Ziwa Victoria limewahi kukauka maji yote mara tatu

Ziwa Victoria limewahi kukauka maji yote mara tatu

Kama waliotaja hivyo ni watafiti, sisi ni nani tukatae na hatuna data zetu za utafiti kupinga utafiti wao...
 
Kwangu bado siamini. Haya mambo ya 14700 huko na hakuna ushahidi hata wa nukuu za watu waliokuwepo maeneo hayo, ni ngumu kuaminika.
 
Aiseee hapana,mimi ndugu zangu wangu kisiwan ukerewe sijawah sikia wakisema waliwah kwenda mwanza kwa mguu

Toka 1990 hili ziwa naliona sana sana huwa maji yanapungua tu sio kuisha yote
Ndiyo maana kwenye mtihani watu hufeli ingawa wanakuwa wamezipitia dondoo za maswali hayo na kuyasoma ipasavyo!

Embu rudia kusoma mwaka wa kalenda uliotumika kusimulia kisa hiki.
 
Kwangu bado siamini. Haya mambo ya 14700 huko na hakuna ushahidi hata wa nukuu za watu waliokuwepo maeneo hayo, ni ngumu kuaminika.
Homo Sapiens wa enzi hizo walikuwa hawawezi kuandika.
 
I'm a native from Bukoba region, sio kuona tu, bali sjawahi kuskia something of that nature, eti ziwa letu limewahi kukauka, never, mababu na mababu hawajawai narrate such a historical disaster. However, it'll never even happen, coz that will then be a cataclysmic impoderabilia at its peak.
You were not here 20,000 years ago and you will not be here 2,000 years to come.
 
Hivi tunaongea nn miaka 17,300?? Alaf unasema kama fact kabisa source wikipedia? Najuta kuto download kale ka gif ka Cannabis kanavuta mneli ndo mahala pake apa. Tukimaliza wataalam mtupe ile ya sangara na sato zilivopandikizwa.
 
Uongo.hakuna kitu kama hicho.kwanza Kwa miaka hiyo hapa kuwa na uharibifu wa mazingira ambao ungepelekea kukauka Kwa vyanzo vya maji maana idadi ya watu walikuwa wachache sana.Hawa wanajiografia wanapenda kutaja miaka mingi ya mamilioni ili kuhalalisha uongo wao.
Una elimu gani? Wewe unafikiri mabadiliko ya mazingira yanasababushwa na binadamu tu?!
Umewahi kusikia Younger Dryas au
Allerød oscillation??
 
Ain't nothing like that, for what extent unaweza ku verify hiyo statement yako ya kuwa lilikauka miaka 17,300. Toa evidence au reference ya kitabu hata kimoja kusapoti hii point yako. Ujue hata km ni zaman, lkn history never dies, tungejua tuu... Hasa sis wana bukoba
Nyie wana bukoba mlifika lini ziwa Victoria??
 
For cheap mind like yours.

Babu yake yupi anayemjuwa yeye alikuwepo miaka elfu kumi na tano nyuma?
Kumbe ukiacha kuita watu kondoo na mbuzi huwa una akili vizuri tu!
 
Kwangu bado siamini. Haya mambo ya 14700 huko na hakuna ushahidi hata wa nukuu za watu waliokuwepo maeneo hayo, ni ngumu kuaminika.
Hii sio imani tu kama hadithi tu za kwenye kitabu chako cha dini, ni utafiti wa kisayansi.
 
Kumbe ukiacha kuita watu kondoo na mbuzi huwa una akili vizuri tu!
Akili yangu ikiwa nzuri isiwe nzuri, inakuhusu?

Mimi simwiti mtu kondoo, wenyewe wanaitana kondoo. Wewe kondoo au siyo kondoo?
 
Back
Top Bottom