Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kuna jamaa moja anaitwa felix alton huwa anacheza mziki mzuri wa country n soul siku za jumapili ila natafuta simpati Ni muda sikwepo Nimetune redio zote sijapata Atakuwa redio gani huyu...
1 Reactions
5 Replies
315 Views
Hivi ni sahihi kwa wakala kuomba simu yako ya mkononi kuangalia sms ya muamala kama imeingia? Binafsi mimi naona ni kuvunja privacy au taarifa za siri za mtu kwani sms ya muamala inaonyesha kiasi...
3 Reactions
25 Replies
10K Views
  • Poll Poll
Wakuu ebu tulinganishe haya majiji mawili. Najua Dar level yake ni miji kama Nairobi au Adis Ababa. Kuna watu wanaamini Kigali is better than Dar. MAENEO YA KULINGANISHA BIG PROJECTS BARABARA...
1 Reactions
34 Replies
1K Views
Bajeti Kuu ya Serikali ya Tanzania mwaka wa fedha 2024/25 Jumla ya bajeti ya viburudisho, tafrija na kubadilisha samani (furniture) ofisi na nyumba za DCs, RCs, Mawaziri katika Serikali ni TZS 1.9...
0 Reactions
0 Replies
178 Views
Wakati wa utoto wetu kila mmoja akiulizwa una malengo ya kuwa nani basi atajibu mwalimu,daktari au mtu fulani. Malengo yale ni upuuzi mtupu na wala hatutakiwi kuyazingatia kwa sababu malengo yale...
3 Reactions
5 Replies
368 Views
Nimekuwa na tatizo kidogo kuhusiana na mfumo wa ajira portal ie online application. Hapo wameweka namba za msaada kama ukihitaji kuwapigia. Lakini hizi namba huwa aidha hazipatikani kabisa au...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Kuna mda inabidi ujiulize sana ili swali sababu ni nchi yangu imepewa kila kitu lakini na hakuna kitu kama tunavoona geita na dhahabu. Kuna nchi wale wasanii waliokwenda kule kutuletea ajenda yao...
2 Reactions
4 Replies
311 Views
Wazaramo na wandengereko sasa wamefikiwa, mambo ya kula vitoto vya miaka 12 sasa basi ! Ila bwana DC Magoti kuna swali huku, ni utamaduni wa Wazaramo na wandengereko msichana akifika miaka...
4 Reactions
96 Replies
5K Views
Hivi ni kweli Utafiti ulifanyika kweli ikaonekana mstaafu ukimpa hela yake yote atakufa mapema kuliko kikokotoo.. Nachoona kwa sasa wenye kikokotoo ndo wapo kwenye risk kubwa ya kufa kuliko...
1 Reactions
3 Replies
262 Views
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu.. 1. Nini wazingatie wanaotaka kununua gari kwa mara ya kwanza?? 2. "Share experience" yako kuhusu kumiliki gari
6 Reactions
22 Replies
765 Views
Sisi wote binadamu Tubadilishane uzoefu mambo yafuatayo yanachukua watu zetu easy 1. Ajali, za magari, mitambo, umeme, gas,moto. 2. Pressure hio ndo zaidi 3. Mahoma homa ya maini na figo yamekuwa...
13 Reactions
41 Replies
11K Views
Hatua za kufa au kufariki Kila kiumbe kitakufa. Mwanadamu naye atakufa. Kila kiumbe kina hatua yake ya mwisho na ndipo kinafikia kukufa. Hakuna dawa ya kutokufa. Ila zipo njia za kupunguza...
2 Reactions
1 Replies
383 Views
Ndugu wanajukwaa, leo familia ya Manji wamehitimisha msiba wa mpendwa wetu Yusuph Manji uliotokea Jumamosi ya wiki iliyopita kwa Dua maalumu iliyosomwa na viongozi mbalimbali wa kidini wakiongozwa...
28 Reactions
140 Replies
6K Views
Napenda kuuliza ivi lini serikali yetu itaachana na siasa kwenye mambo yanayohitaji ukweli: Mfano mwanzoni wa mwaka huu Serikali ilitangaza ajira na bungeni wakasema kibari kutoka Rais kimepatikn...
0 Reactions
0 Replies
127 Views
Anonymous (f7a6)
Nyama choma ya kuku na ng'ombe zimekuwa biashara iliyoshamiri hasa katika vituo mbalimbali vya daladala hasa jijini Dodoma na Dar es Salaam yaan mtu yeyote anaweka meza njiani na ndoo ndogo...
0 Reactions
2 Replies
246 Views
Wasalamu, Ukitaka kwenda mikoa ya kusini kutokea Ifakara option ni mbili lazima uje Dar au upite Makambako Songea ambapo itakuchukua siku mbili. Tofauti na kama ikipatikana barabara ya kupita...
1 Reactions
2 Replies
243 Views
Serikali ya Dr.Samia imetangaza Zabuni za Kimataifa Kwa Ajili ya kuanza Ujenzi wa Standi Kuu za Mikuu yaani Regional Bus Terminals Kwa Mbeya na Arusha sanjali na Standi ya Mkoa ya Tabora,Geita na...
4 Reactions
31 Replies
3K Views
Kama kuna utumwa wa akili unaoingia watu kwa Kasi siku hizi, basi ni hizi Imani kwa manabii; ✓ Unapofika utapigwa neno (na Ukweli ni kwamba sio neno la Mungu kwa kumaanisha, Bali ni promo tu)...
16 Reactions
56 Replies
2K Views
Sanamu ya Askari bado tunayo licha ya ujenzi wa njia ya mwendokasi unaondelea Posta barabara ya Azikiwe Maamuzi mazuri maendeleo yasifanye tukapoteza utambulisho wa Bongo Dar es salaam wengi...
2 Reactions
7 Replies
355 Views
Habari zenu, kwenye picha hapo chini ni Jiwe nimeliokota ila silijui aina yake kama unajua chochote kuhusu basi nifahamisheni.
8 Reactions
45 Replies
2K Views
Back
Top Bottom