Wabobezi wa Sheria za mikataba waingie kazini wamsaidie huyu mrembo kijana na mwenye mvuto mkubwa afrika nzima ,kuuvunja mkataba wake na wasafi ili asimame mwenyewe kwa uwezo wa zuchu akiwa mwenyewe atafanya makubwa sana! Zuchu asipoondoka wasafi atadumaa na hatakuwa huru hata siku Moja ! Kimahusiano zuchu atafute mume ambaye sio celebrity,Azae awe na familia yake kabla hajapata UTI na magonjwa mengine sugu
Huyo ndiyo HIRIZI ya Diamond. Hakuna kutoka, hakuna kuolewa bali ataliwa tu na mke wa P Diddy.Wabobezi wa Sheria za mikataba waingie kazini wamsaidie huyu mrembo kijana na mwenye mvuto mkubwa afrika nzima ,kuuvunja mkataba wake na wasafi ili asimame mwenyewe kwa uwezo wa zuchu akiwa mwenyewe atafanya makubwa sana! Zuchu asipoondoka wasafi atadumaa na hatakuwa huru hata siku Moja ! Kimahusiano zuchu atafute mume ambaye sio celebrity,Azae awe na familia yake kabla hajapata UTI na magonjwa mengine sugu
Nje ya wasafi huenda akawa wa kawaida kama ilivyo kwa movoko, ray vanny na harmonize japo kapambana sana harmoWabobezi wa Sheria za mikataba waingie kazini wamsaidie huyu mrembo kijana na mwenye mvuto mkubwa afrika nzima ,kuuvunja mkataba wake na wasafi ili asimame mwenyewe kwa uwezo wa zuchu akiwa mwenyewe atafanya makubwa sana! Zuchu asipoondoka wasafi atadumaa na hatakuwa huru hata siku Moja ! Kimahusiano zuchu atafute mume ambaye sio celebrity,Azae awe na familia yake kabla hajapata UTI na magonjwa mengine sugu
Unajuaje pengine ye ye anapenda maisha yake yalivyo sasa!Wabobezi wa Sheria za mikataba waingie kazini wamsaidie huyu mrembo kijana na mwenye mvuto mkubwa Afrika nzima ,kuuvunja mkataba wake na Wasafi ili asimame mwenyewe kwa uwezo wa zuchu akiwa mwenyewe atafanya makubwa sana!
Zuchu asipoondoka Wasafi atadumaa na hatakuwa huru hata siku Moja ! Kimahusiano zuchu atafute mume ambaye sio celebrity,Azae awe na familia yake kabla hajapata UTI na magonjwa mengine sugu
Muoe weweWabobezi wa Sheria za mikataba waingie kazini wamsaidie huyu mrembo kijana na mwenye mvuto mkubwa Afrika nzima ,kuuvunja mkataba wake na Wasafi ili asimame mwenyewe kwa uwezo wa zuchu akiwa mwenyewe atafanya makubwa sana!
Zuchu asipoondoka Wasafi atadumaa na hatakuwa huru hata siku Moja ! Kimahusiano zuchu atafute mume ambaye sio celebrity,Azae awe na familia yake kabla hajapata UTI na magonjwa mengine sugu
Huyu mzazi enzi zake nilimfatilia sana na pia eti mabifu yake akitangaza utoto wetu nasi tulikua tunakua upande wake wa East Side...
Bongo bila promo na connection hata uwe na uwezo kiasi gani huwezi toboa kikubwa sana sana Kwa hawa wasanii wanapata hela ya mafuta tuHata kwa Mavoko mlianza hivi ,mara ooo yeye ni msanii mkubwa hatakiwi kua chini ya lebel, Mkasema ye ni Messi wa bongo fleva anajiweza sana ,yaliyo endelea na yanayo endelea kwa Messi ndo haya, Msivyo na soni mkaanza tena alifanya haraka kutoka ilibidi abaki kidogo leo hata habari zake hamna, Mshaanza kwa Zuchu
Acheni ye mwenyewe aamue