Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Mimi nina asili ya kitutsi kwa upande wa mama, baba yangu ni mzaliwa wa Msoga. Nguvu ya nama nikapewa jina la ujombani la kwanza, kosa kubwa.. Wiki mbili zilizopita kulikuwa na zoezi la...
26 Reactions
208 Replies
5K Views
Kwa mujibu wa historia ya Tanzania itakumbukwa miaka 1961 mpaka 1989 idadi ya wanawake wasomi haikuwa kubwa kama miaka 2020's, lakini pia idadi ya wanawake waliokuwa kwenye ajira ama biashara...
9 Reactions
42 Replies
1K Views
Kuna huyu Mwamba anaitqa Sunday Temba kipindi cha mapishi ITV, Mwamba anafuatilia mapishi yakikamilika tu anasogeza pembeni anapiga 😀 Alianza kutangaza akiwa mwembamba sasa hivi ana kitambi...
8 Reactions
36 Replies
1K Views
Kuna watu wanapitia magumu sana. Sijui kwasababu ya kuishi kwa kuiga au kukosa maono. Huyu maza nafanya naye kazi shirika moja la umma. Kabakisha muda mfupi kustaafu. One day nilimgusia suala la...
0 Reactions
1 Replies
178 Views
Waziri amekengeuka. Wametumia kigezo gani kuifanya singeli ndiyo alama ya Taifa? Muziki wenyewe umejaa matusi nafuu ingekuwa taarab kwa kuwa yenyewe ina mfumbo. Singeli huwezi kusikiliza na watu...
27 Reactions
106 Replies
2K Views
Kuna hii ishu inayowahusu ripota wa Azam TV mikoani, wapo walioanza na kampuni wapo waliojiunga na Azam baadaye. Kwa mujibu wa mikataba yao ambayo ni renewable Kila baada ya Mwaka Mmoja au miaka...
7 Reactions
55 Replies
3K Views
Nimeona video clip ambayo muheshimiwa waziri Kabudi anazungumza nia ya wizara yake kusimamia mchakato wa kuufanya mziki wa SINGELI kuwa mziki rasmi wa kuitambulisha Tanzania jambo ambalo sio...
2 Reactions
27 Replies
469 Views
  • Redirect
Ninaandika huu ujumbe nikiwa katika hali ya uchungu mkubwa. Nimechoka! Nimevunjwa moyo! Nimeonewa kiasi cha kuhisi mimi si binadamu tena. Kila siku naamka nikiwa na maumivu mapya, nikiwa na mzigo...
6 Reactions
Replies
Views
Wakuu nimetafakari sana nimegundua kumiliki gari ukiwa TZ sio jambo dogo tofauti na nchi jirani. Gari linachukua pesa zako nyingi sana kwa mara moja. Kwa mfano ukiagiza gari ulilolipia labda Tsh...
16 Reactions
32 Replies
2K Views
Nasikia Africa yote yenye nchi karibu 70 ins vifo visivyofika 4,000, ambayo USA walikuwa wanavipata kwa siku. Sasa wapi akina Melinda gates na Mange Kimambi? Mnatupa siku ngapi za nyongeza tuanze...
40 Reactions
213 Replies
24K Views
Sidhani kama dini inataka hivi. Oneni wenyewe. Aione Dkt. Gwajima D
10 Reactions
220 Replies
3K Views
📖Mhadhara (64)✍️ Kuna baadhi ya wafanyakazi kwenye maofisi wana tabia mbaya zinazowakera wenzao (watu wengine). Hebu tiririka tabia mbaya mojawapo - Natiririsha baadhi ya tabia mbaya. 🔘 TABIA...
4 Reactions
21 Replies
955 Views
Ila wanywa gahawa wa bongo wanawa brand kama mashujaa. SHAME ON YOU!!
2 Reactions
10 Replies
371 Views
Mwanaume alikuwa na kawaida ya kumpa ombaomba mmoja Shilingi milion moja kila mwezi. Mtu huyo aliendelea kufanya hivyo kwa muda Sana.. Sasa Siku moja, akampa ombaomba shilingi laki saba na nusu...
4 Reactions
9 Replies
243 Views
  • Redirect
Toeni zaka kamili Toeni sadaka makanisan na misiikitini Wekezeni ujenzi WA makanisa Wekezeni kwenye shuhuli za makanisa na misikiti Mungu awainue
2 Reactions
Replies
Views
Kwa sababu nawaonyesha upendo. I take care of them etc, wa Swahili wamekuwa wakinionyesha chuki ya ajabu sana. Plus kuwachukia wanangu pia. Kuna muda niliwahi kuiacha nyumba niliyo Jenga (...
4 Reactions
4 Replies
154 Views
Leo ni siku ya kukemea adhabu ya kifo duniani. Katika jamii zetu kuna wahalifu wengi na wengine ni sugu na wengine tunatamani wauwawe tukiamini kuwa uovu utakoma. Lakini je adhabu ya kifo...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Huu Uzi ni Kwa waaminio juu ya Yesu Upande wa Kristo na wenye Imani ya Kiyahudi . Iko hivi Wayahudi hawakumwamini Yesu Kristo Hadi Leo hii hawamwamini. Wao hata Leo wanaendelea kumngoja MASIHI...
1 Reactions
3 Replies
268 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…