Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Ukweli usemwe tu, Zuchu ni msanii mzuri na msanii mkubwa ila bado hajafika viwango vya kumuweka kama msanii mkubwa hapa nchini ukimlinganisha na wasanii wa kike wakubwa wa kizazi chochote kike, kilichopo na kilichopita.
Kwa kizazi kilichopo ,Zuchu hamfikii hata kidogo Nandy , Nandy anaweza kusimama yeye kama yeye Zuchu bado hawezi kusimama akiwa mbali na Diamond Platinums
Kwa kizazi kilichopita huko Zuchu hagusi kabisaaaa wala tusimdanganye .
Akiendelea kukaza tutamuweka kwenye kundi la wasanii wa kike bora wa muda wote kama ilivyo kwa Lady Jaydee.
Kwa kizazi kilichopo ,Zuchu hamfikii hata kidogo Nandy , Nandy anaweza kusimama yeye kama yeye Zuchu bado hawezi kusimama akiwa mbali na Diamond Platinums
Kwa kizazi kilichopita huko Zuchu hagusi kabisaaaa wala tusimdanganye .
Akiendelea kukaza tutamuweka kwenye kundi la wasanii wa kike bora wa muda wote kama ilivyo kwa Lady Jaydee.