Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Mkurugenzi wa Takukuru mkoa wa Tabora kaswekwa selo na kufunguliwa mashitaka baada ya kumpiga hadi kupoteza fahamu Mganga mkuu wa mkoa wa Tabora aliekua anamhoji.Kisa cha mganga kupigwa eti aseme...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Bogus certificates: Start from the top! Adam Lusekelo Daily News; Tuesday,September 30, 2008 @20:01 SOME smart Bongo guys from the National Examination Council of Tanzania (Necta) have...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ni muda mrefu sasa masikio yetu yameendelea kusikia matatizo ya wafanyakazi wa TAZARA.Hata hivyo sioni kama yupo mtu anayesikia kilio chao.Kama kawaida yake serikali imeendelea kunyamaza kimya...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimechoka mwenzenu tena nasema nimechoka .Nimechoka kusikia kila aina ya misaada na mikakati ya kuunemesha ulimwengu na Tanzania,lakini kila kukicha mjomba wangu,shangazi yangu binamu yangu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni muda mrefu sasa masikio yetu yamesikia matatizo ya wafanyakazi wa TAZARA.Hata hivyo sioni kama yupo mtu anayesikia kilio chao.Kama kawaida yake serikali ime endelea kunyamaza kimya kana kwamba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
T 999 UKE nk.
0 Reactions
23 Replies
6K Views
An End to Dog Countries leaders? I didn't surprise to hear Mr. Jk be against the new rules of United Nation Security Council to prosecute any leaders in international court whose cause chaos...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
...Say What? Interesting tidbits that differentiate Tanzania and America -Oranges are green. -One road in Karatu is paved. All the rest are dirt and very uneven. -A meal at a local restaurant...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ole wao wanaotishia kwa sms- DCI Manumba Mwandishi Wetu Oktoba 1, 2008 Raia Mwema~Muungwana ni vitendo MKURUGENZI wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Robert Manumba amesema ya kuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wakuu sasa umefika wakati wa kusema basi kwaheri ccm kama ndugu zetu wa tarime walivyoamua na wanavyoedna kuamua..hakuna
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MegaPyne
Here are some of the best photos blogs and websites where you can view pictures related to current events captured by professional photo journalists. Not all news sites in this list provide...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama mambo yanaenda jinsi yanavyoenda hasa kuelekea hizi siku chache za mwisho za uchaguzi kuna dalili za kutaka kusitisha uchaguzi huo mdogo hadi hali ya "usalama na utulivu" itakapotengemaa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
US Africa command battles sceptics By Adam Mynott BBC News, Nairobi The new command is headed by a four-star General, William Ward A new unified United States military command for...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Date::9/27/2008 Mwekezaji anakuwaje mwekezwaji! Na Daniel Mwaijega Mwananchi INASHANGAZA sana, kwani wakati mwingine huwa tunafanya vitu kama vya mchezo wa Pwagu na Pwaguzi. Naamanisha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WanaJamii, Kuna watalii wasio wa kawaida na kwa sasa niandikavyo ni kuwa wapo tayari Tanzania. Wapanda mlima hao walifikia Kenya na huko wakapokelewa na makamu wa rais wa Kenya. Leo jioni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa wale wanaoamini umuhimu wa maisha na falsafa ya mwalimu nyerere kama kina sisi hii ni platform nyingine muhimu ya kujaribu kile wanachosema "keep the fire burining" Hii ni kazi ya Mwalimu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nilikuwa Kigoma siku si nyingi na kwa kweli nilishangaa sana kuona jinsi mkoa huo ulivyo nyuma sana kimaendeleo kulinganisha na mikoa mingine. Kigoma ni mji ulio kando ya ziwa maarufu lenye kina...
0 Reactions
66 Replies
13K Views
Tumekua tukishuhudia majengo yakiporomoka DSM moja had jingine! Sasa wahusika wenyewe watakuwepo kutueleza hali halisi ya uwazi, uwajibikaji na uadilifu katika sekta ya ujenzi hapa TZ...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wananchi tumefurahi kwamba mgao wa umeme umesitishwa hasa kwa mikoa ambayo ilikuwa kwa njia moja au nyingine ilikuwa imeathirika na mgao huo.Lakini matamshi yaliyotolewa na TANESCO mbona...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mvua iliyonyesha siku mbili tu katika jiji la Dar es Salaamu imeanza kuleta kero kwa watu. Mitaro imeanza kuziba, watu wa maeneo yasiyopimwa wameanza mtindo wa kuzibua vyoo vyao na marundo ya taka...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…