Zoezi la kubadilishana mateka na wafungwa litaanza Jumapili saa 8:30 a.m. (06:30 GMT), kati Israel na Hamas

Mimi na wewe nani kachizika? Yaani unaacha kuchangia uzi unania attack unadhani nashindwa kukujibu nikuambie tu ukweli mimi na mashoga mbali mbali dini yangu inanikataza kufir**
Unaweweseka! Dalili za ukichaa. Pole sana
 
Hahhahah umepata bakora unatafutq sifa JF kumshambulia Ritz😂
Ukichaa unakufanya ujione wa maana, kumbe muokota makopo ajaye. Achana na mambo haya, ili akili itulie
 
Mateka 38 (Wayahudi) wafungwa (Wapalestina) 19,000.
Bargaining of the century.
 
Ukichaa unakufanya ujione wa maana, kumbe muokota makopo ajaye. Achana na mambo haya, ili akili itulie
Mimi kichaa kweli na naokotaka makopo sijakataa wewe mbona shoga watu hatusemi.
 
Baada ya Israel kuwarudisha watu wake Hamas itafutwa kwenye uso wa Dunia.

HII TAARIFA Ritz ITUNZE.

GOD BLESS ISRAEL
 
Ni sahihi kabisa
 

View: https://youtu.be/XCoZNU8hY7c?si=va6d4hV-95AAIP2u
Maneno yake ni 💯 afu leo huko Tela Aviv wanashangaa Hamas ndani ya Gaza anatimiza ahadi zake tena kwa nidhamu mpaa wanajiuliza hivi kweli Hamasi kweli hatukuwamaliza kumbe tulimaliza vitoto na wanawake tu pamoja na majumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…