Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Hawa watu wanajiona special sana na wakatili wengi kwa wafanyakazi.
10 Reactions
167 Replies
6K Views
Vodacom mmekuwa wezi na matapeli, mnachukua pesa za watu kwenye M-pesa na muda wa maongezi kitapeli. Mara nyingi nimevumilia inatosha. Hii laini kama sijachoma moto basi sitatumia tena...
15 Reactions
37 Replies
953 Views
Watumiaji wengi wa TikTok hawana maadili. Badala ya kumfungia mtu mmoja mmoja, ni afadhali wakafungia mtandao, hadi pale elimu itakapotolewa kuhusu matumizi ya mtandao huo. Binafsi sina account...
7 Reactions
66 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Naomba mwenye Soft copy ya Novena anipatie. Ni muhimu sana. Shukrani.
5 Reactions
12 Replies
784 Views
Hakuna wakala yoyote anayetoa huduma za pesa kuweza kukubalia kulipa huduma yoyote mfano vocha, umeme, mfumo wa serikali na huduma ambazo sio miamala. Ni kwamba huduma hizi kwa mawakala hakuna...
3 Reactions
6 Replies
316 Views
Habari. Barabara ya mwendokasi Mbagala awamu ya pili zimefungwa taa za kuongoza magari nyingi sana. Wingi wa taa zile inaweza kusababisha folen kubwa ya magari yanayopita njia yakawaida. Taa...
5 Reactions
25 Replies
1K Views
Kwenu Tan Gen Zee Wakati tukitafakari yanayojiri kwa wenzetu Kenya, ni vyema kutafakari mambo mengine ya msingi haswa kwenu nyinyi Tan Gen Zee Nikisoma nyuzi nyingi humu naona kuna shida mahala...
0 Reactions
2 Replies
166 Views
NGUVU ILIYO NDANI YA WANAWAKE WAOMBAJI/WAOMBOLEZAJI 1. Wanawake Waombaji ni WABADILISHA MATOKEO...Machozi ya Mwanamke YANA NGUVU KUBWA sana ambayo inaweza kubadili CHOCHOTE lakini Sisi Wenyewe...
24 Reactions
126 Replies
2K Views
Miujiza ni matukio ambayo hayaelezeki kwa sheria za asili na huchukuliwa kuwa ni dalili ya nguvu ya juu au uwepo wa Mungu. Watu wengi wamekuwa wakishuhudia miujiza katika maisha yao, lakini mara...
1 Reactions
0 Replies
319 Views
Usifate maelekezo Kutoka kwa Watoa huduma 'FAKE' Njia kubwa wanayoitumia Kwa sasa ni hii Mdukuzi hukutafuta kama Mtoa Huduma kutoka katika Kitengo cha huduma kama instagram, facebook na mitandao...
5 Reactions
0 Replies
235 Views
Usipakue 'APP' Isiyokuwa Rasmi, katika Vifaa vyako kama Compyuta na Simu Wapo wanaopakuwa App kutoka katika Tovuti zikisema zitawasaidia Kusafisha simu, kuweka muonekano mzuri wa Simu, App hizo...
1 Reactions
0 Replies
394 Views
Habari wanajukwaa na wadau! Nitoe pole kwa wagonjwa na wanaowauguza wapendwa wao! Mungu awapatie afya njema na muendelee na shughuli za kijamii. kwa wale wenye afya na uzima! As-salamu alaykum...
0 Reactions
2 Replies
525 Views
Ni ukweli mtupu kuwa Sisi Waafrika tunawahitaji watu wengine wa mabara ya Asia, Ulaya na Amerika kuliko wao wanavyotuhitaji sisi. Wataalamu wa viwanda ni wao. Wenye mitaji ni wao Wenye ubunifu ni...
6 Reactions
21 Replies
635 Views
Leo tar. 05 July 2024 Katika hali isiyo ya kawaida nikiwa eneo la tukio (nilimsindikiza ndugu yangu ambae nae ni muhanga wa hii habari) abiria waliotakiwa kusafiri na gari kampuni ya ALLY'S STAR...
2 Reactions
1 Replies
540 Views
Wanachama wenzangu habari yenu, niko jambo linanitatiza hivyo nikapendelea nililete kwenu kwasababu hii ni kawaida na ndio dhumuni ya mtandao huu (JF), kushauriana pamoja kupeana hamasa katika...
5 Reactions
30 Replies
612 Views
Bodi ya Wakurugenzi ya Soko la Hisa la Dar es Salaam limepitisha uteuzi wa Peter Situmbeko Nalitolela kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam. Uteuzi wa Bw. Peter Situmbeko...
0 Reactions
3 Replies
565 Views
Kumbe Bwana DC Bomboko una kazi nyeti ya kuwasaidia wafanyabiashara wa hapo Simu 2000 badala yake unakimbilia kuwaandama mabinti wanaotoa burudani mjini! Ona sasa ulivyozomewa na kudhalilishwa...
0 Reactions
3 Replies
489 Views
Habari wanaJF wote, natumai hamjambo! Fridge hapa nyumbani linapiga shock ukiligusa, shida yaweza kuwa nini? Ndio nitaita fundi , lakini ningependa kupata maoni kutoka kwenu! Natanguliza...
0 Reactions
12 Replies
524 Views
1. Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri la Rais William Ruto Katika hatua za hivi karibuni, Rais William Ruto amefanya mabadiliko muhimu katika baraza lake la mawaziri. Soipan Tuya, ambaye awali...
2 Reactions
10 Replies
398 Views
Ilisemwa semwa kuwa mmefilisika , mfuko una hali mbaya. Muda wote pensheni za wastaafu zinalipwa 23/ ya kila mwezi ithout miss. sasa mwezi jana na huu, mambo hayako sawa. Samia, hawa ndio wa...
0 Reactions
0 Replies
231 Views
Back
Top Bottom