Tetesi: Zuchu & Damond , New Couple In Town...

Tetesi: Zuchu & Damond , New Couple In Town...

Hivi ww ni jinsia ya Ke samahani lakini.

Ata tanasha, zari nao walianzia uko uko uswazi na kuwa stars ni kitu cha kawaida tu na pesa ndo inaongea

Jinsia tuweke pembeni kwanza , let’s enjoy the Hot Coffee in the morning ..

Tanasha na Zari mazingira waliyokulia ni tofauti na domo , wale mademu wako vizur kichwani


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wewe ni mwanga tena unawanga mchana kweupe, aliye kwambia mwanaume anaoa au anadate na mwanamke ili aendeleze career yake nani? Mapenzi hayahusishwi na kitu chochote.
Nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke!
 
Mimi mwenyewe nasubir neno kutoka kwa Hance Mtanashati

Ubuyu wa warumi ulisha chuja. Warumi yupo vizuri kwenye yale mambo ya mshana

komesha korona

Sinaga historia ya kuchuja kwenye himaya yangu ya celebrities forum ..... Nahis utakua mgeni humu binamu

Mimi ni yule yule ambaye Niko


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom