Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Inakadiriwa ifikapo mwaka 2050, kizazi cha wa-Afrika wenye akili mgando kama ilivyo sasa kitakuwa kimetoweka. Kizazi cha wakati huo kinabashiriwa kuwa na uwezo mkubwa wa kung'amua mambo kuliko...
11 Reactions
107 Replies
13K Views
Habari wakuu wangu. Hapa mtaani kwangu Bana Kuna jamaa kakimbia watoto wake wawili pamoja na mama mtoto wake. Kwa Sasa namuona dada anapitia hali mbaya Sana ya kiakili. Wee jamaa kama upo humu...
3 Reactions
23 Replies
401 Views
Nani ameangalia show mpya ya OJ Simpson ya 2025 on Netflix? imefocus zaidi kwenye upelelezi, uwasilishwaji wa ushahidi mahakamani na influence ya media mbali na mambo mengine. Kuna somo kubwa la...
3 Reactions
23 Replies
481 Views
Jamani wanaJukwaa. Huku kuingilia mapenzi ya watu na kujifanya mwema wakati mwingine tuangalie na kuwa makini ============== Mwananchi mmoja aliyefahamika kwa jina la Akwii ambaye ni mlinzi na...
4 Reactions
30 Replies
1K Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Habari Wakuu. Binafsi sijaleta mada hapa kama njia ya kutetea watu kuishi maisha yanayohatarisha afya zao. Ila nakumbusha tu kwamba hapa JF kufikia 20100, wote hatutakuwepo pasipo kujali...
12 Reactions
44 Replies
1K Views
Elimu ni kitu muhimu sana kwenye maisha ya mwanadamu lakini hutakiwi kuwa mtumwa elimu kwa sababu kuna maisha nje ya elimu. Wazazi wa siku hizi sijui ni ujinga au ni ulimbukeni yaani...
26 Reactions
99 Replies
2K Views
Wakuu za jumapili Nimepata wazo la kununua dikoda ya Azam Tv iliyosajiliwa Kenya na kurudi nayo Tanzania nije kuitumia. Je nitaitumia kama kawaida au mpaka nije kuibadilisha? Lengo ni kupata...
2 Reactions
26 Replies
5K Views
Kwanini taasisi nyingi za serikali haziwalipi waajiriwa wapya pesa za kujikimu kwa wakati? Kwanini taasisi nyingi za serikali haziwalipi waajiriwa wapya pesa za kujikimu kwa wakati?
1 Reactions
4 Replies
182 Views
19 Reactions
54 Replies
2K Views
Peace, Awali ya yote niweke wazi andiko langu halina kusudi la kuhafifisha au kuathiri biashara ya mtu yeyote ila ni ushuhada wa kweli na dhairi wa watu wanaonizunguka. Nimekuwa nikisikia na...
24 Reactions
80 Replies
7K Views
Kijiji cha Mkupuka, kilichopo wilayani Kibiti, mkoani Pwani, ni miongoni mwa vijiji 57 vinavyonufaika na mpango wa matumizi ya ardhi, hatua inayolenga kudhibiti migogoro ya ardhi na kuboresha...
0 Reactions
1 Replies
91 Views
Usijiue kwa sababu ya hasara ya pesa au kukimbiwa na mpenzi Maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kila mmoja wetu hukutana na changamoto tofauti, lakini hakuna sababu yoyote inayostahili...
2 Reactions
2 Replies
167 Views
Nimekumbuka maneno ya proff mwenye mbwembwe kuhusu bwawa . Watu Puppet kama huyu proffessor ilipaswa wasiruhusiwe kutumia umeme wa Tanesco unaotokana na bwawa . Hawa wazawa waliotumiwa na...
1 Reactions
6 Replies
176 Views
  • Closed
Mimi ni Askari wa ulinzi kutoka Kampuni ya Asgard Security Company Limited yenye ofisi zake makao makuu Kinyerezi DSM, malalamiko yangu ni kuwa hatujalipwa mishahara yetu wa miezi miwili na...
0 Reactions
20 Replies
754 Views
Huenda ni mimi nilifanya makosa kwa kutopitia terms & conditions vizuri ila hawa jamaa walicho nifanyia ni uzalilishaji mkubwa sana. Kuna app moja mtandaoni (play store) inaitwa "PESA M FINANCE"...
55 Reactions
328 Replies
43K Views
Leo kuna mtu nimekuta anafurahi kufa kwa wa Congo kwa vita ila kukasirishwa na wapalestina kufa wakati wote ni vita ya udini na ukabila. Hivi hawa waafrika wa vijiwe vya kahawa ndio waliaminishwa...
0 Reactions
2 Replies
74 Views
Ukisoma Biblia, kutoka 21, 10. Inasema "Kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa." Ukisoma toka mwanzo utagundua...
23 Reactions
155 Replies
3K Views
“Baada ya kuwa Rais nilimuomba msindikizaji wangu twende kwenye mgahawa kwa chakula cha mchana, tukaketi na kila mmoja wetu akauliza anachotaka. Juu ya meza ya mbele, kulikuwa na mtu anayesubiri...
0 Reactions
1 Replies
95 Views
Nimesoma gazeti la Mwananchi jana lenye kichwa cha Habari ukurasa wa mbele kisemacho Pombe, 'energy drinks' zinavyomaliza vijana Kwa mujibu wa hili gazeti wakinukuu wataalamu wa afya wa Hospitali...
41 Reactions
256 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…