Zuchu aachane na Wasafi asimame mwenyewe kama Nandy ! Atafute mume aolewe muda ni sasa awe na familia

Zuchu aachane na Wasafi asimame mwenyewe kama Nandy ! Atafute mume aolewe muda ni sasa awe na familia

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Wabobezi wa Sheria za mikataba waingie kazini wamsaidie huyu mrembo kijana na mwenye mvuto mkubwa Afrika nzima ,kuuvunja mkataba wake na Wasafi ili asimame mwenyewe kwa uwezo wa zuchu akiwa mwenyewe atafanya makubwa sana!

Zuchu asipoondoka Wasafi atadumaa na hatakuwa huru hata siku Moja ! Kimahusiano zuchu atafute mume ambaye sio celebrity,Azae awe na familia yake kabla hajapata UTI na magonjwa mengine sugu
 
Wabobezi wa Sheria za mikataba waingie kazini wamsaidie huyu mrembo kijana na mwenye mvuto mkubwa afrika nzima ,kuuvunja mkataba wake na wasafi ili asimame mwenyewe kwa uwezo wa zuchu akiwa mwenyewe atafanya makubwa sana! Zuchu asipoondoka wasafi atadumaa na hatakuwa huru hata siku Moja ! Kimahusiano zuchu atafute mume ambaye sio celebrity,Azae awe na familia yake kabla hajapata UTI na magonjwa mengine sugu
 
Wabobezi wa Sheria za mikataba waingie kazini wamsaidie huyu mrembo kijana na mwenye mvuto mkubwa afrika nzima ,kuuvunja mkataba wake na wasafi ili asimame mwenyewe kwa uwezo wa zuchu akiwa mwenyewe atafanya makubwa sana! Zuchu asipoondoka wasafi atadumaa na hatakuwa huru hata siku Moja ! Kimahusiano zuchu atafute mume ambaye sio celebrity,Azae awe na familia yake kabla hajapata UTI na magonjwa mengine sugu
Huyo ndiyo HIRIZI ya Diamond. Hakuna kutoka, hakuna kuolewa bali ataliwa tu na mke wa P Diddy.
 
Wabobezi wa Sheria za mikataba waingie kazini wamsaidie huyu mrembo kijana na mwenye mvuto mkubwa afrika nzima ,kuuvunja mkataba wake na wasafi ili asimame mwenyewe kwa uwezo wa zuchu akiwa mwenyewe atafanya makubwa sana! Zuchu asipoondoka wasafi atadumaa na hatakuwa huru hata siku Moja ! Kimahusiano zuchu atafute mume ambaye sio celebrity,Azae awe na familia yake kabla hajapata UTI na magonjwa mengine sugu
Nje ya wasafi huenda akawa wa kawaida kama ilivyo kwa movoko, ray vanny na harmonize japo kapambana sana harmo
 
Wabobezi wa Sheria za mikataba waingie kazini wamsaidie huyu mrembo kijana na mwenye mvuto mkubwa Afrika nzima ,kuuvunja mkataba wake na Wasafi ili asimame mwenyewe kwa uwezo wa zuchu akiwa mwenyewe atafanya makubwa sana!

Zuchu asipoondoka Wasafi atadumaa na hatakuwa huru hata siku Moja ! Kimahusiano zuchu atafute mume ambaye sio celebrity,Azae awe na familia yake kabla hajapata UTI na magonjwa mengine sugu
Unajuaje pengine ye ye anapenda maisha yake yalivyo sasa!
Kwa ukwasi na status ya WCB,kutoka pale inabidi Uwe na strategy bab kubwa! Mavoko kapotea jumla,
 
FB_IMG_1726837588609.jpg
 
Sawa zuchu tumekusikia ,lkn mm Sina Cha kukushauri zuchu ww fanya kile sahihi kwako
 
Hata kwa Mavoko mlianza hivi ,mara ooo yeye ni msanii mkubwa hatakiwi kua chini ya lebel, Mkasema ye ni Messi wa bongo fleva anajiweza sana ,yaliyo endelea na yanayo endelea kwa Messi ndo haya, Msivyo na soni mkaanza tena alifanya haraka kutoka ilibidi abaki kidogo leo hata habari zake hamna, Mshaanza kwa Zuchu
Acheni ye mwenyewe aamue
 
Wabobezi wa Sheria za mikataba waingie kazini wamsaidie huyu mrembo kijana na mwenye mvuto mkubwa Afrika nzima ,kuuvunja mkataba wake na Wasafi ili asimame mwenyewe kwa uwezo wa zuchu akiwa mwenyewe atafanya makubwa sana!

Zuchu asipoondoka Wasafi atadumaa na hatakuwa huru hata siku Moja ! Kimahusiano zuchu atafute mume ambaye sio celebrity,Azae awe na familia yake kabla hajapata UTI na magonjwa mengine sugu
Muoe wewe
 
Hata kwa Mavoko mlianza hivi ,mara ooo yeye ni msanii mkubwa hatakiwi kua chini ya lebel, Mkasema ye ni Messi wa bongo fleva anajiweza sana ,yaliyo endelea na yanayo endelea kwa Messi ndo haya, Msivyo na soni mkaanza tena alifanya haraka kutoka ilibidi abaki kidogo leo hata habari zake hamna, Mshaanza kwa Zuchu
Acheni ye mwenyewe aamue
Bongo bila promo na connection hata uwe na uwezo kiasi gani huwezi toboa kikubwa sana sana Kwa hawa wasanii wanapata hela ya mafuta tu
 
Back
Top Bottom