Zuchu atangaza kuachana na Diamond Platinumz

Zuchu atangaza kuachana na Diamond Platinumz

Zuchu adai heshima imekosekana kwenye mahusiano yake na Diamond Platinumz, atangaza kuachana nae rasmi. Hii inakuja wiki kadhaa baada ya Diamond pia kutangaza kuwa yupo single na baadae kurudisha uhusiano wao.

"Hello fan-milly i had to post this to clear my conscience. kuanzia leo hii mimi na Nasibu (diamond) hatuko pamoja. i know this has been our thing but as hard as it is kumuacha mtu unaempenda hii naomba mungu iwe ya mwisho na nianze maisha mapya".

Zuchu ameongeza kuwa; "Mapenzi ni heshima kwa bahati mbaya sana hiko kimekosekana kwetu. as for him bado tuna kazi za pamoja i wish him and his family the absolute best".

Kwani sisi ndio tuliwataka wawe pamoja, upumbavu upumbavu tu...
 
Tabia huwa haina dawa,ila binadamu tulivyo vipofu,hapo tena ataingia mwanamke mwingine akiamini yeye ataweza kumbadilisha Diamond..
 
View attachment 2913617Imebidi nikahakiki hili kupitia ukurasa wake rasmi, (Zuchu)

Binafsi nampongeza sana, amekuwa mwanamke sasa na ameitambua thamani yake. Uking’ang’anizi kwa mwanaume asiyekupa heshima sio sifa, ni kujiumiza mwenyewe.

Kila la kheri Zuchu, upate furaha, uhuru na amani katika maisha yako mapya.

My take: Mnakumbuka juzi wakati nasema vigezo vyangu kwa mwanaume kigezo kikuu niliweka heshima? Nafikiri mnaona sasa kwamba pesa sio kila kitu. Joannah
Usijimalize sana bakisha maneno 😂
 
S
Zuchu adai heshima imekosekana kwenye mahusiano yake na Diamond Platinumz, atangaza kuachana nae rasmi. Hii inakuja wiki kadhaa baada ya Diamond pia kutangaza kuwa yupo single na baadae kurudisha uhusiano wao.

"Hello fan-milly i had to post this to clear my conscience. kuanzia leo hii mimi na Nasibu (diamond) hatuko pamoja. i know this has been our thing but as hard as it is kumuacha mtu unaempenda hii naomba mungu iwe ya mwisho na nianze maisha mapya".

Zuchu ameongeza kuwa; "Mapenzi ni heshima kwa bahati mbaya sana hiko kimekosekana kwetu. as for him bado tuna kazi za pamoja i wish him and his family the absolute best".

View attachment 2913611
Sijui kuna nyimbo inaachiwa...... maswala mapenzi na Diamond sio ya kuyachukulia seriously.
 
View attachment 2913617Imebidi nikahakiki hili kupitia ukurasa wake rasmi, (Zuchu)

Binafsi nampongeza sana, amekuwa mwanamke sasa na ameitambua thamani yake. Uking’ang’anizi kwa mwanaume asiyekupa heshima sio sifa, ni kujiumiza mwenyewe.

Kila la kheri Zuchu, upate furaha, uhuru na amani katika maisha yako mapya.

My take: Mnakumbuka juzi wakati nasema vigezo vyangu kwa mwanaume kigezo kikuu niliweka heshima? Nafikiri mnaona sasa kwamba pesa sio kila kitu. Joannah
Mapenzi yao hao kama saa mbovu.
 
Kwa hiyo Diamondi kumbe ni kweli alikuwa anapiga hiyo namba??
 
View attachment 2913617Imebidi nikahakiki hili kupitia ukurasa wake rasmi, (Zuchu)

Binafsi nampongeza sana, amekuwa mwanamke sasa na ameitambua thamani yake. Uking’ang’anizi kwa mwanaume asiyekupa heshima sio sifa, ni kujiumiza mwenyewe.

Kila la kheri Zuchu, upate furaha, uhuru na amani katika maisha yako mapya.

My take: Mnakumbuka juzi wakati nasema vigezo vyangu kwa mwanaume kigezo kikuu niliweka heshima? Nafikiri mnaona sasa kwamba pesa sio kila kitu. Joannah
ila nifah bwana😆

mimi nina heshima kama zote ila vumbi mfukoni

hapo vipi?
 
 
Back
Top Bottom