Zoezi la kuwasaka Simba Iringa limeishia wapi? Bado wananchi wana hofu kubwa!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Hali ya usalama katika vijiji vilivyoripotiwa kuvamiwa na Simba Bado ni tete, hiyo ni kwa mujibu wa kazi wa vijiji husika kuishi kwa hofu na kuogopa hata kutembea mida ya jioni kwa wale wenye mashamba mbali imekuwa changamoto kubwa! Taarifa mahsusi itolewe kama usalama umerejea na hao Simba hawapo Tena! Ukimya huu unatia shaka kidogo
 
Reactions: Lee
Hatuna wasiwasi na wanaume wa Mikoani watapambana nao, ingekua hawa wanaume zetu wa Dar ingekua mtihani.
 
Ngoja mliwe kidogo, CCM hawajawahi kuwa serious na usalama wa maisha ya Mtanganyika
 
Washakwea pipa wanenda Turkey
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…