Zuchu avaa kiatu cha zaidi ya Tshs. Milioni 2

kwamba ana macho yenye makengeza

hata mimi namuona mbaya anzia sura,shepu,kutembea, kuvaa,yaani kama katoka bush flan kumbe kazaliwa mjini tena na mtu maarufu anayejua kuvaa ila yeye sasa daaah
Hana ubaya wowote ni macho yenu yana makengeza.
 
Utadhani Allien yan hajapendeza hata Nukta[emoji23][emoji23][emoji2957][emoji2957]
 
Msiba wa ruge ulifichua mambo mengi sana nyuma ya pazia....
 
Hiyo yepo ndio ya million mbili?? Au ni million mbili ya Zimbabwe [emoji867][emoji867][emoji1787]wabongo mna kiki za kisenge kweli
 
Vitakosaje? 🤣 🤣 🤣. We hujaona Iphone X famba zimejaa kariakooo na watu wanapigwa kama kawa?
Hvi kuna iPhone fake ?! May be uuziwe used alaf udanganywe ni mpya .....!! Anyway yote yanawezekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…