Lyetu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 1,268
- 3,429
Leta uthibitisho hapa, sichangii fununu au umbea.Usichague cha kusoma, bali soma na kuelewa. Hatutetei wagushi vyeti bali tunasema zoezi la kuondoa wagushi vyeti lilikuwa la ubaguzi. Kuna sekta hazikuguswa. Mbona liko wazi tu.
Kweli unamtoa dreva aliyegushi cheti cha Form IV na unamuacha Daudi Bashite anayetumia cheti na majina ya Paul Makonda awe RC Dar?
Naomba Lyetu uni jibu hilo kwa utulivu