Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo issue ya kwamba kila anayempinga Magufuli alikuwa na cheti FEKI, naipinga kwa nguvu zote. Kwanza hata Magufuli mwenyewe alikuwa na PhD FEKI na alipohojiwa na Ben Saanane ndipo akaamua kumteka na kumpoteza mpaka leo.Huu mjadala ukiuingia unaingia mguu mmoja mmoja, kuna watu wana hasira sana humu, sijui ni wahanga wa vyeti feki
Umedhulumiwa vipi mafao yako wakati ulivyofoji vyeti kisheria ulitakiwa ushtakiwe kwa udanganyifu na kuibia serikali umepokea mishahara ya bureMagufuli alifanya hili zoezi la vyeti feki kwa Tanzania lakini alikuwa selective. Magufuli hakugusa TPDF, Bunge na Wakuu wa mikoa. Hata Polisi na TISS nao hawakuguswa. Halafu alidhulumu mafao ambayo ni jasho lao.
Nashauri tu kuwa kama William Rutto anataka lifanikiwe alifanye across-the-board kwa sekta zote, asiwe selective
View attachment 2969921
Kwa level ya Elimu yako na umuhimu wako kwenye jamii nadhani ni vyema ukatoka upande wa kuwa hater na kuwa mtu wa kuchambua hoja .Magufuli shujaa wa nini? Shujaa anakufa kwa kwa kamasi za corona?
😂😂 sawa mkuu sasa hao wote ulio taja hapo vyeti vyao vingeathiri vipi utendaji wao au kipi kiliharibika walivyo fanya kazi bila vyeti???Acha kutetea Double Standards wewe kenge. Unamtoa dreva mwenye cheti feki cha Form IV lakini anaendesha semi trailer Dar - Tunduru kupita Kitonga na Lukumburu bila shida, halafu unamuacha Daudi Bashite aliyekuwa na cheti cha Paul Makonda awe RC -Dar!! Hiyo ni akili au mavi??
Aliwatoa vyeti feki lakini akawaacha akina Makonda, Kabudi, Kigwangalla, Mwigulu na yeye mwenyewe Magu alikuwa na PhD Feki. Alipohojiwa na Ben Sanane akaaishia KUMUUA.
MUNGU hapendi mambo haya, ndiyo maana AKAMTUPA Jehanam
Nina vyeti vyote vya kitaaluma kasoro kimoja tu cha shahada ya uzamivu (PhD).Umedhulumiwa vipi mafao yako wakati ulivyofoji vyeti kisheria ulitakiwa ushtakiwe kwa udanganyifu na kuibia serikali umepokea mishahara ya bure
Unachambua hoja gani sasa wakati majibu Mungu katoa? Magufuli aliyesoma Chemistry hadi Masters Level alipaswa awe mtu wa kwanza kufuata masharti ya WHO katika kujikinga na maambukizi.Kwa level ya Elimu yako na umuhimu wako kwenye jamii nadhani ni vyema ukatoka upande wa kuwa hater na kuwa mtu wa kuchambua hoja .
Nijibu wewe ni kwa vipi vyeti vya madreva waliofiji vyeti viliathiri kazi zao. Then nitakupa ya hao niliowataja😂😂 sawa mkuu sasa hao wote ulio taja hapo vyeti vyao vingeathiri vipi utendaji wao au kipi kiliharibika walivyo fanya kazi bila vyeti???
Pmbi kwenye ubora wakoHuwezi kuingia TISS au jeshini na cheti fake, maana vetting ya huko ni mfumo. Acheni uzushi wa akina mbowe wa kimtaani
Nijibu wewe ni kwa vipi vyeti vya madreva waliofiji vyeti viliathiri kazi zao. Then nitakupa ya hao niliowatajal
Unachambua hoja gani sasa wakati majibu Mungu katoa? Magufuli aliyesoma Chemistry hadi Masters Level alipaswa awe mtu wa kwanza kufuata masharti ya WHO katika kujikinga na maambukizi.
Lakini kinyume chake ushauri wa WHO kama social distancing, uvaaji wa barakoa na chanjo.
Uzuri wake COVID-19 haikumkopesha yeye na wasaidizi wake akina Kijazi na Mfugale.
Wewe ni mpumbavu ambaye hujui unachotetea ali mradi tu umtetee huyo marehemu wako.Wewe nawe sijui unashida gani aisee,, alifanya hivo kuzuia mishahara hewa sasa hao wa malori sijui umeng'ang'ana nao wa nini??? Kuna watu walifoji vyeti na kuajiriwa serikali na kuchukua mishahara hawa ndio alio pambana nao kama na hao wa maroli walikuwa wanalipwa serikalini basi ilikuwa ni haki yao kufanya hivo,,, lakini pia kuhusu hao wa kuu wa mikoa kuna sheria alifata ikiwemo kushirikisha bunge,, sheria ina wa ruhusu ndio maana hadi leo wapo
Magufuli hakuwa anajuwa lolote wala hakuwa na uwezo wa kujua ya mbele. Angekuwa na uwezo huo asingekufa kindezi vile.Mhmh kwahiyo wewe unawaamini sana WHO?? Ukubali au ukatae lakini ukweli ni kwamba Magufuri alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kufikiri na kuona mbele kuliko unavo fikiri wewe kwenye hii sms yako lakini pia alifahamu siri nyingi ambazo mimi na wewe hatuzijui, kabla ya kumkosoa Magufuri ulitakiwa udadisi kwanza hizo siri alizo kuwa anasema kuwa anazifahamu ungezitambua hizo usingetoa hoja hii
Wewe ni mpumbavu ambaye hujui unachotetea ali mradi tu umtetee huyo marehemu wako.
Wafanyakazi hewa na vyeti feki ni vitu viwili tofauti na vyote vilifanyika. Vyeti feki ni wafanyakazi halisi ambao waligushi vyeti vya Form IV. Sasa kwa nini uwaite wafanyakazi hewa.
Jamaa uye kisod
Magufuli hakuwa anajuwa lolote wala hakuwa na uwezo wa kujua ya mbele. Angekuwa na uwezo huo asingekufa kindezi vile.
Ila nyie wapumbavu kama wewe John_Anthony kwa kuwa vichwa vyenu vina kamasi lazima mumuone kuwa alikuwa genius.
Magufuli hakuwa anajuwa lolote wala hakuwa na uwezo wa kujua ya mbele. Angekuwa na uwezo huo asingekufa kindezi vile.
Ila nyie wapumbavu kama wewe John_Anthony kwa kuwa vichwa vyenu vina kamasi lazima mumuone kuwa alikuwa genius.
Magufuli hakuwa anajuwa lolote wala hakuwa na uwezo wa kujua ya mbele. Angekuwa na uwezo huo asingekufa kindezi vile.
Ila nyie wapumbavu kama wewe John_Anthony kwa kuwa vichwa vyenu vina kamasi lazima mumuone kuwa alikuwa genius.