Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Hellow! Kama una ndugu Yako anaenda Kwa Waganga usicheke naye, aweza kukutegea mtego na kukumaliza, Imeandikwa ,adui wa mtu ni yule wa nyumbani mwake, yule aliye karibu, mke, mume,shangaji nk...
6 Reactions
13 Replies
322 Views
Hizo ndo Mahakama zetu sasa , Wenyewe Wana Lugha yao utasikia "Technical Errors" https://youtu.be/ydRPqeEjo68?si=fXGHbowBJnoiD4pW
0 Reactions
5 Replies
169 Views
Kuna msemo unasema "Umeruka Vumbi Ukakanyaga Matope". Hakuna ubishi elimu yetu inahitaji over-hall, ni kweli kabisa kama tunataka kusonga mbele kielimu kuendana na ulimwengu wa sasa wa sayansi...
1 Reactions
2 Replies
380 Views
Kutokana maarifa pamoja na uzoezi wa zaidi miaka saba (7) tulionao kwenye eneo la Uhasibu(Accountancy) na kodi (Tax consultancy) nimebaini changamoto ambazo kampuni nyingi za CLEARING & FORWARDING...
1 Reactions
0 Replies
89 Views
Kwanini kadri siku zinavyoenda kusema ukweli, kuhoji au kukosoa unageuzwa Adui? Usipotekwa ni kwamba"UNAPOTEZWA"
7 Reactions
12 Replies
185 Views
Kwanini serikali isifute sera ya Elimu bure ili iweze kupunguza gap la kugharamia elimu nchini??
3 Reactions
6 Replies
117 Views
Nilipomaliza form 6 sikujua vizuri cha kwenda kusomea chuoni, Nilisoma kozi nayoipenda bila kulisoma soko la ajira, connections, n.k. Mbaya zaidi nilisoma chuo cha private hakina uzito, isingekuwa...
1 Reactions
14 Replies
289 Views
MAMBO AMBAYO WANAUME WENGI HAWAYAPENDI: Katika Mambo haya Hakuna yametofautiana kutokana na Aina ya maisha mnayoishi na mumeo lakini wanaume wengi wapo hivi. 1__.MWANAMUME HAPENDI KUFOKEWA...
4 Reactions
9 Replies
192 Views
Salamu Wakuu, Kwa waliowahi kufika Kibamba kwenye mnada maarufu wa nyama tamu ya mbuzi, bila shaka mtakuwa mmekutana na changamoto kubwa ya miundombinu duni – hasa vyoo. Hali ni ya kusikitisha...
0 Reactions
2 Replies
328 Views
Mara Ninaporudi nyumbani nilipozaliwa huwa namuota sana marehemu mama yangu 🤔 Kwa namna anavyokuja ndotoni ni mtu mpole sana, mkimya,huniangalia na kutabasamu, mara nyingi huwa namuota yupo...
3 Reactions
34 Replies
1K Views
Yeye kwa kushirikiana na wahalifu wengine ofisini kwake, wametengeneza mfumo bila kuishirikisha taasisi ya serikali inayotengeneza websites na mifumo yote ya serikali yaani eGA. Mfumo huo ambao...
13 Reactions
31 Replies
3K Views
Wakuu, Imeelezwa watu wenye tabia ya kukopa mikopo ya mitandaoni na kisha kubadili laini zao za simu ili kukwepa ulipaji wa mikopo hiyo wapo hatarini kukosa mikopo kutoka kwenye taasisi zingine...
2 Reactions
4 Replies
244 Views
Katika nafsi yako nyeupe, Ebu jitazame na jitathimini logically acha mihemuko utafikiri kahaba kanunuliwa bia, then jiulize kuna maana gani ya kutengana kama wanadamu? Kama kuna mtu alishawahi...
0 Reactions
0 Replies
67 Views
  • Redirect
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam leo February 26,2025 imemhukumu kunyongwa hadi kufa Mfanyabiashara Khamis Luwonga (38) kwa kumuua Mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia...
4 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Aliyemuua na kumchoma moto mke wake Kigamboni ahukumiwa kifo
0 Reactions
Replies
Views
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salalam, iliyoketi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu, All Balanda Idofulo, kunyongwa hadi kufa, baada kupatikana na hatia ya kumuua mkewe, aitwaye...
2 Reactions
73 Replies
4K Views
Habari Hivi claims status kwenye account ya NSSF ikibadilika na kusomeka APPROVED. Huwa inachukua siku ngapi mpaka kuingiziwa pesa zako?
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…