El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
sato walienda wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
For cheap mind like yours.That's a cheap reasoning...
Acha ubishi nduguAin't nothing like that, for what extent unaweza ku verify hiyo statement yako ya kuwa lilikauka miaka 17,300. Toa evidence au reference ya kitabu hata kimoja kusapoti hii point yako. Ujue hata km ni zaman, lkn history never dies, tungejua tuu... Hasa sis wana bukoba
Vizazi hurithishana matukio makubwa kama hayo.For cheap mind like yours.
Babu yake yupi anayemjuwa yeye alikuwepo miaka elfu kumi na tano nyuma?
Husikariri kuwa uharibifu wa mazingira unaosababishwa na binadamu tu.Uongo.hakuna kitu kama hicho.kwanza Kwa miaka hiyo hapa kuwa na uharibifu wa mazingira ambao ungepelekea kukauka Kwa vyanzo vya maji maana idadi ya watu walikuwa wachache sana.Hawa wanajiografia wanapenda kutaja miaka mingi ya mamilioni ili kuhalalisha uongo wao.
Aiseeee unajipinga mwenyewe tuwapinge kwa hoja sio viojaZiwa Nyanza halijawahi kukauka. Hilo
Ziwa Victoria sisi hatulijui wanalijua Wakoloni.
Punguza bangi mkuuLiliwahi kukauka kipindi cha Mkapa mwaka 2010.
Akili na wewe nani alitangulia? Jifunze kutuliaEti ziwa lilitokea mwaka ....... Kama hamna akili msiwe mnaposti vitu humu
USSR
Unakubaliana na historia? Je kumewahi kuwepo na ghalika?Uongo.hakuna kitu kama hicho.kwanza Kwa miaka hiyo hapa kuwa na uharibifu wa mazingira ambao ungepelekea kukauka Kwa vyanzo vya maji maana idadi ya watu walikuwa wachache sana.Hawa wanajiografia wanapenda kutaja miaka mingi ya mamilioni ili kuhalalisha uongo wao.
Hakuna watu wasiojari historia na vitu vingine vya kwao kama Wahaya. Kwenye hili kaa kushoto lete utetezi mwingineAin't nothing like that, for what extent unaweza ku verify hiyo statement yako ya kuwa lilikauka miaka 17,300. Toa evidence au reference ya kitabu hata kimoja kusapoti hii point yako. Ujue hata km ni zaman, lkn history never dies, tungejua tuu... Hasa sis wana bukoba
Kuna sababu mbalimbali zinaziweza kupelekea historia hii ya ziwa kukauka kutokujulikana kwa wakazi. MfanoVizazi hurithishana matukio makubwa kama hayo.
Babu ➡️ Babu ➡️ Babu ➡️ sisi
Acha ubishi bwenga, vipi Mlimani City ulikuwepo?I'm a native from Bukoba region, sio kuona tu, bali sjawahi kuskia something of that nature, eti ziwa letu limewahi kukauka, never, mababu na mababu hawajawai narrate such a historical disaster. However, it'll never even happen, coz that will then be a cataclysmic impoderabilia at its peak.
FixLiliwahi kukauka kipindi cha Mkapa mwaka 2010.
Watu wanabisha ila inaweza kuwa ni kweli maana kipindi hiko sidhani kama kulikuwa na kiumbe binadamu anaishi kanda ya ziwa isee.Hii ina ukweli gani wakuu?![]()
ZIWA VICTORIA LIMEWAHI KUKAUKA MAJI YOTE MARA TATU
Ziwa Victoria ni ziwa la pili kwa ukubwa duniani baada ya Ziwa kuu la Kaskazini nchini Marekani.
Ziwa hili ambalo lina kina cha mita 83 ni moja ya maziwa machanga katika historia ya dunia kwa maana hayana miaka zaidi ya milioni moja toka yafanyike. Ziwa Victoria lilitokea takribani 400,000 iliyopita.
Ziwa Victoria lina historia ya kipekee kijiografia duniani likiwa ni moja ya ziwa kuu ambalo limekutwa na tukio la kukausha maji yake yote mara tatu.
Zaidi ya miaka 17,300 iliyopita ziwa hili ambalo ni chanzo kikuu cha mto Nile (white Nile ) ingawa chanzo halisi ni mto Kagera ,
lilikauka kabisa na kusababisha ukame mkubwa eneo lote la Victoria basin na nchi zote ambazo mto Nile unapita lakini athari kubwa ikiwa nchini Misri.
Ziwa hili lilijaa tena maji miaka 14,700 iliyopita hii ina maana kuna...miaka 2700 , ziwa hili lilikuwa kavu kabisa na flow pekee ya maji kiasi sana katika bonde la mto Nile, ilitegemea chanzo pekee cha Ziwa Tana ambalo halikuweza kuyasukuma maji kufika Misri!.
View attachment 3140744
For cheap mind like yours.
Babu yake yupi anayemjuwa yeye alikuwepo miaka elfu kumi na tano nyu
For cheap mind like you
Now u see, it portrays how armature your thinking is on miniature issues. Vizazi hurithishana generation wise ndg.For cheap mind like yours.
Babu yake yupi anayemjuwa yeye alikuwepo miaka elfu kumi na tano nyuma?
Ona uyu, then u don't deserve my reply cuz your view is centrifugal wise oriented.Acha ubishi bwenga, vipi Mlimani City ulikuwepo?
Anaongelea miaka milioni iliyopita au hujui kusomaAiseee hapana,mimi ndugu zangu wangu kisiwan ukerewe sijawah sikia wakisema waliwah kwenda mwanza kwa mguu
Toka 1990 hili ziwa naliona sana sana huwa maji yanapungua tu sio kuisha yote