Tetesi: Zuchu & Damond , New Couple In Town...

Yule ni Msanii lazima aangalie partner wa kuwa nae watakaesaidiana idea tofauti binamu ukizingatia Diamond hajasoma na hana exposure sana so akioa mtu ambaye hana elimu kama yeye na exposure kidogo Itakua issue


Sent from my iPhone using JamiiForums
Huyo dada kasoma ana degree teyari ila kuhusu kuwa na uhusiano na diamond hiyo Ni chai eisee
 
Ondoa neno TETESI. Dai kishafunua uvungu kabla Zuchu hajaanza kuimba hapo, baada ya kuomba kujiunga WCB , alifunuliwa injini.
Dai ndio inasemekana kamtoa BIKRA mtoto wa hadija kopa
 
Kama ni kweli basi Zuchu career yake is over

Sent using Jamii Forums mobile app

Career ya Rihanna ilipanda zaidi baada ya kutengenezewa skendo ya kutoka na Jay Z.
Hamisa bila kuzaa na Diamond asingepata hiyo star power, Zari the same...

Kwenye showbiz, kuongelewa vibaya au vizuri yote sawa ila kutokuongelewa ndio vibaya haswa. Usishangae hiki kitu kikakuzwa na Diamond akatengeneza pesa zaidi kwa zuchu kupitia hilo
 
ZUCHU ni jina kamili ama kifupisho cha majina ama a.k.a?
 
Yajue ya kuzingatia, ili uachane na yasiyo kuhusu

Alisikika muuza madafu akisema
 
Ondoa neno TETESI. Dai kishafunua uvungu kabla Zuchu hajaanza kuimba hapo, baada ya kuomba kujiunga WCB , alifunuliwa injini.
Dai ndio inasemekana kamtoa BIKRA mtoto wa hadija kopa

Aiseee nimecheka sana Jf noma kabisa


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Lile li askari liliniboa , Sijui liliishia darasa la pili, linaongea utumbo halaf anaona sifa


Sent from my iPhone using JamiiForums

Hahahaha imenibidi nicheke sana nawaza umekamatwa wewe unavalizwa barakoa na kupigwa sanitizer hahaha


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…