Na ni mwanaume kaposti hii TAKATAKA?? Tunasafari ndefu kama Taifa.
Yaani msanii wa kwanza wakike kwa Tanzania nzima kama sio East Africa, kufikisha idadi ya watazamaji wa Video ya wimbo Mmoja kwa miaka 3 pekee, zaidi ya watazamaji million 100, na ukumbuke hiyo si Colabo kwamba useme wimbo ulipewa Busta.. na ukumbuke huyo ni mwanadamu wa pili baada ya bosi wake diamond, kufikisha views zaid ya mil100, na pia ndiye mwanamke pekee wa Tanzania na East Africa nzima kufanya maajabu hayo, then uje kumcampare na hao wasanii wenu ambao, hawamfikii kwa lolote kuanzia number of viewers, hitting songs, mpaka madili.
Acheni ushabiki wa kitoto nyie haters