Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Wakuu, naomba kuwakumbusha tu kwamba Mageni na wenzake ndiyo waliowakamata marehemu na baadae kwenda nao huko msituni na yaliyotokea huko ni Mageni akiwa mhusika mkuu anafahamu na amepata haki yake.

Zombe alikuwa anatuhumiwa kuwalinda askari wake na kuihusisha kesi na siasa hivyo kuweka mlolongo mrefu ulochukua miaka 10.

Ila mahakama ya Rufani Tanzania imeridhika na upande wa mashtaka kwamba ni Mageni alietenda kosa la kuwapiga risasi raia waso na hatia na leo hii ni miaka 10 familia zao zimekuwa zikingoja hukumu.

Hivyo tusiendeleze siasa sana katika mambo ya msingi kama haya ya mtu kuua kwa kukusudia na kutegemea Zombe amkingie kifua khasa baada ya mahakama kuamua kujivua magamba ya ufisadi na vitendo vya rushwa.

Mageni kapatikana na hatia na hukumu yake ni kifo kwake kama alivyowaua watu waso na hatia.
 
Nashauri Bageni apewe NAFASI azungumze kabla ya kunyongwa! Pili mahakama ya rufaa imeshindwa kutegua mtego wa polisi kuua na pia kupeleleza kesi wenyewe. Najiuliza ni kwa nini kwa suala hili mahakama haikutaka kupata mpelelezi wa kujitegemea ?

Kwanini mpelelezi wa kujitegemea?

Unadhani Mageni kaonewa?

Unadhani DPP amepewa rushwa?

Tufafanulie mkuu.
 
Hii ishu na ile kesi ya Mwangosi, kama polisi wana akili wajifunze.
 
Ndo maana tunaelezwa kuwa akili za kuambiwa changanya na zako...
Hata yule askari aliyemuua mwangosi ni hivyo hivyo, bosi wake aliyemuamrisha karuka viunzi yeye kanaswa....
Hajaruka viunzi, alipandishwa cheo.
 
This is a serious allegation, kama huna uhakika ifute. Ni insult kubwa kwa judiciary. Meaning kwamba haki haikutendtka na aliyehukumiwa kunyongwa ni maonevu.

....You think it is impossible??
 
HatA Zombe ilimstahili hukumu sema tu Afrika tuna matatizo kwenye maswala yote ya kuendesha jinai kwa upande wa mashitaka na mahakama.
 
I cant imagine ni mawazo ya kiasi gani yanapita kwenye kichwa cha SP Bageni muda huu
HUUYUUMNGESE NILIWAMBIAJAMAA ZAKE AKIPONAA NAJITIA KITANZII..HIINGOMA ZOMBE HATAKAMA ALIPANGA IKONAE KWAMBALI LAKINI MASHAHIDI WALIOPELEKWA BAGEN ASINGEPONA
 
Nendamahakaman bana ulipii hats mia

Pdidy huwa nakuheshimu sana ktk watu highly respectable in this forum, usiniangushe. Uko Musoma how do I access the court of appeal in dar
 
HUUYUUMNGESE NILIWAMBIAJAMAA ZAKE AKIPONAA NAJITIA KITANZII..HIINGOMA ZOMBE HATAKAMA ALIPANGA IKONAE KWAMBALI LAKINI MASHAHIDI WALIOPELEKWA BAGEN ASINGEPONA

Mageni asingepona na khasa wale vijana walokosa hesabu ndio walifanya uchunguzi kwa moyo wote.

Na kesi nyingi sana kwa sasa zitachunguzwa sana na CIDs.

Ila bado "independent body" au kamisheni ya kufanya uchunguzi, inatakiwa kwenye masuala kama hili ambalo limechukua muda mrefu.
 
Si bora ingekuwa kama unavyosema,, hao waliwaua wale vijana na kuwapora fedha zao za Vito walivyouza,,,,ila Zombe angefungwa nae japo miaka kumi tu,,,maana alikuwa mkuu wa upelelezi,,kwaiyo mchongo mzima alikuwa anaujua itakuwa
Nashangaa yupo huru zombe?!!! haaa nadhani hata christopher hanyongwi wala nn nimekulia magumashini najua mambo yanavyoenda upande huo[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] m 7[emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
 
Kuna uzi ulipita hapa JF kuhusu jamaa ambaye kazi yake ni kunyonga watu huko magerezani. Sina ujanja wa kuifukua. Jamaa alisema kuna wakati alikuwa ananyonga hata watu nane kwa siku. Hii habari kama allisoma SP MAKENE atakuwa anaivutia hisia za maumivu mida hii.

Lakini siku hizi mahakama ya rufaa tz sio mwisho wa safari, anaweza funga tela kwa akina Babu Seya huko mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika.
Niliusoma huo uzi jamaa alikuwa ni WA miaka ya 80.takwimu halisi za Haki za binadam zinaonyesha kikwete kanyonga mmoja mkapa sijui wawili. Hapo ndo huwa sielewi nini maana ya hi adhabu
 
Niliusoma huo uzi jamaa alikuwa ni WA miaka ya 80.takwimu halisi za Haki za binadam zinaonyesha kikwete kanyonga mmoja mkapa sijui wawili. Hapo ndo huwa sielewi nini maana ya hi adhabu
Haya mambo ya wangapi wamenyongwa ni siri kibwa. Hawezi taja idadi ya walionyongwa, kama ulisoma vema jamaa alisema maiti za walionyongwa huwa zinazikwa na magereza kwa siri kubwa, ndugu hawapewi hizo maiti wala taarifa.
 
Back
Top Bottom