Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hizi mambo CCM hawataki kusikiaUkumbimi hali ni shwari na Ulinzi umeimarishwa zaidi.
Unafanyika usafi pale katikati palipokuwa panafanyika zoezi la uhakiki
Watu wote wametulia wakisubiri matokeo
Kenya ni moja
Tukio liko mubashara Citizen tv
So you know nothing!!?38 majimbo can not change the winner if not ngome ya Raila, kama ni ngome ya raila, then can make a diffference if not then Ruto is a winner
Utashangaa sana38 majimbo can not change the winner if not ngome ya Raila, kama ni ngome ya raila, then can make a diffference if not then Ruto is a winner
Kwanini?Hizi mambo CCM hawataki kusikia
Mambo ya Tz achana nayo, ulikuwa ni wizi mtupu. huku Kenya kidogo/kikubwa hakuna wizi wa kura. angalia time is realtime reportingUtashangaa sana
2015 Majimbo 8 ya Dodoma yalimtoa Lowassa kwenye uongozi na mshindi akawa Magufuli
Watashindwa haraka snKwanini?
ID yako naiogopa, kwaheriSo you know nothing!!?
Tayari kuna kesi zimefunguliwa za.wizi wa kuraMambo ya Tz achana nayo, ulikuwa ni wizi mtupu. huku Kenya kidogo/kikubwa hakuna wizi wa kura. angalia time is realtime reporting
Kenya Elections 2022
Official Results- Last updated August 15, 11:05 AM
PROVISIONAL RESULTSOFFICIAL RESULTS
William Ruto
UDA
51.18%
6,406,388 Votes
Raila Odinga
AZIMIO
48.14%
6,025,940 Votes
George Wajackoyah
RPK
0.45%
56,055 Votes
David Waihiga
AGANO
0.23%
28,762 Votes
12,517,145
Total votes tallied
253 of 291
Constituencies reporting
The winner of presidential elections needs 50% + 1 of the valid votes cast and at least 25% votes in more than 24 counties
Hahitaji shavu lolote! mtu alishakuwa deputy president, utampa shavu gani la kumridhisha!! Kama ni pesa Ruto anazo sana! Alichokuwa anatafuta ni kutengeneza CV kama rais wa Kenya!! Short of that cannot that much appeal for him!Wakati Ruto jana ameenda kanisani kuwaambia wakenya wao ndio hupiga kura ila Mungu ndie huamua mshindi, hata pale baada ya kura elfu kumi kupunguzwa kwenye kura zake na IEBC...
Odinga kwa upande wake anaenda kanisani kuwaambia yeye ndie mshindi, amani itawale, hapa naona wakenya wameshatengenezwa kisaikolojia.
Kama hali ikitokea kuwa kama inavyoonekana hapo juu, sitashangaa Ruto akipewa shavu kwenye serikali ya Odinga, mchezo wa siasa unakuwa umeishia hapo.
Siyo la uongo, matokeo unayoyaona kwenye tv ndiyo haya haya kasoro tuu haya yamewekwa kwenye website.Ww nae..hili limtandao ni la uongo
Kumbe kuibiwa kura imeanza 2020?yani upigiwe kampen na fornicators kama diamond then utegemee kushinda uchaguz kamuulize magufuli alizunguka na lunda la wasanii 2020 mwisho wa siku mwamba lissu alimjambisha akaamua kuunda matokeo yake fake ya milion 12 lakin kwa kuwa Mungu hadhihakiwi saiv yuko wapi kufa kabisa kwa wiz wa kura na 2025 mkiiba tena lazima mfe mtake msitake maana Mungu hapendi ujinga.
Machadema yalienda na lowasa nairobi kumpigia kampeni Kenyata kwenye uchaguzi ule uliopita ili kumkomoa Laila kwakuwa urafiki na Magu,naona kama ruto anaweza kuvuka. Raila amefanya vibaya maeneo mengi, my wish was Raila ingawa alishirikiana na muuaji Jiwe. Hilo nilimuweka kapuni kwa kiasi fulani
Hahaha........!Machadema yalienda na lowasa nairobi kumpigia kampeni Kenyata kwenye uchaguzi ule uliopita ili kumkomoa Laila kwakuwa urafiki na Magu,
Sasa huu uchaguzi wa mwaka huu sijui machadema yako upande gani baada ya kipenzi chao kinyata kumuunga mkono odinga?
Hakuna watu wapumbavu kama machadema.
Kwa hiyo hakuna haja yakutangazwa matokeo na Tume, wewe tayari unayajua matokeo?RUTO ndiye Mshindi, Odinga kafuta legacy ya Kenyatta.