Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Ni yeye pekee aliyewamiminia hao wafanya biashara risasi ?
 
I cant imagine ni mawazo ya kiasi gani yanapita kwenye kichwa cha SP Bageni muda huu
Kama walivyokuwa na mawazo wafiwa wakati ule, heri na yeye apate haki yake. Ingekuwa mimi ningemnyonga mara baada ya hukumu bila kuchelewa maana amelichafua jeshi na kuumiza wanadamu wengine bila sababu ya msingi.
 
Pamoja na iyo hukumu hivi kweli kuna ushaidi wowote kuwa watu wanahukumiwa kunyongwa huwa wananyongwa hapa nchini
 
Du, Bageni kijana mdogo aliyekuwa anainukia.
Inaelekea waliompa amri wamemruka.
Lakini kwa yale mauaji yaliyotikisa nchi haki lazima itendeke, damu ya wananchi imemlilia Mungu.
Hivi serious ile kesi watu mnacomment kua walipewa amri,hampo serious at all
 
Sijaelewa,umemaanisha nn mkuu

kesi zllizokuwa zimeishiwa kiki, zinaanza kupewa kiki ili kuonyesha fulani anafanya kuliko fulani, UNADHANI KWA UANZISHWAJI HUU WA MAHAKAMA ZA .... halafu sheria za mahakama hizo anatunga fulani na fulani wakiwa sehemu fulani, Ni dhahiri tusubiri suprise toka kwa jamaa yetu. Huwa hawachagui pa kupiga wakikosa kiki ya kutusahaulisha majanga kedekede yanayoendelea bongoland chiniya mwamvuli wa DDN (-1)
 
Safi sana. Ukiua kwa upanga nawe utakufa kwa Upanga
 
kesi zllizokuwa zimeishiwa kiki, zinaanza kupewa kiki ili kuonyesha fulani anafanya kuliko fulani, UNADHANI KWA UANZISHWAJI HUU WA MAHAKAMA ZA .... halafu sheria za mahakama hizo anatunga fulani na fulani wakiwa sehemu fulani, Ni dhahiri tusubiri suprise toka kwa jamaa yetu. Huwa hawachagui pa kupiga wakikosa kiki ya kutusahaulisha majanga kedekede yanayoendelea bongoland chiniya mwamvuli wa DDN (-1)
Kwa hili mkuu ntapingana na nyie...
Sometimes siasa zkae kando..
Watu weng hupenda kutolea mfano Usa,embu nambie kesi kule hutumia hta miaka 20 ili zfungwe sembuse io ya kna bageni sijui,time is nothing kwny justice system mkuu...
.
Check hizi Top 10 cold cases solved | Real Crime | Really Channel ...
.
Na hii mkuu ambayo ilpoanza mpka.inaisha,hadi inakatwa rufaa watoto wamezaliwa ,wamekua na wngne wamekufa The murder that became the oldest solved cold case in America | New York Post
kesi zllizokuwa zimeishiwa kiki, zinaanza kupewa kiki ili kuonyesha fulani anafanya kuliko fulani, UNADHANI KWA UANZISHWAJI HUU WA MAHAKAMA ZA .... halafu sheria za mahakama hizo anatunga fulani na fulani wakiwa sehemu fulani, Ni dhahiri tusubiri suprise toka kwa jamaa yetu. Huwa hawachagui pa kupiga wakikosa kiki ya kutusahaulisha majanga kedekede yanayoendelea bongoland chiniya mwamvuli wa DDN (-1)
 
Kwa hili mkuu ntapingana na nyie...
Sometimes siasa zkae kando..
Watu weng hupenda kutolea mfano Usa,embu nambie kesi kule hutumia hta miaka 20 ili zfungwe sembuse io ya kna bageni sijui,time is nothing kwny justice system mkuu...
.
Check hizi Top 10 cold cases solved | Real Crime | Really Channel ...
.
Na hii mkuu ambayo ilpoanza mpka.inaisha,hadi inakatwa rufaa watoto wamezaliwa ,wamekua na wngne wamekufa The murder that became the oldest solved cold case in America | New York Post

Huwa napata wakati mgumu sana kufananisha maamuzi ya paka na kuku wanapokuwa na tatizo. Sidhani kama muda ni kigezo sahihi sana kama matokeo yatakuwa yaleyale hata kama muda utafutwa!!

Weusi tuna safari ndefu sana kifikra kuja kujifananisha na waliopakwa rangi, HASA KATIKA MAAMUZI YA VITU SERIOUS! japo tunaongoza kwa maamuzi YASIYOKURUPUKA kwenye mambo yasiyo serious!
 
Ila pamoja na kuachiwa DAMU za vijana hawa zitawalilia milele na milele na wasijione wameshinda kesi kwa Mungu kesi ipo!

Mungu akamwambia Kaini, 'ndugu yako yupo wapi? damu ya ndugu yako uliyemuua inanililia toka ardhini'.
 
Nalaani kesi kuchukua muda mrefu mpaka wafiwa machungu yametutoka...!
 
I wish Polisi wajifunze kwenye hili.Mwisho wa siku Order kutoka JUU huishia wao kwenda jela au kunyongwa.


Ila kwenye hii issue ilikuwa tamaa zao tuu, hasa huyo Zombe, na sijui amechomokaje aisee.
 
Nashauri Bageni apewe NAFASI azungumze kabla ya kunyongwa! Pili mahakama ya rufaa imeshindwa kutegua mtego wa polisi kuua na pia kupeleleza kesi wenyewe. Najiuliza ni kwa nini kwa suala hili mahakama haikutaka kupata mpelelezi wa kujitegemea ?
 
Naomba kujuzwa hivi Kwa tanzania hukumu ya hivi ni kweli utanyongwa?
Kuna uzi ulipita hapa JF kuhusu jamaa ambaye kazi yake ni kunyonga watu huko magerezani. Sina ujanja wa kuifukua. Jamaa alisema kuna wakati alikuwa ananyonga hata watu nane kwa siku. Hii habari kama allisoma SP MAKENE atakuwa anaivutia hisia za maumivu mida hii.

Lakini siku hizi mahakama ya rufaa tz sio mwisho wa safari, anaweza funga tela kwa akina Babu Seya huko mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika.
 
Back
Top Bottom