TANZIA Zuchi Zuchero, mpiga picha na Mwandishi wa Habari afariki kwa ajali

TANZIA Zuchi Zuchero, mpiga picha na Mwandishi wa Habari afariki kwa ajali

Sina la kusema mkuu, maana kuna wanaotegemea kuishi kwa hizo boda hivyo siwezi kuziita takataka labda sheria zikaziwe, usalama uzingatiwe watozwe faini kali huenda ikapunguza tatizo hali ni mbaya boda zinaua sana barabarani
Mpaka sasa hivi sheria zipo lakini ndiyo hivyo vijana hawataki kuzifuata!
 
Binafsi pikipiki na bajaj sipandi kama ni lami, yaani hadi nipande bajaj sijui nina haraka gani. Nimeshazoea na huo umekuwa utaratibu wangu.

One day nipo job, nikatumiwa sms na wife kuwa watoto wanaenda sehemu mchana. Nampigia dada yao wako wapi na wanatumia usafiri gani, niliposikia "bajaj" nikamwambia washuke kituo kinachofata wapande daladala...

Sijui kwa nini nina hofu sana na bajaj.
Hawa madada nao,siku ingine utasikia kapanda na mtoto bodaboda! Mtoto anasimulia jinsi alivyoinjoi bodaboda. SMH
 
Yaani inashangaza. Ukiacha polisi,je watu wengine hakuna kitu wanaweza kufanya?
Imeniuma Sana......

Mwanadamu ni kiumbe cha thamani sana.... kuanzia kikiwa hai na hata kikiwa hakina Uhai.....ndio maana kuna mazishi na makaburi.........

Yaani binadamu wanaacha maiti ya binadamu mwenzao inadharirika kwenye mvua kwa kauli ya polisi.......

Seriously mwanadamu anazungukwa na binadamu wenzake wanamtazama kama mzoga kwa masaaa zaidi ya sita.......

Watu wanashindwa kwenda kituo cha polisi na kujitolea hata elf 20 ya mafuta kuja kumchukua marehemu....???

Binadamu tumefikia kubaya Sana kwenye matendo ya kibinadamu na utu...............

Dah!!!!
 
Binafsi pikipiki na bajaj sipandi kama ni lami, yaani hadi nipande bajaj sijui nina haraka gani. Nimeshazoea na huo umekuwa utaratibu wangu.

One day nipo job, nikatumiwa sms na wife kuwa watoto wanaenda sehemu mchana. Nampigia dada yao wako wapi na wanatumia usafiri gani, niliposikia "bajaj" nikamwambia washuke kituo kinachofata wapande daladala...

Sijui kwa nini nina hofu sana na bajaj.
Uko sahihi mkuu, Uendeshaji wa bajaj hapa mjini, nao unatia mashaka sana coz wanajichomeka chomeka sana, nayo ni hatari
 
Sina la kusema mkuu, maana kuna wanaotegemea kuishi kwa hizo boda hivyo siwezi kuziita takataka labda sheria zikaziwe, usalama uzingatiwe watozwe faini kali huenda ikapunguza tatizo hali ni mbaya boda zinaua sana barabarani
Nafikiri alaaniwe yulee aliyezilaani kwanza kwa kusema ni kazi ya laana.
 
Ajali imetokea jana usiku mida ya saa 8 nadhani, boda boda wa mbezi wamefika eneo la tukio wanawapigia simu polisi kuwapa maelezo ya tukio ili wafike kwa wakati lakini ajabu jibu walilotoa askari linafikirisha sana..

Jibu walilotoa polisi walisema Gari yao haina MAFUTA ☹️,boda boda ilibidi waustili mwili vizuri ili hali ukiendelea kubakia eneo lile ukinyeshewa na mvua😢, mpaka ilipofika leo mida ya saa 4 asubuhi ndipo askari waliweza kufika eneo la tukio na kuutoa mwili wa marehemu kuupeleka hospitali.

TUKIO LA JANA NI UDHIHIRISHO TOSHA KUWA TUNA ASKARI WASIOKUWA NA WELEDI WOWOTE NA KAZI YAO 😒😠


"""Dah Zuchi, Mungu amlaze mahala pema peponi 🙏 nakumbuka wakati na Show ya #ThePlaylist ikabidi nitafute mtu mkali wa kufanya nae Professional Photoshoot nikakutana na Zuchi kipindi iyo anajitafuta na Studio yake Mwenge ndani ndani!

Akawasha midude hatari sana na kutokea apo ikawa kila kazi tunapiga nae na watu wakibao wakamuamini zaidi, njaa yake ya kutamani kupiga picha kali ikampeleka mpaka kwa Millard na kufanya kazi kupitia Ayotv, Pole sana @millardayo pole kwa familia, ndugu na jamaa 🙏 M/Mungu amlaze mahala pema peponi 🙏. """Lulyommy

Mama Samia Hadi awatumie hela ya mafuta Kwenye M-pesa
 
Ajali imetokea jana usiku mida ya saa 8 nadhani, boda boda wa mbezi wamefika eneo la tukio wanawapigia simu polisi kuwapa maelezo ya tukio ili wafike kwa wakati lakini ajabu jibu walilotoa askari linafikirisha sana..

Jibu walilotoa polisi walisema Gari yao haina MAFUTA ☹️,boda boda ilibidi waustili mwili vizuri ili hali ukiendelea kubakia eneo lile ukinyeshewa na mvua😢, mpaka ilipofika leo mida ya saa 4 asubuhi ndipo askari waliweza kufika eneo la tukio na kuutoa mwili wa marehemu kuupeleka hospitali.

TUKIO LA JANA NI UDHIHIRISHO TOSHA KUWA TUNA ASKARI WASIOKUWA NA WELEDI WOWOTE NA KAZI YAO 😒😠


"""Dah Zuchi, Mungu amlaze mahala pema peponi 🙏 nakumbuka wakati na Show ya #ThePlaylist ikabidi nitafute mtu mkali wa kufanya nae Professional Photoshoot nikakutana na Zuchi kipindi iyo anajitafuta na Studio yake Mwenge ndani ndani!

Akawasha midude hatari sana na kutokea apo ikawa kila kazi tunapiga nae na watu wakibao wakamuamini zaidi, njaa yake ya kutamani kupiga picha kali ikampeleka mpaka kwa Millard na kufanya kazi kupitia Ayotv, Pole sana @millardayo pole kwa familia, ndugu na jamaa 🙏 M/Mungu amlaze mahala pema peponi 🙏. """Lulyommy

Habari hii haijakamilika kabisa.Haijaeleweka vyema.
Anyway, nawapa pole sana wafiwa.

But all in all, natoa tena angalizo kwa Waandishi wa Habari Tz wanatakiwa kuwa makini sana muda wote kuhusiana na maisha yao kwani wengi wao nyoka wapo majumbani mwao na kwenye ofisi zao wanapofanyia kazi.
 
Habari hii haijakamilika kabisa.Haijaeleweka vyema.
Anyway, nawapa pole sana wafiwa.

But all in all, natoa tena angalizo kwa Waandishi wa Habari Tz wanatakiwa kuwa makini sana muda wote kuhusiana na maisha yao kwani wengi wao nyoka wapo majumbani mwao na kwenye ofisi zao wanapofanyia kazi.
Kifo chake ni cha kupangwa?
 
Boda Boda ni death trap ila hatuwezi zikwepa kiukweli. Daladala na foleni hizi ni kero mno. Yani hazivumiliki kabisa kama una nauli utalipa boda boda tu ikupeleke. Gari binafsi ndio yale yale maana una ganda for hours kwa safari ya dakika 20 tu.
Hizi siku mbili boda nimepanda mitaa ya kkoo bila kupenda ila risk ndo hizi sasa.. Barabara mbovu na miundombinu inaondoka na roho za watu aisee gari binafsi shida.. usafiri wa umma nao usiseme limebaki kaburi tuu ukipanda ukifika salama unamshukuru Mungu
 
Back
Top Bottom