Zuchu aachane na Wasafi asimame mwenyewe kama Nandy ! Atafute mume aolewe muda ni sasa awe na familia

Zuchu aachane na Wasafi asimame mwenyewe kama Nandy ! Atafute mume aolewe muda ni sasa awe na familia

Hizi ni ndio IQ 5, umekuja kumpa ushauri huku JF maana yake humfahamu vizuri otherwise mngetumiana meseji WhatsApp.
Sasa mtu hujui maisha yake yako vipi unamwambia aolewe? Kwanza kuolewa ndio mafanikio?
 
Ni bongo tu ambapo kila msanii akishapata kajina tu wanataka aachane na label iliyomkuza... Ndo maana mziki wetu hauendi popote.

Nina uhakika harmo na rayavany wangebaki usafini wangefanya makubwa na wangekuwa mbali sana kimziki. Sema wakajaa kwenye mifumo ya wabongo km alivyojaa mavoko na mpaka sasa wanafurukuta wafikie japo nusu ya vile walivyokuwa WCB lakini waapi. Wanaishia kutapatapa tu


Nazani swala la Zuchu kwa hapa ni exceptional ukilinganisha na hao wengine sababu kwa mfano nikuulize hivi itawezekana Zuchu kuachana na Nasibu Diamond (Boss) wake Halafu kubaki hapohapo na kuendelea kufanya nae kazi kama kawaida ??
Kwa hiyo Nasibu akiingia kwenye uhusiano mwingine wa kimapenzi na kujiachia na wanawake zake Zuchu ataendelea kuwepo karibu kufanya nae kazi kama ilivyo sasa ??
Yani mwanamke awe kwenye private company anatembea na CEO Halafu wakaachana Halafu aendelee kufanya kazi hapo Tena kampuni yenyewe iwe ni ndogo tu idadi ya staff inahesabika ??!
 
Mwanaume kufuatilia maisha ya watu ujue wewe tayari dishi limeyumba kichwani hazimo kbsa
 
Achana na maisha ya watu, hayo anayoyaishi ndio raha yake hapa duniani.
 
Kupanga ni kuchagua ,boss anamnunulia cybertruck

1732159016384.png
 
mtoa mada hivi mtori wako bado una nyama kweli?? au wadau wameweka ndizi na kula nyama zote??
 
Nime
Wabobezi wa Sheria za mikataba waingie kazini wamsaidie huyu mrembo kijana na mwenye mvuto mkubwa Afrika nzima ,kuuvunja mkataba wake na Wasafi ili asimame mwenyewe kwa uwezo wa zuchu akiwa mwenyewe atafanya makubwa sana!

Zuchu asipoondoka Wasafi atadumaa na hatakuwa huru hata siku Moja ! Kimahusiano zuchu atafute mume ambaye sio celebrity,Azae awe na familia yake kabla hajapata UTI na magonjwa mengine sugu
Nimeelewa hapo chini tu ulipoandika "Sugu" Yaani Mr 2.
 
Nje ya wasafi huenda akawa wa kawaida kama ilivyo kwa movoko, ray vanny na harmonize japo kapambana sana harmo
Rayvan yupo vizuri sana tatizo hufatilii now kabase nje tena nchi za majuu huko hakamatiki mpaka mondi ana muonea wivu,zuchu akitoka wasafi ndio kupotea kwake mazima
 
Wabobezi wa Sheria za mikataba waingie kazini wamsaidie huyu mrembo kijana na mwenye mvuto mkubwa Afrika nzima ,kuuvunja mkataba wake na Wasafi ili asimame mwenyewe kwa uwezo wa zuchu akiwa mwenyewe atafanya makubwa sana!

Zuchu asipoondoka Wasafi atadumaa na hatakuwa huru hata siku Moja ! Kimahusiano zuchu atafute mume ambaye sio celebrity,Azae awe na familia yake kabla hajapata UTI na magonjwa mengine sugu
YUTIYAI😊

Cc. sinza pazuri
 
Back
Top Bottom