johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #81
Amedandia liftUmelipia kiasi gani tangazo la biashara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amedandia liftUmelipia kiasi gani tangazo la biashara
Tunachukua matokeo official hadi muda huu Ruto anaongozaPunguza ujuaji
hili tangazo pekela sehemu husika ya matangazo hapa mahali pakeEpson L3111 for sale
printing(black and colored)
copying
scanning
price 420k(nagitiable)
0769925004.
Mbona katekwa msimamizi wa uchaguzi au hujui wewelumumba macho kodo kwenye uchaguz huru hakuna kutekwa mgombea,hakuna kuzuia mawakala,hakuna kukamata wagombea kumbe mapigano yanaleta heshima ndio kinachotakiwa kufanyika ili nidham iwepo sio ujinga wa kipuuz kama unaofanyika hapa tanzania kwa upuuz wa lumumba
Ukumbimi hali ni shwari na Ulinzi umeimarishwa zaidi.
Unafanyika usafi pale katikati palipokuwa panafanyika zoezi la uhakiki
Watu wote wametulia wakisubiri matokeo
Kenya ni moja
Tukio liko mubashara Citizen tv
Yanayojiri;
Wageni wanaendelea kuingiza ukumbimi na tayari Wagombea wawili wa Urais wameshaingia ukumbini Ruto na Raila bado hawajaingia
Ulinzi ni imara kweli kweli ndani ya ukumbi
Kambi ya Rutto inaonyesha furaha zaidi kuliko zile kambi nyingine mbili
Dah, stupid tena! Haya mkuu endelea tu ukikua utaachaAcha uchawi..... kule hakuna kusanyiko la wachawi kama kwenu CCM... stupid!!
LIVE RESULTSUkumbimi hali ni shwari na Ulinzi umeimarishwa zaidi.
Unafanyika usafi pale katikati palipokuwa panafanyika zoezi la uhakiki
Watu wote wametulia wakisubiri matokeo
Kenya ni moja
Tukio liko mubashara Citizen tv
Yanayojiri;
Wageni wanaendelea kuingiza ukumbimi na tayari Wagombea wawili wa Urais wameshaingia ukumbini Ruto na Raila bado hawajaingia
Ulinzi ni imara kweli kweli ndani ya ukumbi
Kambi ya Rutto inaonyesha furaha zaidi kuliko zile kambi nyingine mbili
| Candidates | Vote |
|---|---|
William Ruto | 50.7% 6,969,466 |
Raila Odinga | 48.7% 6,692,629 |
Other Candidates | 0.6% 92,312 |
Nyalandu gani wa kumshinda TL? Jimboni kwake kwenyewe hajawahi kushinda sembuse CDM! EbooHapo Ufipa st kura za Nyalandu mlimpa Tundu Lisu
Hakuna 50% + 1LIVE RESULTS
Last updated: 08/15/2022, 11:35:42 local time (GMT+3)
Provisional results from IEBC
Candidates Vote ![]()
William Ruto50.7%
6,969,466![]()
Raila Odinga48.7%
6,692,629![]()
![]()
Other Candidates0.6%
92,312
Hivo upo serious unahisi lisu alimshinda magufuli. You're not okyani upigiwe kampen na fornicators kama diamond then utegemee kushinda uchaguz kamuulize magufuli alizunguka na lunda la wasanii 2020 mwisho wa siku mwamba lissu alimjambisha akaamua kuunda matokeo yake fake ya milion 12 lakin kwa kuwa Mungu hadhihakiwi saiv yuko wapi kufa kabisa kwa wiz wa kura na 2025 mkiiba tena lazima mfe mtake msitake maana Mungu hapendi ujinga.
Magufuli alipigwa chini na ndo akaja na matokeo yake kutoka TISSHivo upo serious unahisi lisu alimshinda magufuli. You're not ok
Tundu Lisu alipata 13%Magufuli alipigwa chini na ndo akaja na matokeo yake kutoka TISS
Ukiona hivyo Ujuwe hiyo nchi haina Wapinzani ni kiini macho tuBora hao kuliko kuna inch moja hivi niliona matokeo yao .chama cha moñdi 83% zilizobaki wanagawana wapinzani
Hahaha.Raila kuchomoka hapa ni sawa na Ngamia kubebwa na sungura...
Sijui unavyoamini lakini Mimi nilikuwa mmoja nilioshiriki kuhesabu kura Kwa mara kwanza na nilitamani nione ni jinsi gani wanaiba mana nilikuwa wakala wa ccm, kwanza kura inavyotolewa kwenye lile box wote(mawakala) mnaoneshwa then anapewa wakala wa chama husika na kuweka mezani,yani upigiwe kampen na fornicators kama diamond then utegemee kushinda uchaguz kamuulize magufuli alizunguka na lunda la wasanii 2020 mwisho wa siku mwamba lissu alimjambisha akaamua kuunda matokeo yake fake ya milion 12 lakin kwa kuwa Mungu hadhihakiwi saiv yuko wapi kufa kabisa kwa wiz wa kura na 2025 mkiiba tena lazima mfe mtake msitake maana Mungu hapendi ujinga.
tanzania hapa hata kukiwa na tume huru, upinzani kuishinda ccm bado sana, maeneo mengi bado wana imani na ccm........Sijui unavyoamini lakini Mimi nilikuwa mmoja nilioshiriki kuhesabu kura Kwa mara kwanza na nilitamani nione ni jinsi gani wanaiba mana nilikuwa wakala wa ccm, kwanza kura inavyotolewa kwenye lile box wote(mawakala) mnaoneshwa then anapewa wakala wa chama husika na kuweka mezani,
Mpaka kuhesa zile karatasi zinaisha Magufuli alikuwa na kura kama 600+ na lisu alikuwa kama na 80+ hata 100 hakufikisha.
Na hakuna kula iliyoibiwa wala kuongezwa kwenye kile kituo.
SO KWA WAKATI ULE LISSU KUMSHINDA MAGUFULI ILIKUWA NI NDOTO ZA ALINACHA.
Hata Kama magu alikuwa mwongo au katili nyuma ya pazia, lakini Kwa wanannchi alijijengea uaminifu na walimwamini sana sana tena sana.
Mimi ni m-Tz sina ngome, ila ni muumini wa mawazo mapya na uwezo wa kuchukua risk decisions!! Umri ukishakuwa mkubwa hapo usitegemee mawazo mapya wala risk taking!!. Without risk taking forget about development! Namheshimu sana mzee na anastahili heshima ya kila mkenya na mpenda haki afrika ya mashariki, lakini tukubali kuwa umri umemtupa mkono!!yako ngome ya nani?