Bindi yangu ana 2yrs kasoro ghafla naskia anaimba hio nyimbo ya Zuchu kwa ufasaha kabisa nilijipiga kifuani na kusema Kazi ipo. Ikumbukwe sijafunga king'amuzi kabisa sababu ya kuhofia hayo mambo ya kwenye kideo yana athari kwa mtoto ila namuwekea akili akili kwenye flash. Malezi magumu sanaHapa home tuna dogo toto la mchungaji 4years aga linaimba...
”Mwenzenu mimi sijui kutongoza, Wakijipitisha namwaga helaa"
Afu wengine nilikua nawasikia wanaimba ”Bebi mwagia ndani"
Nikijaribu kuwakanya nahisi kama ndo ntawafundisha matusi naamua niwaache kama nilivowakuta.
Hivi kumbe ni bolo, nilifikiri anasema Golo Golo GoloBoloo mama boloo
Kwishnei boloo
Japokuwa namchuna, nang’ang’ana humo humo,
Honeyy wangu akinuna, namkatia vibuno
Vibuno, vibuno, vibuno, vibunoooo haniiiii
Hapo wewe umeumia nini? Au huna haniii wa kukukatia vibuno?🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Hivi kumbe ni bolo, nilifikiri anasema Golo Golo Golo
Hata Mimi ndo nashangaa hapa eti Ni Boro sio GoroHivi kumbe ni bolo, nilifikiri anasema Golo Golo Golo
Mabuno mzee ni Makalio kwa kiswahili cha zenjiMabuno ni nini?
Umefilwahii mwenyewe 😀🤣🤣🤣🤣
Cazee wizo kakuharibu tayari!! Kufilwahii ndio nini?? 🤣🤣🤣🤣Umefilwahii mwenyewe 😀
😀😀😀😀😀 si kuburudikaCazee wizo kakuharibu tayari!! Kufilwahii ndio nini?? 🤣🤣🤣🤣
Sawa me nacheza boloo hapa ya zuchu 😂😂😂😀😀😀😀😀 si kuburudika
😀😀😀😀😀😀 endelea kulichezea tu si unainjoySawa me nacheza boloo hapa ya zuchu 😂😂😂
Mabuno ni kitu Gani kwani, embu mnieleweshe wajuzi wa mamboSalaam! Msanii pekee wa kike kutoka wcb amekuwa akitoa mfululizo wa nyimbo ambazo kiutamaduni zinaathiri kizazi chetu cha baadae "honey wangu akinuna namkatia mabuno" imagine watoto wangapi wanaimba hii nyimbo?
Ombi langu kwa Basata msifungie nyimbo zinazokashif mamlaka tu! Camera yenu imulike upande wa hii lebo na kizazi chake wanaibomoa na kuirarua jamii.
Weka jina la wimbo,ili tusiudaunilodi kabisa,yaani hilo ni tusi kabisa,sijui aliyehariri huo wimbo,hakujua kama kiungo hicho ni tusi?Zuchu kaleta balaa mjini.mtaa mzima watoto wanaimba"bolo bolo bolo.
Kwahyo yaendelee kuharibiwa tu maadili yetu kisa yameshakwenda na majiMnamuangushia jumba bovu Zuchu.
Maadili yalishakwenda na maji kabla hata Zuchu na Diamond hawajaanza kuimba.
Hata naelewa bas rafiki hawa Wala urojo Wana misamiati yao na sisi wa longido tuna misamiati yetuHivi ni vinini?
Misamiati Yao hailewekiHata naelewa bas rafiki hawa Wala urojo Wana misamiati yao na sisi wa longido tuna misamiati yetu
Sema napenda the way wanaongeaMisamiati Yao haileweki
anaimba upumbavuUlitaka mtoto wa nyoka awe nani?
sizan hii mada inafanana na utumbo wakoHuna unachokijua ww bichwa maji.
dangajiKwani huyo zuchu ndio nani huko Daslam?
Honey akinuna nampatia MIGUNO,honey wangu akinuna namkatia mabuno