Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Wakuu, naomba kuwakumbusha tu kwamba Mageni na wenzake ndiyo waliowakamata marehemu na baadae kwenda nao huko msituni na yaliyotokea huko ni Mageni akiwa mhusika mkuu anafahamu na amepata haki yake.

Zombe alikuwa anatuhumiwa kuwalinda askari wake na kuihusisha kesi na siasa hivyo kuweka mlolongo mrefu ulochukua miaka 10.

Ila mahakama ya Rufani Tanzania imeridhika na upande wa mashtaka kwamba ni Mageni alietenda kosa la kuwapiga risasi raia waso na hatia na leo hii ni miaka 10 familia zao zimekuwa zikingoja hukumu.

Hivyo tusiendeleze siasa sana katika mambo ya msingi kama haya ya mtu kuua kwa kukusudia na kutegemea Zombe amkingie kifua khasa baada ya mahakama kuamua kujivua magamba ya ufisadi na vitendo vya rushwa.

Mageni kapatikana na hatia na hukumu yake ni kifo kwake kama alivyowaua watu waso na hatia.
Mkuu
Aliehukumiwa kifo ni mtu alokuwa anatoa amri kuwa kill them..muuaji aliekuwa anatekeleza hilo jukumu yuko free naskia kwa kigezo kuwa ana honor mandate ya superior in chain of command

Ndo nivosikia ivo
 
Wanajamvi
naona hisia zimetawala kiasi kwamba hoja za msingi zinaachwa

1. Kuna Christopher Bageni
2. Abdallah Zombe

Kosa la msingi ni mauaji ambalo mahakama kuu haikuona hatia kwa wahusika

Kesi imefikia tamati mahakama ya rufani, Bageni amepatikana na kosa la kuua na hivyo anyongwe hadi afe.

Mahakama haikuona Zombe kama 'accomplice' kwa namna yoyote
Mwendeaha mashtaka hakuweza ku associate mauaji na Zombe

Kumbuka hapa ni mauaji kwanza, kabla ya habari nyingine

Kilichokatiwa rufaa kwa Zombe ni kuhusu cover up aliyofanya

Kimahakama, mwenye jukumu la kuthibitisha tuhuma ni mshtaki.
''The onus is on the complainant to prove guilty''

Inaonekana wameshindwa kwa hilo, Zombe yupo huru

Hata kama tunajua alifanya hivyo, kama haikuthibitishwa mahakamani, mahakama haiwezi kutoa hukumu hisia.
Case ya Nyani Mpelezi Ngedere ilikuwa lazima iwe hivyo Zombe amenasuliwa "kimkakati" na kukidhi mambo flan flan [emoji40] [emoji40] nikweli Kwenye kuhumu mahakama hiyo sioni kosa Lake, isingeweza kuhukumu kwa Hisia ulikuwa ni Wajibu wa DPP Kuthibitisha Hilo.

Done deal. [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Niliusoma huo uzi jamaa alikuwa ni WA miaka ya 80.takwimu halisi za Haki za binadam zinaonyesha kikwete kanyonga mmoja mkapa sijui wawili. Hapo ndo huwa sielewi nini maana ya hi adhabu
Mkuu
huwezi ku revive huo uzi..sijui nilipitwa wapi sikuuona??..naomba unipe tittle yake nijaribu ku google kama unakumbuka
 
Wanajamvi
naona hisia zimetawala kiasi kwamba hoja za msingi zinaachwa

1. Kuna Christopher Bageni
2. Abdallah Zombe

Kosa la msingi ni mauaji ambalo mahakama kuu haikuona hatia kwa wahusika

Kesi imefikia tamati mahakama ya rufani, Bageni amepatikana na kosa la kuua na hivyo anyongwe hadi afe.

Mahakama haikuona Zombe kama 'accomplice' kwa namna yoyote
Mwendeaha mashtaka hakuweza ku associate mauaji na Zombe

Kumbuka hapa ni mauaji kwanza, kabla ya habari nyingine

Kilichokatiwa rufaa kwa Zombe ni kuhusu cover up aliyofanya

Kimahakama, mwenye jukumu la kuthibitisha tuhuma ni mshtaki.
''The onus is on the complainant to prove guilty''

Inaonekana wameshindwa kwa hilo, Zombe yupo huru

Hata kama tunajua alifanya hivyo, kama haikuthibitishwa mahakamani, mahakama haiwezi kutoa hukumu hisia.
Daaaah
Ndo weakness ya sheria haki imefichwa mbali sana
 
Kwa mtu yoyote aliyefuatia lile tukio la mauaji atakubaliana na mimi kuwa hapa mahakama imetoa hukumu halali. Huyu jamaa aliyehukumiwa kunyongwa kweli ndie mhusika mkuu kwani marehemu wote walichukuliwa chini ya usimamizi wake na wafikwa na umauti chini ya usimamizi wake. Zombe ni lazima angepona kwa sababu hakuwepo kwenye tukio na hakuna ushahidi unaoonyesha kuwa alitoa amri wauawe.
Zombe..ni smooth n smart killer..huwezi muona kwa macho kirahisi kwa kutumia jicho la sheria lisilo na lenzi kali
 
Unyama walioufanya hawa watu haukuwa wa kitoto , hatuna haja ya kuurudia hapa , sasa hukumu imesomwa hakuna haja ya kusubiri.

Hii ni sehemu ndogo sana ya uonevu ulioibuliwa na kuthibitishwa kufanywa na jeshi la polisi Tanzania , lakini yako maonevu mengi sana ambayo hayaripotiwi kwa sababu ya uoga wa Raia .

Sasa ili kutoa Angalizo na Onyo kwa polisi wengine , ikiwa ni pamoja na kurudisha nidhamu ya kutenda haki , ni vema huyu jamaa akanyongwa haraka kama alivyofanywa Sadam Hussein wa Iraq baada ya kukutwa na hatia ya kuamuru sumu Ipulizwe kwenye maeneo ya Wakurd , between late 70's and early 80's.

Hatutaki kusikia kwamba kuna makarasi hajasainiwa wala blah blah zingine zinazofanana na hizo , hawa walipowatwanga risasi raia wale wasio na hatia hawakusubiri chochote , walichoangalia ni namna ya kuwaua ili wawapore hela zao , dawa ya moto ni moto.

Natoa wito kwa wengine wote kwamba hivi vyeo mnavyopewa ni dhamana tu , wala si utukufu na kiukweli si kinga ya uharamia mtakaoufanya , ni vema mkaheshimu haki na sheria .
 
Kuna siku moja kesi ya Mwangosi itafanyiwa appeal halafu kwenye hio appeal hukumu ya yule dogo itakua kama ya huyu huyu..... BAK tpaul
Nani wa ku appeal mkuu..
Wakati anaeshtaki ni jamhuri..kumbuka kuwa wiki moja kabla ya kuhukumiwa yule askari jaji alilalamika kusema serikali imeshindwa kuleta mashahidi na mtaalam wa mlipuko licha yakuwa na rasilimali za kutosha kufanya hivo...
Ujiulize ni kwa kiasi gani upande wa jamhuri haukuwa serious ktk kuitetea haki ya mwangosi
 
Katika kesi za MAUAJI anayetiwa hatiani ni yule aliyeshika bunduki sio aliyetoa amri ya kuua. Ndio maana liZOMBI limekwepa kitanzi. Polisi wetu wanaotumiwa kama vyangudoa wana jambo la kujifunza hapa.
Mkuu
Nivosikia ni kuwa huyu bwana bageni kakutwa na kosa kwa kutoa amri ya kuua ambayo wengne wanahisi kuwa ilitoka kwa zombe ingawa mahakama haijamkuta na hatia mr zombi..ila watekelezaji yaani washikabbunduki wao wako huru kwa ku adhere order from superior in chain of command from mr bageni
 
Zombe..ni smooth n smart killer..huwezi muona kwa macho kirahisi kwa kutumia jicho la sheria lisilo na lenzi kali
Ni kweli mkuu. Unajua ten haya mawasiliano yasiyo rasmi. Hata kwenye maungamano ya wale polisi kuna mmoja alinukuliwa akisema ''mkuu amesema wachijwe''. Lakini kwa udukuzi wangu niliofanya issue iko hivi: kipindi hicho kulikuwa na ongezeko la ujambazi wa kutumia silaha hivyo kulikuwa na ''un-written order'' kwa polisi kuto-mess up na mshukiwa yoyote aliyeonekana ni jambazi. Sasa wale marehemu walipokamatwa na kiasi kikubwa cha fedha huku wakiwa na silaha (waliyokuwa wanaimiliki kihalali) hawa polisi wetu kama wasivyopenda kujiridhisha walichukulia kuwa na majambazi. Lakini hata hivyo kuna kitu kimoja kiliwafanya wasipenda kuchunguza zaidi: i.e. zile fedha walizobeba ziliwalevya polisi na kuona kuwa kama wakiwaondoa watakuwa na nafasi nzuri ya kujipatia chochote. Hivyo wakawasiliana na Zombe aliyewapa order ya kuchinja huku akiamini wanachinja majambazi. Sasa hapa unaweza kugundua kuwa huyu mhukumiwa na wenzake hawakupenda kujiridhisha kama ni majambazi kweli au la kwa ajili ya tamaa ya kuchukua zile fedha.
 
Ni kweli mkuu. Unajua ten haya mawasiliano yasiyo rasmi. Hata kwenye maungamano ya wale polisi kuna mmoja alinukuliwa akisema ''mkuu amesema wachijwe''. Lakini kwa udukuzi wangu niliofanya issue iko hivi: kipindi hicho kulikuwa na ongezeko la ujambazi wa kutumia silaha hivyo kulikuwa na ''un-written order'' kwa polisi kuto-mess up na mshukiwa yoyote aliyeonekana ni jambazi. Sasa wale marehemu walipokamatwa na kiasi kikubwa cha fedha huku wakiwa na silaha (waliyokuwa wanaimiliki kihalali) hawa polisi wetu kama wasivyopenda kujiridhisha walichukulia kuwa na majambazi. Lakini hata hivyo kuna kitu kimoja kiliwafanya wasipenda kuchunguza zaidi: i.e. zile fedha walizobeba ziliwalevya polisi na kuona kuwa kama wakiwaondoa watakuwa na nafasi nzuri ya kujipatia chochote. Hivyo wakawasiliana na Zombe aliyewapa order ya kuchinja huku akiamini wanachinja majambazi. Sasa hapa unaweza kugundua kuwa huyu mhukumiwa na wenzake hawakupenda kujiridhisha kama ni majambazi kweli au la kwa ajili ya tamaa ya kuchukua zile fedha.
Umeniongezea kitu
Ahsante sana
 
Zombe angenyongwa ingekuwa safi sana ujumbe ungefika ata kwa wale waliotoa amri Mwangosi akauwawa.
 
Hv wana jf hukumu hii imetoka kwa bageni na haki imechukua mkondo wake lakini kwa mm nilihitaji mwenye picha yake aiweke tumfahamu muuwaji huyo maana anaweza kutoroka gerezani akakimbilia vijijni akajifanya mkata mkaaa au mkulima wa vitunguu ili kuisaidia polisi aweze kudhibiwa tena ni budi tuifahamu sura yake kwa njia ya picha!
 
Back
Top Bottom