Ziwa Victoria limewahi kukauka maji yote mara tatu

Ziwa Victoria limewahi kukauka maji yote mara tatu

ichumu lya

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2016
Posts
2,651
Reaction score
2,790
Hii ina ukweli gani wakuu?​
dailytalkz_'s profile picture

ZIWA VICTORIA LIMEWAHI KUKAUKA MAJI YOTE MARA TATU

Ziwa Victoria ni ziwa la pili kwa ukubwa duniani baada ya Ziwa kuu la Kaskazini nchini Marekani.

Ziwa hili ambalo lina kina cha mita 83 ni moja ya maziwa machanga katika historia ya dunia kwa maana hayana miaka zaidi ya milioni moja toka yafanyike. Ziwa Victoria lilitokea takribani 400,000 iliyopita.

Ziwa Victoria lina historia ya kipekee kijiografia duniani likiwa ni moja ya ziwa kuu ambalo limekutwa na tukio la kukausha maji yake yote mara tatu.

Zaidi ya miaka 17,300 iliyopita ziwa hili ambalo ni chanzo kikuu cha mto Nile (white Nile ) ingawa chanzo halisi ni mto Kagera ,

lilikauka kabisa na kusababisha ukame mkubwa eneo lote la Victoria basin na nchi zote ambazo mto Nile unapita lakini athari kubwa ikiwa nchini Misri.

Ziwa hili lilijaa tena maji miaka 14,700 iliyopita hii ina maana kuna...miaka 2700 , ziwa hili lilikuwa kavu kabisa na flow pekee ya maji kiasi sana katika bonde la mto Nile, ilitegemea chanzo pekee cha Ziwa Tana ambalo halikuweza kuyasukuma maji kufika Misri!.
20241101_173004.jpg
 
Hii ina ukweli gani wakuu?​
dailytalkz_'s profile picture's profile picture

ZIWA VICTORIA LIMEWAHI KUKAUKA MAJI YOTE MARA TATU

Ziwa Victoria ni ziwa la pili kwa ukubwa duniani baada ya Ziwa kuu la Kaskazini nchini Marekani.

Ziwa hili ambalo lina kina cha mita 83 ni moja ya maziwa machanga katika historia ya dunia kwa maana hayana miaka zaidi ya milioni moja toka yafanyike. Ziwa Victoria lilitokea takribani 400,000 iliyopita.

Ziwa Victoria lina historia ya kipekee kijiografia duniani likiwa ni moja ya ziwa kuu ambalo limekutwa na tukio la kukausha maji yake yote mara tatu.

Zaidi ya miaka 17,300 iliyopita ziwa hili ambalo ni chanzo kikuu cha mto Nile (white Nile ) ingawa chanzo halisi ni mto Kagera ,

lilikauka kabisa na kusababisha ukame mkubwa eneo lote la Victoria basin na nchi zote ambazo mto Nile unapita lakini athari kubwa ikiwa nchini Misri.

Ziwa hili lilijaa tena maji miaka 14,700 iliyopita hii ina maana kuna...miaka 2700 , ziwa hili lilikuwa kavu kabisa na flow pekee ya maji kiasi sana katika bonde la mto Nile, ilitegemea chanzo pekee cha Ziwa Tana ambalo halikuweza kuyasukuma maji kufika Misri!.
View attachment 3140744
Eti ziwa lilitokea mwaka ....... Kama hamna akili msiwe mnaposti vitu humu

USSR
 
Mimi babu yangu alikufa na miaka 500 alisema kweli ziwa lilinyauka😂
Hii ina ukweli gani wakuu?​
dailytalkz_'s profile picture's profile picture

ZIWA VICTORIA LIMEWAHI KUKAUKA MAJI YOTE MARA TATU

Ziwa Victoria ni ziwa la pili kwa ukubwa duniani baada ya Ziwa kuu la Kaskazini nchini Marekani.

Ziwa hili ambalo lina kina cha mita 83 ni moja ya maziwa machanga katika historia ya dunia kwa maana hayana miaka zaidi ya milioni moja toka yafanyike. Ziwa Victoria lilitokea takribani 400,000 iliyopita.

Ziwa Victoria lina historia ya kipekee kijiografia duniani likiwa ni moja ya ziwa kuu ambalo limekutwa na tukio la kukausha maji yake yote mara tatu.

Zaidi ya miaka 17,300 iliyopita ziwa hili ambalo ni chanzo kikuu cha mto Nile (white Nile ) ingawa chanzo halisi ni mto Kagera ,

lilikauka kabisa na kusababisha ukame mkubwa eneo lote la Victoria basin na nchi zote ambazo mto Nile unapita lakini athari kubwa ikiwa nchini Misri.

Ziwa hili lilijaa tena maji miaka 14,700 iliyopita hii ina maana kuna...miaka 2700 , ziwa hili lilikuwa kavu kabisa na flow pekee ya maji kiasi sana katika bonde la mto Nile, ilitegemea chanzo pekee cha Ziwa Tana ambalo halikuweza kuyasukuma maji kufika Misri!.
View attachment 3140744
Ik
 
Ni kweli kuwa Ziwa Victoria limepitia mabadiliko makubwa ya kihistoria, ikiwa ni pamoja na kipindi ambacho lilikaushwa kabisa maji mara kadhaa. Tafiti za kijiolojia zinaonyesha kuwa Ziwa Victoria lilikaushwa angalau mara tatu katika historia yake, hasa wakati wa mabadiliko ya hali ya hewa na kipindi cha baridi kali duniani (ice age). Hii ilitokea kutokana na mabadiliko ya kijiografia na hali ya hewa yaliyosababisha ukosefu wa mvua katika eneo hilo, hivyo kuathiri kiwango cha maji ya ziwa.

Kwa mujibu wa masomo ya kihistoria ya kijiolojia, ziwa hili lina umri wa takriban miaka 400,000 na mara ya mwisho lilikaushwa ilikuwa takriban miaka 17,300 iliyopita. Kipindi hicho kilikuwa na athari kubwa, sio tu kwa ziwa hilo bali pia kwa mito inayotegemea maji yake, kama vile Mto Nile. Kutokuwepo kwa maji ya kutosha kulisababisha ukame mkubwa katika bonde la Ziwa Victoria na maeneo yote ambayo Mto Nile unapita, ikiwa ni pamoja na nchi ya Misri, ambayo ilitegemea Mto Nile kwa kilimo na maisha ya watu.

Baadaye, takriban miaka 14,700 iliyopita, Ziwa Victoria lilianza kujaza maji tena kutokana na kuongezeka kwa mvua katika bonde la Nile, na hivyo kusaidia urejeshaji wa mtiririko wa maji kuelekea Mto Nile. Hata hivyo, kuna kipindi cha miaka 2,700 ambapo ziwa lilibaki kavu, na mtiririko wa maji uliokuwa mdogo sana ulitegemea vyanzo vingine vidogo, kama vile Ziwa Tana, ambavyo havikuwa na uwezo wa kusukuma maji kufika Misri kama ilivyokuwa awali.

Kwa hiyo, historia hii inaonesha jinsi Ziwa Victoria linavyoweza kuathirika na mabadiliko ya hali ya hewa na kijiografia, na umuhimu wake kwa mtiririko wa maji kwenye Bonde la Nile na nchi zinazoizunguka, hasa Misri.
 
I'm a native from Bukoba region, sio kuona tu, bali sjawahi kuskia something of that nature, eti ziwa letu limewahi kukauka, never, mababu na mababu hawajawai narrate such a historical disaster. However, it'll never even happen, coz that will then be a cataclysmic impoderabilia at its peak.
 
I'm a native from Bukoba region, sio kuona tu, bali sjawahi kuskia something of that nature, eti ziwa letu limewahi kukauka, never, mababu na mababu hawajawai narrate such a historical disaster. However, it'll never even happen, coz that will then be a cataclysmic impoderabilia at its peak.
Sasa babu zako waliishi hapo bukoba miaka 17,300 toka sasa... ? Maana mara ya mwisho kukauka ni miaka 17,300 toka sasa
 
I'm a native from Bukoba region, sio kuona tu, bali sjawahi kuskia something of that nature, eti ziwa letu limewahi kukauka, never, mababu na mababu hawajawai narrate such a historical disaster. However, it'll never even happen, coz that will then be a cataclysmic impoderabilia at its peak.
Mababu zako wageni.
 
Uongo.hakuna kitu kama hicho.kwanza Kwa miaka hiyo hapa kuwa na uharibifu wa mazingira ambao ungepelekea kukauka Kwa vyanzo vya maji maana idadi ya watu walikuwa wachache sana.Hawa wanajiografia wanapenda kutaja miaka mingi ya mamilioni ili kuhalalisha uongo wao.
 
Sasa babu zako waliishi hapo bukoba miaka 17,300 toka sasa... ? Maana mara ya mwisho kukauka ni miaka 17,300 toka sasa
Ain't nothing like that, for what extent unaweza ku verify hiyo statement yako ya kuwa lilikauka miaka 17,300. Toa evidence au reference ya kitabu hata kimoja kusapoti hii point yako. Ujue hata km ni zaman, lkn history never dies, tungejua tuu... Hasa sis wana bukoba
 
Back
Top Bottom