Hivi ww ni jinsia ya Ke samahani lakini.
Ata tanasha, zari nao walianzia uko uko uswazi na kuwa stars ni kitu cha kawaida tu na pesa ndo inaongea
Nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke!Wewe ni mwanga tena unawanga mchana kweupe, aliye kwambia mwanaume anaoa au anadate na mwanamke ili aendeleze career yake nani? Mapenzi hayahusishwi na kitu chochote.
Mama Dee mswahili wa Tandale, Khadija Kopa mswahili wa Mwananyamala.... jibu unalo hapo.Kama ni kweli na harusi ikiwadia Mama D na Khadija Kopa sijui nani amemzidi mwenzake Uswahili.
Mimi mwenyewe nasubir neno kutoka kwa Hance Mtanashati
Hehehehe haloooooooo,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na Yule mchepuko Desgner nae je? Mji mzito kweli huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuku wa kienyeji ni mtamu hasa umpate kabla hajataga mayai.
😂😂😂😂Zuchu ujitahidi kuzungusha kiuno hadi juu ya dari, umzalie mapacha watatu labda atatulia, ila uwe makini mke mwenzio Lokole ana wivu huyo balaaaa.
WaleleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeehHehehehe haloooooooo,
Mji una joto kaliiiiiiii
Naona kabisaaaaah Tena ukiwa na mood ya kazi haswaaaaaaaaaah.[emoji23][emoji23]Mwenzangu nimeamkia kibaruan binamu[emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
hahahahahahahaha unataka kuona kama tabia nzuri pia anayo ? kitu mtetemeko ?Weka picha mkuu hiyo uliyoweka sio picha ni photo shop weka picha...
Acha ubishi kijana jamaa anapakua Chombo..KIKI hii sizani kama kuna mahusiano.
Mimi mwenyewe nasubir neno kutoka kwa Hance Mtanashati
Ubuyu wa warumi ulisha chuja. Warumi yupo vizuri kwenye yale mambo ya mshana
komesha korona
Wewe tena.Acha ubishi kijana jamaa anapakua Chombo..
Chibu hana ndoa.Huyo ni mzalishaji tu.Wanawake wanatamaa sana,ni waroho wa pesa,mbele ya pesa utalishwa hadi ndogo