Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Katika kilichoonekana kama kusogeza ‘huduma’ karibu kwa waumini wa kanisa lake, Askofu na Mtume Boniface Mwamposa yupo kwenye mchakato wa kuinunua EFM Company Limited. EFM ni kampuni...
55 Reactions
193 Replies
7K Views
1. Kumpa mtu kazi aidanye baada ya kumaliza umlipe ila umlipi kwa wakati kama alivyokamilisha kazi yako kwa wakati si vyema kutoa kazi ikiwa huna uhakika na malipo au unategemea uingiziwe ndo...
1 Reactions
3 Replies
137 Views
Jana tarehe 21 Feb 2025 mchana hivi kulikua na tatizo la mtandao CRDB BANK, nilipita ATM kutoa pesa lakini sikufanikiwa mtandao ulikua down Sana! Nikatoka pale nikaendelea na mambo yangu mengine...
23 Reactions
196 Replies
6K Views
Vurugu zimeibuka katika Kituo cha Mabasi ya Mwendokasi cha Kimara Temboni, baada ya kile kinachodaiwa kuwa ni ukiukwaji wa utaratibu wa kupanga mstari kwa abiria. Tukio hilo limetokea leo...
12 Reactions
103 Replies
4K Views
Miaka kadhaa hapo nyuma Katika harakati za kupambana na maisha nimewahi kuajiriwa Katika kampuni kubwa ya ULINZI binafsi hapa nchini Kwa Wakati huo kulikuwa na kampuni kubwa za ulinzi hapa mjini...
13 Reactions
60 Replies
6K Views
Jambo Nataka kufungua kanisa/ministry hapa nchini, ni taratibu zipi za kisheria natakiwa kufuata ama kufanya ili iwe registered kikamilifu na kuanza huduma mbalimbali? Ma consultants, na...
0 Reactions
9 Replies
139 Views
Urafiki,Kuchukiana, Mpaka mke/ Mme ulie nae Yuko na wewe kwa sababu ya Njaa, ngoja siku akijipata Kiuchumi ndo utajua Ukweli Wa Rangi za huyo mwenza wako. "Hata watu wanaokusifia mda wote, wao...
2 Reactions
5 Replies
105 Views
Leoo nilikuwa nasubiria kaka na gari la kutoka Moshi Saakumi usiku..BAADA ya mda nkashangaa hapatikan Nkakaa mpaka saa mbili akanipigia aisee sorry ndio tunakuja tumepata ajali Hee kivipi mbona...
3 Reactions
0 Replies
126 Views
"Kwa sasa meli nyigi za mizigo zinakataa kuja Zanzibar kutokana na usumbufu huo huku kukiwa na mamia ya makontena Zanzibar yaliyorundikana katiba bandari ya Mombasa nchini Kenya kwa ziadi ya mwezi...
0 Reactions
1 Replies
204 Views
Wakuu Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa anaendelea na ziara yake mkoani Tanga. Asubuhi ya leo Alhamisi, Februari 27, 2025 ameandika katika kurasa zake za kijamii: “Chai na vitumbua...
2 Reactions
12 Replies
527 Views
Nilimsikia mtumishi Mwamposa akisema kuwa kutakuwa na siku ya kuombea viongozi wa serikali. Nikamshangaa ni kwa nini waombewe viongozi wakati wale wote waliotekwa na hiyo mamlaka hawajulikani...
3 Reactions
3 Replies
92 Views
Zab 95:8 SUV [8] Msifanye migumu mioyo yenu; Kama vile huko Meriba Kama siku ya Masa jangwani. Meriba ni nini, na Masa ni kitu gani, kwanini Mungu anawakumbusha Waisraeli wasifanye mioyo yao...
0 Reactions
2 Replies
89 Views
Wakuu, Kunazidi kuchangamka huko, maombi ya kina kuhani Mussa na chawa wengine kwenye dini yana dalili kubwa ya kubuma kesho, leo wamejitokeza wao na bodyguards wao kupiga maombi kwaajili ya Rasi...
3 Reactions
9 Replies
309 Views
KAMARI HAIKUANDALIWA ILI USHINDE: ACHA KUPOTEZA HELA ZAKO NA UWEZO WAKO WA KIAKILI By Æfrica Macka Bara ------------------------------------------ Katika ulimwengu wa michezo ya kamari, kuna...
3 Reactions
18 Replies
468 Views
Baba mdogo wa marehemu Naomi Marijani ambaye aliuawa na kuchomwa moto na magunia mawili ya mkaa, Robert Marijani amesema kuwa kama familia wameridhika na Hukumu iliyotolewa leo na upande wao sasa...
8 Reactions
45 Replies
2K Views
Meli ni sawa na Dunia inayoelea majini mwaka mzima masaa 24 yenye watu zaidi ya elf 10 sawa na uwanja wa mpira na wote wanahitaji huduma za kila siku. Kazi ndani ya meli za utalii (cruise ships)...
2 Reactions
4 Replies
160 Views
Hawa vijana wa singeli uenda bongo ndio tuna vijana wa hovyo kutwa kutumia bando kuangalia ujinga mda hauendi mtu analia connection connection connection haikufuati umelala kitandani ukiwa...
1 Reactions
4 Replies
150 Views
wakuu napitia msoto sijui natokaje hapa nilipo, age yangu 29 yrs ,ni mtu mwenye ndoto kubwa lkn naona kila nikitafuta mafanikio naona kama napokea matatizo yakutosha. elimu yangu nina bachelor...
10 Reactions
79 Replies
1K Views
Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imesema kuwa malipo ya benki moja kwenda nyingine yanapaswa kukamilika ndani ya saa mbili, na ikiwa mteja hajapata fedha yake ana haki ya kuishtaki benki husika kwa...
0 Reactions
0 Replies
93 Views
Ukiingia online pana diaspora kibao wanatoa connection jinsi gani mtu anaweza kwenda Ulaya, marekani,china, Singapore, Japan, Brazil, latin American, Canada nk ni wewe na wanatoa information zote...
2 Reactions
10 Replies
144 Views
Back
Top Bottom