Wenye vyeti fake walitakiwa kushitakiwa na kufungwa au kunyongwa hadi kufa maana walighushi. Dkt Magufuli aliwahurumia. Ningekuwa mimi ningeleta kwanza sheria ya kuwanyonga wote. Na usidhani eti serikali itawapa mafao hizo ni siasa hakuna aliyefoji cheti atapata kituMagufuli alifanya hili zoezi la vyeti feki kwa Tanzania lakini alikuwa selective. Magufuli hakugusa TPDF, Bunge na Wakuu wa mikoa. Hata Polisi na TISS nao hawakuguswa. Halafu alidhulumu mafao ambayo ni jasho lao.
Nashauri tu kuwa kama William Rutto anataka lifanikiwe alifanye across-the-board kwa sekta zote, asiwe selective
View attachment 2969921
Wacha tuone wanaharakati wanasemaje kuhusu watu waliofeli kuchukua haki za waliofaulu!Magufuli alifanya hili zoezi la vyeti feki kwa Tanzania lakini alikuwa selective. Magufuli hakugusa TPDF, Bunge na Wakuu wa mikoa. Hata Polisi na TISS nao hawakuguswa. Halafu alidhulumu mafao ambayo ni jasho lao.
Nashauri tu kuwa kama William Rutto anataka lifanikiwe alifanye across-the-board kwa sekta zote, asiwe selective
View attachment 2969921
Ni kweli suala la kughushi vyeti ni kosa kisheria, lakini ukweli ni kwamba utaratibu wa kisheria haukufuatwa wakati walipowafukuza watuhumiwa wa vyeti feki hapa Tanzania.Wenye vyeti fake walitakiwa kushitakiwa na kufungwa au kunyongwa hadi kufa maana walighushi. Dkt Magufuli aliwahurumia. Ningekuwa mimi ningeleta kwanza sheria ya kuwanyonga wote. Na usidhani eti serikali itawapa mafao hizo ni siasa hakuna aliyefoji cheti atapata kitu
Hoja haiko kwenye hatia bali iko kwenye double standards. Magufuli alifanya kwa sekta chache na zingine akaogopa.Wenye vyeti fake walitakiwa kushitakiwa na kufungwa au kunyongwa hadi kufa maana walighushi. Dkt Magufuli aliwahurumia. Ningekuwa mimi ningeleta kwanza sheria ya kuwanyonga wote. Na usidhani eti serikali itawapa mafao hizo ni siasa hakuna aliyefoji cheti atapata kitu
Huwezi kuingia TISS au jeshini na cheti fake, maana vetting ya huko ni mfumo. Acheni uzushi wa akina mbowe wa kimtaaniHoja haiko kwenye hatia bali iko kwenye double standards. Magufuli alifanya kwa sekta chache na zingine akaogopa.
Mkuu iyoo degreee ya chabo isikudanganyeeeeeee sawaWenye vyeti fake walitakiwa kushitakiwa na kufungwa au kunyongwa hadi kufa maana walighushi. Dkt Magufuli aliwahurumia. Ningekuwa mimi ningeleta kwanza sheria ya kuwanyonga wote. Na usidhani eti serikali itawapa mafao hizo ni siasa hakuna aliyefoji cheti atapata kitu
Unasemaje???????????????Huwezi kuingia TISS au jeshini na cheti fake, maana vetting ya huko ni mfumo. Acheni uzushi wa akina mbowe wa kimtaani
TPDF hakuna vyeti feki kwa vile TPDF huto elimu bure wa askari wake. Zamani walikuwa wanatoa elimu ya sekondari yotre kuanzia form 1 hadi vyuo (Nadhani unaijua sekondari ya TPDF Makongo), siku hizi nadhani wanaanzia form 5 hadi vyuo.Magufuli alifanya hili zoezi la vyeti feki kwa Tanzania lakini alikuwa selective. Magufuli hakugusa TPDF, Bunge na Wakuu wa mikoa. Hata Polisi na TISS nao hawakuguswa. Halafu alidhulumu mafao ambayo ni jasho lao.
Nashauri tu kuwa kama William Rutto anataka lifanikiwe alifanye across-the-board kwa sekta zote, asiwe selective
View attachment 2969921
Kwa hiyo na wewe ni matunda ya elimu ya Sekondari za Jeshi? Soma tena ulichoandika.TPDF hakuna vyeti feki kwa vile TPDF huto elimu bure wa askari wake. Zamani walikuwa wanatoa elimu ya sekondari yotre kuanzia form 1 hadi vyuo (Nadhani unaijua sekondari ya TPDF Makongo), siku hizi nadhani wanaanzia form 5 hadi vyuo.
Magufuli alifanya hili zoezi la vyeti feki kwa Tanzania lakini alikuwa selective. Magufuli hakugusa TPDF, Bunge na Wakuu wa mikoa. Hata Polisi na TISS nao hawakuguswa. Halafu alidhulumu mafao ambayo ni jasho lao.
Nashauri tu kuwa kama William Rutto anataka lifanikiwe alifanye across-the-board kwa sekta zote, asiwe selective
View attachment 2969921
Ujinga mtupu huu, ni sekta gani hiyo aliyo ogopa Magufuli acheni kubwabwaja, yaani apambane na maraisi wenzake ndani na nje ya Tz, afu aogope wakuu wa mikoa πππ hii ni maajabu kweli lisu amewaingia rohoniHoja haiko kwenye hatia bali iko kwenye double standards. Magufuli alifanya kwa sekta chache na zingine akaogopa.
Bila kujali iwapo ni matunda ya sekondari za jeshi. , angalau nina elimu ya kutosha kuliko wewe unayeandika upumbavu hivi.Kwa hiyo na wewe ni matunda ya elimu ya Sekondari za Jeshi? Soma tena ulichoandika.
Acha kutetea Double Standards wewe kenge. Unamtoa dreva mwenye cheti feki cha Form IV lakini anaendesha semi trailer Dar - Tunduru kupita Kitonga na Lukumburu bila shida, halafu unamuacha Daudi Bashite aliyekuwa na cheti cha Paul Makonda awe RC -Dar!! Hiyo ni akili au mavi??Acha ujinga wewe kwahiyo unataka kusema Magufuli aliwaogopa hao .. π yaani apambane na watu wakubwa na mataifa makubwa afu awaogope TPDF, wakuu wa mikoa n.k wewe nawe ni unapenda kuzusha mambo usioyajua
Magufuli alifahamu anacho kifanya, sio kila kazi serikalini ni lazima uwe na cheti, alikuwa anaangalia uwezo wa mtu kufanya kazi na kuendana na matarajio yake, lakini kuna hizi kazi zilizo kuwa zina hitaji utaalamu wa hali ya juu kama ualimu, udaktari n.k
watu walikuwa wanachukua hela za serikali lakini hakuna walilikuwa wanalifanya zaidi zaidi kuendelea kuharibu taifa na kusababisha majanga kutokana na wao wenyewe kukosa utaalamu kwenye nafasi zao
Nina Masters Degree wewe boga!! Acha kujilinganisha na mimi.Bila kujali iwapo ni matunda ya sekondari za jeshi. , angalau nina elimu ya kutosha kuliko wewe unayeandika upumbavu hivi.
Usimchukie shujaa kiasi hiki sio kila alichofanya kilikuwa sahihi , mengine alikoseaMagufuli alifanya hili zoezi la vyeti feki kwa Tanzania lakini alikuwa selective. Magufuli hakugusa TPDF, Bunge na Wakuu wa mikoa. Hata Polisi na TISS nao hawakuguswa. Halafu alidhulumu mafao ambayo ni jasho lao.
Nashauri tu kuwa kama William Rutto anataka lifanikiwe alifanye across-the-board kwa sekta zote, asiwe selective
View attachment 2969921