Zuchu aachane na Wasafi asimame mwenyewe kama Nandy ! Atafute mume aolewe muda ni sasa awe na familia

Zuchu aachane na Wasafi asimame mwenyewe kama Nandy ! Atafute mume aolewe muda ni sasa awe na familia

Hizi ni ndio IQ 5, umekuja kumpa ushauri huku JF maana yake humfahamu vizuri otherwise mngetumiana meseji WhatsApp.
Sasa mtu hujui maisha yake yako vipi unamwambia aolewe? Kwanza kuolewa ndio mafanikio?
😅😅😅
 
Rayvan yupo vizuri sana tatizo hufatilii now kabase nje tena nchi za majuu huko hakamatiki mpaka mondi ana muonea wivu,zuchu akitoka wasafi ndio kupotea kwake mazima
Mkuu mimi zaidi ya kuona anasafiri sijasikia hit song kama ilivyokuwa kwa tetema mkuu. Kama anafanya vizuri nje sana basi bila shaka nyimbo hata huku zingefanya vizuri kama ilivyo kwa akina burna na tyla
 
Rayvan yupo vizuri sana tatizo hufatilii now kabase nje tena nchi za majuu huko hakamatiki mpaka mondi ana muonea wivu,zuchu akitoka wasafi ndio kupotea kwake mazima
Duh! Ushabiki mwingine sasa mkuu wewe umejuaje diamond anamuonea wivu rayvanny?
 
Hizi ni ndio IQ 5, umekuja kumpa ushauri huku JF maana yake humfahamu vizuri otherwise mngetumiana meseji WhatsApp.
Sasa mtu hujui maisha yake yako vipi unamwambia aolewe? Kwanza kuolewa ndio mafanikio?
Woyooo finally someone is with me, kuolewa siyo mafanikio.
 
Wabobezi wa Sheria za mikataba waingie kazini wamsaidie huyu mrembo kijana na mwenye mvuto mkubwa Afrika nzima ,kuuvunja mkataba wake na Wasafi ili asimame mwenyewe kwa uwezo wa zuchu akiwa mwenyewe atafanya makubwa sana!

Zuchu asipoondoka Wasafi atadumaa na hatakuwa huru hata siku Moja ! Kimahusiano zuchu atafute mume ambaye sio celebrity,Azae awe na familia yake kabla hajapata UTI na magonjwa mengine sugu
Eti kabla hajapata UTI na magonjwa mengine sugu, usikute anayo.....ushaona video zake mpya anavyo-act? Kuna video yake moja niliona anacheza ghafla akaanza kujishika sehemu za siri kama vile anawashwa ndani kwa ndani.
 
kama kumbukumbu zangu zipo vizuri mondi aliwahi kusema zuchu akitoka wasafi lazima alipe 1 bil kama adhabu kwa kuvunja. mkataba je iyo pesa anayo?
 
Back
Top Bottom