Zoezi la Vyeti Feki Kenya: Rutto Asiingie Mtego wa Magufuli

Leta uthibitisho hapa, sichangii fununu au umbea.
 
Hujui kitu kuhusu hii issue. Au ulikuwa mhanga?
 
Hujui kitu kuhusu hii issue. Au ulikuwa mhanga?
Wewe pimbi mimi nina vyeti vyote halali vya kusomea elimu ya Tanzania kasoro PhD.

Ila siwezi kuunga mkono DOUBLE STANDARDS katika mchakato wa kuwatoa. Elewa neno Double Standards. Kama huelewi uliza, siyo mnaunga mkono tu kama kuku wasiokuwa na vichwa
 
TPDF hakuna vyeti feki kwa vile TPDF huto elimu bure wa askari wake. Zamani walikuwa wanatoa elimu ya sekondari yotre kuanzia form 1 hadi vyuo (Nadhani unaijua sekondari ya TPDF Makongo), siku hizi nadhani wanaanzia form 5 hadi vyuo.
Vyeti feki ni elimu au kutumia jina la mtu? Hao vyeti feki sio kwamba walifoji vyeti ila walitumia majina ya mtu mwingine kuendelea na masomo elimu ya juu.

Kwahiyo jeshini wapo wengi tu walifeli la saba wakarudia kwa jina la mtu mwingine.
 
Mkuu kwa Tpdf ata askari akiwa na vyeti feki siyo mbaya wao wanakuwa walinzi wa gatin na kufyeka tu makambini, tofauti na sekta ya Afya, Elimu, Mahakama, na Tamisemi
 
Nimesoma comments za baadhi ya wajinga, nimechafukwa hadi nimeshindwa kumalizia biriani langu.

Tumefika huku kwenye kutetea wagushi nyaraka? Tunataka wagushi nyaraka waachwe? Tunataka wagushi nyaraka walipwe?

Ama kweli Africa ni bara la wajinga.
Pole mkuu,kama tuliwahi kuwa na Rais kama Jiwe sasa unategemea nin
 
TPDF hakuna vyeti feki kwa vile TPDF huto elimu bure wa askari wake. Zamani walikuwa wanatoa elimu ya sekondari yotre kuanzia form 1 hadi vyuo (Nadhani unaijua sekondari ya TPDF Makongo), siku hizi nadhani wanaanzia form 5 hadi vyuo.
Kichuguu mkongwe akiwa kazini JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…