FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Vizazi ushuzi? Kulikuwa hakuna mbantu huko miaka hiyo. Soma kijana.This
Now u see, it portrays how armature your thinking is on miniature issues. Vizazi hurithishana generation wise ndg.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizazi ushuzi? Kulikuwa hakuna mbantu huko miaka hiyo. Soma kijana.This
Now u see, it portrays how armature your thinking is on miniature issues. Vizazi hurithishana generation wise ndg.
Tunaomba reference tudadisi zaidiZaidi ya miaka 17,300 iliyopita ziwa hili ambalo ni chanzo kikuu cha mto Nile (white Nile ) ingawa chanzo halisi ni mto Kagera ,
Ndiyo maana kwenye mtihani watu hufeli ingawa wanakuwa wamezipitia dondoo za maswali hayo na kuyasoma ipasavyo!Aiseee hapana,mimi ndugu zangu wangu kisiwan ukerewe sijawah sikia wakisema waliwah kwenda mwanza kwa mguu
Toka 1990 hili ziwa naliona sana sana huwa maji yanapungua tu sio kuisha yote
Homo SapiensNani alikuwepo miaka hiyo na kushuhudia?
Homo Sapiens wa enzi hizo walikuwa hawawezi kuandika.Kwangu bado siamini. Haya mambo ya 14700 huko na hakuna ushahidi hata wa nukuu za watu waliokuwepo maeneo hayo, ni ngumu kuaminika.
Ushahidi wa kimazingira.Homo Sapiens wa enzi hizo walikuwa hawawezi kuandika.
You were not here 20,000 years ago and you will not be here 2,000 years to come.I'm a native from Bukoba region, sio kuona tu, bali sjawahi kuskia something of that nature, eti ziwa letu limewahi kukauka, never, mababu na mababu hawajawai narrate such a historical disaster. However, it'll never even happen, coz that will then be a cataclysmic impoderabilia at its peak.
Fossil evidence, spectrometer, deposition, sedimentology, umri wa miamba n.kUshahidi wa kimazingira.
Vilikuwepo?kwa hiyo hivi visiwa kama ukara, ukerewe, na wengineo walizama na kuibuka?
Kidhungu unakipenda chanyewe hakikupendi.Ona uyu, then u don't deserve my reply cuz your view is centrifugal wise oriented.
Una elimu gani? Wewe unafikiri mabadiliko ya mazingira yanasababushwa na binadamu tu?!Uongo.hakuna kitu kama hicho.kwanza Kwa miaka hiyo hapa kuwa na uharibifu wa mazingira ambao ungepelekea kukauka Kwa vyanzo vya maji maana idadi ya watu walikuwa wachache sana.Hawa wanajiografia wanapenda kutaja miaka mingi ya mamilioni ili kuhalalisha uongo wao.
Nyie wana bukoba mlifika lini ziwa Victoria??Ain't nothing like that, for what extent unaweza ku verify hiyo statement yako ya kuwa lilikauka miaka 17,300. Toa evidence au reference ya kitabu hata kimoja kusapoti hii point yako. Ujue hata km ni zaman, lkn history never dies, tungejua tuu... Hasa sis wana bukoba
Sato walikuwepo?sato walienda wapi
Kumbe ukiacha kuita watu kondoo na mbuzi huwa una akili vizuri tu!For cheap mind like yours.
Babu yake yupi anayemjuwa yeye alikuwepo miaka elfu kumi na tano nyuma?
Hii sio imani tu kama hadithi tu za kwenye kitabu chako cha dini, ni utafiti wa kisayansi.Kwangu bado siamini. Haya mambo ya 14700 huko na hakuna ushahidi hata wa nukuu za watu waliokuwepo maeneo hayo, ni ngumu kuaminika.
Akili yangu ikiwa nzuri isiwe nzuri, inakuhusu?Kumbe ukiacha kuita watu kondoo na mbuzi huwa una akili vizuri tu!