Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

  • Redirect
Habarini jamvini, Bado Hali ni mbaya mnoo na ya hatari Kwa wakazi wa vijiji vya LUMEMO, MAHUTANGA KIKWETA, IFOZA, KATINDIUKA IFAKARA kutokana na MAGENGE ya uhalifu wa MTANDAONI walioweka makazi...
0 Reactions
Replies
Views
huu ni ukweli mchungu. tazama mwenyewe video uone ubora wa shule hii ya msingi ya serikali wanaiita kayumba english medium. inayoitwa Mikongeni primary school iliyopo gongo la mboto dar kisha...
3 Reactions
16 Replies
366 Views
Wadau.Mpaka saa hizi kuna kundi kubwa tu la watu hawajapata Ujira wa Mwia wakati wengine wamepata tangu jana jioni. Shisa nlni nn.
2 Reactions
23 Replies
657 Views
Kadi za simu zilisosajiliwa zimeongezeka kutoka Kutoka milioni 52.8 machi 2021 Kufikia Milioni 86.8 mwezi Disemba 2024. Hili ni ongezeko la asilimia 64.39 linaloashiria ukuaji wa Teknolojia ya...
0 Reactions
0 Replies
77 Views
Uwekezaji wa Bilioni 73 uwanja wa ndege wa mtwara umewezesha uwezo wa kiwanja hicho kufanya kazi saa 24 Uboreshaji na upanuzi wa kiwanja; Kwa kujenga njia ya kurukia ndege yenye urefu wa mita 2800...
0 Reactions
1 Replies
229 Views
Rais AMEMTEUA Jaji mstaafu Awadh Mohammed bawazir kuwa mwenyekiti wa mamlaka ya rufani ya zabuni za umma (PPAA) AKICHUKUA nafasi ya Jaji MSTAAFU SAUDA MJASIRI Ambaye AMESTAAFU
2 Reactions
12 Replies
450 Views
Sekta binafsi ni moja ya sekta muhimu sana kwenye uchumi wa nchi, sekta binafsi imekuwa ikigusa makundi ya watu wa kila aina. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anaipenda Sekta binafsi na ndio maana...
0 Reactions
0 Replies
55 Views
Wakuu, Kila mtu amepitia changamoto mbalimbali tangu ukuaji wake mpaka hapa alipo, Wengi wetu tumetokea katika familia masikini,changamoto hazikosekani Pengine sasa hivi wewe ni...
4 Reactions
36 Replies
448 Views
Umoja wa Waalimu Wasio na Ajira (NETO) wamefunguka sintofahamu ya ajira iliyopo kwa wahitimu kuanzia mwaka 2015 mpaka 2023. Soma: Walimu Wasio na Ajira (NETO) wanaongea na waandishi wa habari...
3 Reactions
1 Replies
590 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa moja kati ya sifa kubwa za kahawa ni kuchangamsha akili, huku akitoa ushuhuda wa yeye kuwa mtumiaji mzuri wa kinywaji...
3 Reactions
8 Replies
339 Views
Hili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi. 1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima...
21 Reactions
184 Replies
3K Views
Hamjambo wote Wanahisa wa Vodacom. Nakumbuka Serikali yetu pendwa ilituhamasisha tuwekeze kwenye Kampuni ya Vodacom. Kiuhalisia Vodacom inafanya biashara sana na inapata faida kubwa. Kwa kweli...
5 Reactions
12 Replies
370 Views
  • Closed
Anonymous
Japo kila kukicha wananchi wa mtaa wa kanindo wanapambana kutatua changamoto ya maji ila mambo bado na hatima yao bado ni kizunguzungu. Licha ya kufatilia katika ofisi ya serikali ya mtaa na kata...
1 Reactions
0 Replies
61 Views
Serikali ya CCM imeamua kufanyia tangazo la jirani zetu wakenya kupiga marufuku watoto kuishi shuleni kuanzia darasa la nne. Sababu kuu wanayodai ni mmomonyoko wa maadili shule za bweni kuwa ni...
9 Reactions
162 Replies
20K Views
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ametoa wito kwa walimu kuendelea kujiendeleza kielimu ili kuwasaidia wakati wa usaili. Prof. Mkenda ametoa wito huo Jumanne Februari 11...
2 Reactions
18 Replies
895 Views
Nilitaka kufahamu hawa wasomi wetu wanaofundisha na kufanya tafiti nchini hususani waliopo vyuo vikuu vya umma. Maslahi yao yapoje?
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Toka zelewinsky akatae kuingia mkataba wa hovyo na Marekani wa kuwakabidhi maeneo yenye madini ya earth mineral, Marekani ameigeuzia kibao Ukraine na kudai kuwa Ukraine ndiyo chanzo cha mtafaruku...
1 Reactions
31 Replies
582 Views
Wadau hamjamboni nyote? Tafakuri ya kina kwa wenye hekima Wafilipi 3:5 Nalitahiriwa siku ya nane, ni mtu wa taifa la Israeli, wa kabila ya Benyamini, Mwebrania wa Waebrania, kwa habari ya...
1 Reactions
0 Replies
91 Views
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira Dar Es Salaam(DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire ametoa wito kwa wenyeviti wa serikali za mitaa kutoka wilaya ya Kigamboni...
1 Reactions
1 Replies
87 Views
Ndugu zangu habari zenu Kuhusu haya yanayoendelea kwenye ajira za ualimu ni uozo mtupu ,kwanini nasema hivi ● Huwezi kupata mwalimu bora kwa kufanya mtihani wa kuchagua tena kwa dakika 40 Kwa...
1 Reactions
2 Replies
102 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…