John_Anthony
JF-Expert Member
- Mar 27, 2024
- 290
- 460
Ni kweli suala la kughushi vyeti ni kosa kisheria, lakini ukweli ni kwamba utaratibu wa kisheria haukufuatwa wakati walipowafukuza watuhumiwa wa vyeti feki hapa Tanzania.
Huyo pimbi mtowe hapo kwenye hiyo orodha. Alikuwa mwizi na mwongo tulengo lako ni ungane na wewe tu mkandamize Magufuri, Je itatusaidia nini? Lakini suala kufa hii sio hoja kujadiliwa kwa sababu hata wewe hujui utakufa vipi?
Wapo viongozi wengi sana walio kuwa na maono na matarajio makubwa sana lakini waliuawa haraka sana, mfano
1. Patrice Lumumba - DRC
2. Thomas Sankara - Buknafaso
3. Kwame Nkurumah - Ghana
4. Gadaffi - Libya
5. n.k
Hawa wote unaweza ukasema hivo hivo lakini tatizo kubwa la nchi za Afrika ni watu kuwa na wazo yenye upinzani kama wewe,, ndio maana hata hawa wote waliuawa, waliofanya haya yote naweza kusema ni waafrika na sababu ninazo,,
Acha kujaza pumba kwenye servers za JamiiForumsLengo kubwa la Magufuri ilikuwa ni kubana matumizi alibana kwa namna nyingi ikiwemo hiyo ya mishahara hewa, daktari, mwalimu, nesi, n.k hawa watu wakigushu vyeti tutakuwa na uhakika gani na taaluma zao?? Kazi zao zinahitaji taaluma ndio maana wamesomea hizo kazi...
Kulikuwa na mambo mengi sana ya hovyo
1. Baadhi ya viongozi walitengeneza majina feki ya wafanya kazi na maanisha kuwa yalikuwa majina tupu
2. Marehemu kuendelea kulipwa
3. Watu kufanya kazi za kitaaluma bila kuwa na taaluma husika
4. Hongo za namna mbalimbali
Njia pekee yakubaini haya yote ilikuwa ni ukaguzi wa vyeti
Ukiwa na cheti feki ukibaki nacho ndani nani atakuuliza kuhusu hilo? Waligushi vyeti feki ili wapate kazi serikalini walipwe fedha za serikali lakini hawakuwa na vigezo vya kufanya kazi hizo za kitaaluma...
Kwahiyo hapa jambo la muhimu alilolifanya magu ni kuzuia fedha za serikali kuibiwa hovyo,, kuhusu vyeti hili halikuwa lengo kuu kwahiyo hao wa malori uliosema hata wangekuwa na vyeti feki wangebaki navyo ndani tu wala wasinge ulizwa na mtu yeyote mtu halipwi fedha kwa kuwa na cheti analipwa kwa kufanya kazi lakini awe na vigezo vya kufanya kazi...
Huu ni wizi uliyo fanywa na viongozi walio kuwepo kipindi hicho lakini wewe bado unashindwa kutambua jitihada hizi, je wewe ungekuwa raisi ungefanya nini kuondoa hii hali ya wizi bila kuwa kagua vyeti vya wafanyakazi wako??? Au cheti kipo kwa ajiri ya nini?? Mambo mengine haya hitaji kuwa mwanachama wa chama fulani au hadi umpende sana mtu fulani ndipo uelewe jitihada zake.. kuendekeza uchama, udini, ukabila n.k huwezi kuwa mtu wa haki wala huwezi kutambua jitihada za mtu mwingine zaidi utafikiria kukosoa tu jitihada za wengine
Hapa hoja yako ilikuwa ni kwamba Magufuri aliogopa baadhi ya watu, lakini unashindwa kutambua kuwa hao wote alio waogopa alikuwa anashirikiana nao kwenye kazi kiasi gani? Ukaleta hoja za udereva kuwa aliwazingua sijui aliwazingua vipi lakini hawa madereva elimu zao ni veta huko nao wana taratibu zao za ukaguzi ndio maana askari wa ukaguzi wapo barabarani muda wote,, mimi hoja yangu ilikuwa ni watu kufanya kazi zinazo hitaji utaalamu wakusomea lakini wao wamelazimisha mambo tu
Ebu punguza matusi uwe unaeleza vizuri ili ueleweke
Mkuu vp kuhusu Bashite wako?Wenye vyeti fake walitakiwa kushitakiwa na kufungwa au kunyongwa hadi kufa maana walighushi. Dkt Magufuli aliwahurumia. Ningekuwa mimi ningeleta kwanza sheria ya kuwanyonga wote. Na usidhani eti serikali itawapa mafao hizo ni siasa hakuna aliyefoji cheti atapata kitu
Yaani kama wewe ungekuwa chawa wangu kazi ilikuwa inaisha leo, akili gani hizi!!Huwezi kuingia TISS au jeshini na cheti fake, maana vetting ya huko ni mfumo. Acheni uzushi wa akina mbowe wa kimtaani
Mkuu kuwa makini na unachoandika, jua kuna watu tunakuheshimu. Kama umelewa usipost chochote, ni ushauri tuTPDF hakuna vyeti feki kwa vile TPDF huto elimu bure wa askari wake. Zamani walikuwa wanatoa elimu ya sekondari yotre kuanzia form 1 hadi vyuo (Nadhani unaijua sekondari ya TPDF Makongo), siku hizi nadhani wanaanzia form 5 hadi vyuo.
huwezi kuachia wanajeshi 600 mitaani bila ya kazi, au vijana waliosomea mambo ya ulinzi mitaani, itakuwa ni balaa.Hoja haiko kwenye hatia bali iko kwenye double standards. Magufuli alifanya kwa sekta chache na zingine akaogopa.
Huna tofauti na bashite, anyway mawazo yako yaheshimiweAcha ujinga wewe kwahiyo unataka kusema Magufuli aliwaogopa hao .. [emoji23] yaani apambane na watu wakubwa na mataifa makubwa afu awaogope TPDF, wakuu wa mikoa n.k wewe nawe ni unapenda kuzusha mambo usioyajua
Magufuli alifahamu anacho kifanya, sio kila kazi serikalini ni lazima uwe na cheti, alikuwa anaangalia uwezo wa mtu kufanya kazi na kuendana na matarajio yake, lakini kuna hizi kazi zilizo kuwa zina hitaji utaalamu wa hali ya juu kama ualimu, udaktari n.k
watu walikuwa wanachukua hela za serikali lakini hakuna walilikuwa wanalifanya zaidi zaidi kuendelea kuharibu taifa na kusababisha majanga kutokana na wao wenyewe kukosa utaalamu kwenye nafasi zao
walikuwepo bwana na waliokuwa wanawaingiza jamaa zao ndiyo hao hao wenye mfumo. Mara nyingine kwa cheti hicho hicho kimoja.Huwezi kuingia TISS au jeshini na cheti fake, maana vetting ya huko ni mfumo. Acheni uzushi wa akina mbowe wa kimtaani
Acha kujaza pumba kwenye servers za JamiiForums
Nakazia hoja hapaAcha kutetea Double Standards wewe kenge. Unamtoa dreva mwenye cheti feki cha Form IV lakini anaendesha semi trailer Dar - Tunduru kupita Kitonga na Lukumburu bila shida, halafu unamuacha Daudi Bashite aliyekuwa na cheti cha Paul Makonda awe RC -Dar!! Hiyo ni akili au mavi??
Aliwatoa vyeti feki lakini akawaacha akina Makonda, Kabudi, Kigwangalla, Mwigulu na yeye mwenyewe Magu alikuwa na PhD Feki. Alipohojiwa na Ben Sanane akaaishia KUMUUA.
MUNGU hapendi mambo haya, ndiyo maana AKAMTUPA Jehanam
😳Huwezi kuingia TISS au jeshini na cheti fake, maana vetting ya huko ni mfumo. Acheni uzushi wa akina mbowe wa kimtaani
JWTZ/TPDF hakuna vyeti feki???TPDF hakuna vyeti feki kwa vile TPDF huto elimu bure wa askari wake. Zamani walikuwa wanatoa elimu ya sekondari yotre kuanzia form 1 hadi vyuo (Nadhani unaijua sekondari ya TPDF Makongo), siku hizi nadhani wanaanzia form 5 hadi vyuo.
Je, una uhakika kwamba Mwendazake amekufa kutokana na Covid-19 ???Unachambua hoja gani sasa wakati majibu Mungu katoa? Magufuli aliyesoma Chemistry hadi Masters Level alipaswa awe mtu wa kwanza kufuata masharti ya WHO katika kujikinga na maambukizi.
Lakini kinyume chake ushauri wa WHO kama social distancing, uvaaji wa barakoa na chanjo.
Uzuri wake COVID-19 haikumkopesha yeye na wasaidizi wake akina Kijazi na Mfugale.
Alikudanganya. Nenda kasome vizuri historia ya mapinduzi ya ZNZ.huwezi kuachia wanajeshi 600 mitaani bila ya kazi, au vijana waliosomea mambo ya ulinzi mitaani, itakuwa ni balaa.
Jifunze kutoka serikali iliyopinduliwa ya Zanzibar (ile iliyodumu mwezi mmoja). Inasemekana moja kati ya kosa kubwa lililotendeka ni kuondoa vijana polisi na jeshi kwenye ajira na kuweka vijana wapya wa 'Hizbu' kujazia zile nafasi. Sasa matokeo yake yalipokuja mapinduzi wale vijana wapya walioajiriwa hawakuwa na uzoefu kwenye mambo ya ulinzi, na kwa asilimia fulani ilichangia kuchukuliwa kwa serikali kwa urahisi sana. Hii alinisimulia mzee mmoja wa Afro Shirazi (sasa hivi ni marehemu).
Usichague cha kusoma, bali soma na kuelewa. Hatutetei wagushi vyeti bali tunasema zoezi la kuondoa wagushi vyeti lilikuwa la ubaguzi. Kuna sekta hazikuguswa. Mbona liko wazi tu.Nimesoma comments za baadhi ya wajinga, nimechafukwa hadi nimeshindwa kumalizia biriani langu.
Tumefika huku kwenye kutetea wagushi nyaraka? Tunataka wagushi nyaraka waachwe? Tunataka wagushi nyaraka walipwe?
Ama kweli Africa ni bara la wajinga.
naijua kuliko wewe rafiki. Lakini pia kuna versions nyingi ambazo sio official.Alikudanganya. Nenda kasome vizuri historia ya mapinduzi ya ZNZ.