile ziwa hatuna mamlaka nalo tena! Tumeporwa kilomita nyingi sana za mraba huku serikali yetu ikiwa haijui kinachoendelea juu ya ziwa hilo lenye utajiri wa gesi, mafuta na spish za samaki zaidi ya 1500.

Mpaka huo umehamishwa kutoka katikati ya ziwa hadi kwenye fukwe za nchi yetu huku wakibadili kabisa jina la ziwa letu na kuliita ziwa Malawi kama inavyoonekana kwenye picha.

View attachment 1804817

Linganisha na mpaka ambao tuliachiwa na wakoloni katika picha hii.

View attachment 1804818

Ikumbukwe kwamba miaka michache kipindi cha serikali ya Jakaya kikwete tulikuwa na mzozo Malawi kuhusiana na hili ziwa hadi kukatokea vitisho vya kuingia vitani kila nchi ikidai italinda mpaka wake. Malawi wakidai ziwa lote ni lao huku Tanzania tukidai mpaka wa wakoloni ambao ulipita ndani ya ziwa huku sisi tukiwa na eneo lenye upana zaidi ya Malawi.

Hii maana yake nini? Sisi ni wapole sana au hatupo tayari kulinda mipaka yetu?

Kwanini wazungu wameridhia kumega nchi yetu na kuikabidhi Malawi?

Naomba serikali yetu tukufu itoe maelezo kuhusu hili jambo maana sio dogo.

Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Mbeya ni wao
Tunaporwa nchi huku mwendazake alikuwa bize kupambana na Chadema & Kenya!
 
Kumbuka comment yako ya juu ulisema ramani ipo hivyo muda wote kitu ambacho nimekupinga maana hilo eneo niliangalia 2014 nikaona mpaka umepita katikati ya ziwa.
Leo mpaka umesogezwa hadi nchi kavu ambapo kilomita kama 20 zinaonekana zimemegwa Tanzania
Wewe unaamua tu kubisha shughuli zinaendelea kila siku watu na naenda zaidi ya km 20 kufanya shughuli za uvuvi meli zinasafiri unatuletea habari ya km 20 mgogoro bado haujapatiwa ufumbuzi ndio maana hata shughuli za kuvuna gas na mafuta hazijaanza.Hakuna muwekezaji anatia pesa sehemu yenye mgogoro.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.

Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.

Kuchorwa mpaka huo kwa rangi nyekundu ni kuashiria kuna mzozo ambao umoja wa mataifa haujaelewa ni nani hasa mwenye haki na eneo hilo kati ya Tanzania na Malawi.

Tangu 2015 sikuwahi kuchungulia tena eneo hilo, ila leo nimeangalia mpaka huo kupitia camera za satellite nikashtuka baada ya kuona mpaka huo umehamishwa alafu wakabadili na jina la ziwa hilo na kuliita ziwa Malawi 😠

Yaani kwa kifupi lile ziwa hatuna mamlaka nalo tena! Tumeporwa kilomita nyingi sana za mraba huku serikali yetu ikiwa haijui kinachoendelea juu ya ziwa hilo lenye utajiri wa gesi, mafuta na spish za samaki zaidi ya 1500.

Mpaka huo umehamishwa kutoka katikati ya ziwa hadi kwenye fukwe za nchi yetu huku wakibadili kabisa jina la ziwa letu na kuliita ziwa Malawi kama inavyoonekana kwenye picha.

View attachment 1804817

Linganisha na mpaka ambao tuliachiwa na wakoloni katika picha hii.

View attachment 1804818

Ikumbukwe kwamba miaka michache kipindi cha serikali ya Jakaya kikwete tulikuwa na mzozo Malawi kuhusiana na hili ziwa hadi kukatokea vitisho vya kuingia vitani kila nchi ikidai italinda mpaka wake. Malawi wakidai ziwa lote ni lao huku Tanzania tukidai mpaka wa wakoloni ambao ulipita ndani ya ziwa huku sisi tukiwa na eneo lenye upana zaidi ya Malawi.

Hii maana yake nini? Sisi ni wapole sana au hatupo tayari kulinda mipaka yetu?

Kwanini wazungu wameridhia kumega nchi yetu na kuikabidhi Malawi?

Naomba serikali yetu tukufu itoe maelezo kuhusu hili jambo maana sio dogo.

Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Mbeya ni wao
Awamu ya Tano ilijikita kudhibiti wapinzani bila kujali yaliyokuwa yakijiri mipakani mwetu. Itatugarimu pakubwa kuirejesha sehemu ya ziwa letu iliyotekwa kiulaini.
 
Yaliyoisibu malawi dhidi ya TZ ni kama vile Zanzibar dhidi ya Tanganyika
Kisiwa cha Fungu Mbara ni mali ya Zanzibar zama na zama na kuna Mafuta na Gesi nyingi,Bara wanadai ni kisiwa chao baada ya kugunduliwa uwepo wa Mafuta na gesi pale. Sisi wenyewe Hapa TZ tuna mgogoro wa kuikalia Zanzibar kimabavu isiendelee ki uuchumi kwa zaidi ya miaka 50 sasa kwa kisingizio cha Muungano Feki.

Sisi ni wa Dwazi nchi hii kwa kulala na Siasa kuweka mbele na kudharau uchumi na rasilimali .Wacha Malawiwatupe somo.

Leo Uganda wanachimba mafuta , Wakati zanzibar ilianza Exploration tangia miaka ya 50s.
Lakini Tanganyika wametuwekea kauzibe .
Hadi leo imebaki makabrasha tuu, etu hatuwezi kuchimba kwa vile hatuna sovereghnity.
To Hell,
 
Yaliyoisibu malawi dhidi ya TZ ni kama vile Zanzibar dhidi ya Tanganyika
Kisiwa cha Fungu Mbara ni mali ya Zanzibar zama na zama na kuna Mafuta na Gesi nyingi,Bara wanadai ni kisiwa chao baada ya kugunduliwa uwepo wa Mafuta na gesi pale. Sisi wenyewe Hapa TZ tuna mgogoro wa kuikalia Zanzibar kimabavu isiendelee ki uuchumi kwa zaidi ya miaka 50 sasa kwa kisingizio cha Muungano Feki.

Sisi ni wa Dwazi nchi hii kwa kulala na Siasa kuweka mbele na kudharau uchumi na rasilimali .Wacha Malawiwatupe somo.

Leo Uganda wanachimba mafuta , Wakati zanzibar ilianza Exploration tangia miaka ya 50s.
Lakini Tanganyika wametuwekea kauzibe .
Hadi leo imebaki makabrasha tuu, etu hatuwezi kuchimba kwa vile hatuna sovereghnity.
To Hell,
Zanzibar ni tanzania na Tanzania ni zanzibar.

Hakuna mjadala kuhusu hili
 
Umetembelea hilo eneo kwa kutumia Google map? Au Google map kwako unaona haina nguvu yoyote katika hili?

Unasikitisha sana!
Unaonyesha ulivyo mjinga kung'ang'ania Google maps! Hizo ramani siyo za leo wala jana! Kwa taarifa yako ramani hizo zimekuwa zikichorwa tangu 1970! Malawi wamekuwa wakichora ramani kuonyesha ziwa lote liko kwao na sisi tumekuwa tukichora mpaka katikati ya ziwa. Aidha Malawi wamekuwa wakiliita Ziwa Malawi, Tanzania tukiliita Ziwa Nyasa na Mozambique wakiliita Ziwa Niassa.

Hivyo usibabaishwe na na Google maps!
 
Mimi naona mihemko unayo wewe.

Ramani ya mwaka 2014 niliona mpaka wa rangi nyeupe ulipita katikati ya ziwa, muda mfupi baadae ramani ikawa iko pale pale lakini imechorwa kwa rangi nyekundu kuashiria kuna mzozo.

Leo katika ramani mpaka umesogezwa kilomita 20 kwa upana na kilomita zaidi ya 220 kwa urefu. Hili ni jambo dogo kwako?
Hapana, siyo jambo dogo hata kidogo; lakini ni jambo linalojulikana toka miaka na miaka, hata wakati wa Mwalimu Nyerere na Kamuzu Banda, jambo hilo lilijulikana hivyo, na michoro hiyo ilikuwepo hivyo hivyo unavyoisemea hapa.
 
Ni busara kufanya tafiti na angalau hata kujua chanzo cha huo mzozo, kabla ya kuandika kitu usichokielewa kwa ufasaha. Ikumbukwe mzozo
wa mpaka katika hilo ziwa, ulikuwa toka tunapata uhuru.Aliyekuwa raisi wa kwanza wa taifa hili, marehemu Julius K. Nyerere alizozana na marehemu raisi Kamuzu wa Malawi na mpaka wakaitana majina.Na viongozi wengine waliofuata waliingia katika majadiliano kuhusu mpaka
bila mafanikio na ilifikia wakati likapelekwa kwa wasuluhishi wa kimataifa wakati wa uongozi wa raisi Jakaya Kikwete ila mrejesho sikufanikiwa kuupata.
Mkataba wa heligoland wa mwaka 1890 uliwapa ziwa lote malawi shida inaanzia hapo. Uingereza wanajua hivyo, wajerumani nao wanajua hivyo,
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.

Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.

Kuchorwa mpaka huo kwa rangi nyekundu ni kuashiria kuna mzozo ambao umoja wa mataifa haujaelewa ni nani hasa mwenye haki na eneo hilo kati ya Tanzania na Malawi.

Tangu 2015 sikuwahi kuchungulia tena eneo hilo, ila leo nimeangalia mpaka huo kupitia camera za satellite nikashtuka baada ya kuona mpaka huo umehamishwa alafu wakabadili na jina la ziwa hilo na kuliita ziwa Malawi 😠

Yaani kwa kifupi lile ziwa hatuna mamlaka nalo tena! Tumeporwa kilomita nyingi sana za mraba huku serikali yetu ikiwa haijui kinachoendelea juu ya ziwa hilo lenye utajiri wa gesi, mafuta na spish za samaki zaidi ya 1500.

Mpaka huo umehamishwa kutoka katikati ya ziwa hadi kwenye fukwe za nchi yetu huku wakibadili kabisa jina la ziwa letu na kuliita ziwa Malawi kama inavyoonekana kwenye picha.

View attachment 1804817

Linganisha na mpaka ambao tuliachiwa na wakoloni katika picha hii.

View attachment 1804818

Ikumbukwe kwamba miaka michache kipindi cha serikali ya Jakaya kikwete tulikuwa na mzozo Malawi kuhusiana na hili ziwa hadi kukatokea vitisho vya kuingia vitani kila nchi ikidai italinda mpaka wake. Malawi wakidai ziwa lote ni lao huku Tanzania tukidai mpaka wa wakoloni ambao ulipita ndani ya ziwa huku sisi tukiwa na eneo lenye upana zaidi ya Malawi.

Hii maana yake nini? Sisi ni wapole sana au hatupo tayari kulinda mipaka yetu?

Kwanini wazungu wameridhia kumega nchi yetu na kuikabidhi Malawi?

Naomba serikali yetu tukufu itoe maelezo kuhusu hili jambo maana sio dogo.

Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Mbeya ni wao

Ndio yale yale ya mayahudi kuvamia na kwendelea kumega ardhi ya wapalestina. Sasa yanahamia kwetu.
 
Sio kweli mkuu.

Kilichofanya nikaanzisha hii mada ni mabadiliko ya ramani kupitia Google earth
Wewe Labda mgeni. Kuna ramani nyingi tofauti kutegemea na upande.

hataramanu ya mkoloni ilikuwa inaonyesha hivyo. Nafikiri tokea 1890 iliwekwa hivyo
 
Ta
Ni ujinga wamalawi kutaka ziwa lote liwe lao. Ni kutafuta migogoro ya kipuuzi tu isiyo na kichwa wala miguu. Ni tamaa na kutumika tu
Tatizo ni mali asili iliyopo humo ziwani, hebu fikiria miaka mingi tumeishi kwa kutumia ziwa bila vikwazo kwa kuzingatia mpaka upo katikati lakini sasa ni hayo yanaibuka
 
Ramani iko hivo miaka mingi kabla hata ya Google earth. Kuna siku kwenye ofisi ya ubalozi wa Ujerumani nchini Tanzania ilionekana ramani yenye kuonesha ziwa lote liko Malawi. Ramani za kimataifa zinaliita ziwa Malawi badala ya Nyasa, ni kama uamue kuliita ziwa Nyanza utaliita mwenyewe wengine wataendelea kuliita Victoria.

Malawi wakileta ushahidi wao lazima tutumie akili kuupinga. Sio kukariri resolution ya UN iliyo generalized. UN hawakugawa hizi nchi, waliogawana Tz na Malawi ni Wajerumani waliokuwa German East Africa (ikiwemo Tanganyika) na Waingereza waliokuwa Malawi. Ukitazama Heligoland treaties mbili ndio mpaka ule umewekwa. Sheria za mipaka ya Afrika zinaheshimu mgawanyo wa wakoloni bila kuubadilisha. Sasa Malawi wana treaty ya kwanza inayoonesha ziwa lote ni lao. Treaty ya pili inayoonesha ziwa linagawanywa tulitakiwa tuwe nayo sisi. Hatuna

Angalizo: Nimetumia memories za zamani nilivyoelewa hili suala. Sina uhakika sana
Mkuu hivi kulikuwa na mkataba wa pili wa kugawanywa ziwa kweli? Ni onavyo Mimi Kama ulikuwepo basi ni wa msumbiji chini ya wareno na Malawi chini ya waingereza na sio tanganyika. Nakumbuka Bernard membe alikuwa anauelezea huu mgogoro kipindi kile cha jk hakuelezea uwepo wa mkataba wa pili zaidi ya kulaumu huo mkataba wa mwanzo ulivyowanyima haki watanganyika
 
Back
Top Bottom