Povu lote ili sababu ya viatu tu ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Msiwa-over-rate hawa vijana. Wanatafuta hela na bado hawajatoka kuwawekea mabei ya juu wakati uwezo huo hawajafikia ni kuwabebesha mizigo ya misumali. Waliugua wasanii wakubwa mpk tukachangishwa hapa nchini wakati tuliaminishwa wanapata hela nyingi sana. RIP Ruge, Sajuki, Mzee Majuto, Ngwea na wengine. Mlipofariki ndio tuliona picha halisi kwa hao niliowataja wengine hawakua hata na makazi wanayomiliki mbali na sifa nyingi hapa nchini
Wala sijatoa povu lolote nimeeleza tu jinsi tunavyowabebesha watu haswa vijana mizigo ya umaarufu na kuwahisi wanapata pesa nyingi kuliko uhalisia. Hili uwapa msongo wa mawazo na kama wakikosa mwongozo mwishowe ndio wanaingia kwenye matumizi ya madawa ya kulevyaPovu lote ili sababu ya viatu tu ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani watu wasivae viatu vikali kwa sababu wataumwa hahahahahahqh
Sasa mkuu itakuwaje inabidi uvumilie tu hayo maumivu mtoto ndio anawaka na yeezy [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wala sijatoa povu lolote nimeeleza tu jinsi tunavyowabebesha watu haswa vijana mizigo ya umaarufu na kuwahisi wanapata pesa nyingi kuliko uhalisia. Hili uwapa msongo wa mawazo na kama wakikosa mwongozo mwishowe ndio wanaingia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya
Huwezi kuelewa kirahisi nachosema ila jua umaarufu mzigo mkubwa sana ambao usipojiandaa kuubeba unaweza ukakuangusha na kukupoteza kabisa.
Uhalisia ulivyo ni tofauti, ukute kabinti ka watu kamenunua hivyo viatu Karume hata laki haijafika huku mnakuja kusema milioni mbili
We fala sio Kama kapata maumivu Ila kakupa za shingo wewe uliyetoa post ya kisengee.Mtu kavaa viatu vyake yupo na mishe zake wewe unapata maumivu eti drama [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani awa watu mpaka wakivaa viatu mnachukia [emoji23][emoji23][emoji23]
Hawezi kutumika kifala Kama unavyotumika wewe kutoa threads za kipumbavu na uongo na zisizo na umuhimu wowote mtandaoniMwanaume kamili ni yupi?
Ni wivuuu tuu unakumbua huna loloteMmh mkuu hapo juu kasema dola 75! Ila hata hivo naiona kubwa kwa kiatu gani hicho kama gari Hiace au Noah vibayaa! Sijui ni wivu huuπ
Haka kadada kanajitahidi kwenye music,ila kanapata umaarufu kupitia WCB tu,bila Wasafi kasingefika level ya Nandy,Lina,Rubby
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahWakiuguaga sasa bakuli kama kanisa la mwamposa
[emoji3][emoji3][emoji3] afu ukute hajanunua kapewa na shost ake mobetto. Lolπ π π π π π Acha Masihara, Hizo Yeezy za Vunja Bei
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hicho kiatu ndio 2M? Oh! Jeeezy! Na kilivyofanana kama helmet ya baiskeli [emoji38]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] jomoneeh khaaahViatu karume si elfu tano hivoo
Sasa mjomba si yeboyebo hili upumbavu mtupu.
Hicho kiatu sio kinafanana na chura? [emoji3][emoji3][emoji3]Kiatu kinafanana na kitimoto![emoji1][emoji1][emoji1]Umaarufu ni utumwa!
Hawezi kutumika kifala Kama unavyotumika wewe kutoa threads za kipumbavu na uongo na zisizo na umuhimu wowote mtandaoni
Asante kali P (imekaa vibaya)Mimi sjui nakosea wapi π, haloo P-Funk hebu nikopeshe buku nipate japo tumbaku .... Naona aibu Sana , sjui Kesho nitaamka mapema , kuanzia leo sio polisi tena......πΆπΆπΆ