Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa, amemuagiza Kamishna wa Uchunguzi wa Sayansi ya Jinai kushirikiana na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Jeshi la Polisi kufanya...
2 Reactions
4 Replies
255 Views
  • Redirect
#HABARI Serikali kupitia TANROADS imepanga kupanua barabara za kuingia na kutoka katikati ya jiji la Dodoma zenye jumla ya urefu wa kilometa 220 kwa kuzijenga kwa njia nne na sita kwa lengo la...
1 Reactions
Replies
Views
Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), imepanga kupanua Barabara za kuingia na kutoka katikati ya Jiji la Dodoma zenye jumla ya urefu wa kilometa 220 kwa kuzijenga kwa njia nne...
1 Reactions
3 Replies
318 Views
Nipo hapa moja kati ya vijiji vilivyopo wilaya ya Uyui mkoani Tabora kusindikiza safari ya milele ya babu yangu mkubwa Mwinamila Membe. Mzee amefariki kutokana na umri mkubwa. Alikuwa ni moja kati...
3 Reactions
6 Replies
222 Views
  • Closed
UFAFANUZI KUHUSU TAARIFA ILIYOCHAPISHWA IKITUHUMU KAMPUNI YA ASGARD SECURITY COMPANY LIMITED KUTOLIPA WAFANYAKAZI WAKE MISHAHARA Mnamo tarehe 17 Februari 2025, kwenye Mtandao wa Jamii Forums na...
0 Reactions
0 Replies
158 Views
Wazazi na ndugu wa Aziz Kiii hawakuhusika kwa lolote kuanzia 1. Posa , 2. Mahari, 3. Engagement hadi Ndoa. Yaani Wazazi na ndugu wa Aziz ni timu ya Yanga. Kwa familia inayojitambua isingeruhusu...
6 Reactions
61 Replies
2K Views
PAMEPOA SANA....... Hebu tujadili kidogo kwa kutumia mada ninayoileta Kwenu kwa Mfumo wa Swali. Je umewahi kukutana na Mnyama yeyote hatari iwe wa kufugwa au wa Mbugani? Kama jibu ni...
6 Reactions
19 Replies
328 Views
Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa...
32 Reactions
662 Replies
10K Views
Kuna Dunia nyingine mpya imepatikana Wanasayansi kutoka Nasa wamethibitisha kuwepo kwa sayari mpya aina ya HD 20794D Super Earth 🌎, iliyoko umbali sawa na miaka 20 ya miale ya mwanga katika...
8 Reactions
29 Replies
930 Views
Niko sawa ! Ni kauli pekee Mwanaume anaitoa huku akitabasamu. Machozi yake yakitilirika katika kifua chake... Si kwamba hawezi kulia kwa sauti kubwa na kwikwi.. Yeye ndie amebeba tumaini la...
5 Reactions
10 Replies
176 Views
Kwenye app ya simbanking kuna sehemu ya Taarifa ya akaunti, ukichagua taarifa fupi ya miamala 10 iiyopita, utaandikwa jumla ya makato ni shilingi 0.00 Ajabu ukithibitisha kuangalia miamala...
8 Reactions
52 Replies
2K Views
Na Da Vinci XV Nyakati fulani wakati nadurusu maandiko matakatifu nilipata kukutana na andiko moja lililandikwa na watu miongoni mwa watu mashuhuri sana walioishi nyakati zile kabla ya Masiku...
2 Reactions
10 Replies
339 Views
Kuna jamaa kasema tatizo Gen Z hawako serious, unakuta mtu anamuita Boss - Bro😂😂 ===== Kwa mujibu wa utafiti wa hivi karibuni uliofanywa na Intelligent, 1 kati ya mabosi 6 wana wasiwasi kuhusu...
17 Reactions
165 Replies
4K Views
Tafuta vyakula alivyopenda kula na vinywaji alivyopendelea wakati wa uhai wake huyo marehemu. Nenda makaburini tafuta nafasi nzuri ya kukaa hakikisha uko peke yako na huonekani na watu. Ksha...
15 Reactions
57 Replies
1K Views
Ni dunia isiyo na huruma kwa maskini. Mfumo umejaa watu wanaosema "tunatafuta wenye uzoefu," lakini hawampi yeyote nafasi ya kupata huo uzoefu. Mfumo unawafungia nje, halafu unawalaumu kwa kuwa...
3 Reactions
24 Replies
392 Views
Wadau hamjamboni nyote? Lengo la Uzi huu kujikumbusha misemo maarufu iliyotolewa na wahusika wakuu kwenye filamu mbalimbali tuliwahi kuziona Binafsi ni mpenzi wa filamu za holiwudi naanza na...
1 Reactions
2 Replies
127 Views
Barabara ya mwendokasi kutoka kimara mwisho pale around Hadi mbezi mwisho inatimiza mwaka haijafunguliwa zaidi bajaji na pikipiki kupitia barabara hizo. Hali hii inafanya mwendokasi itembee...
0 Reactions
7 Replies
191 Views
Wakati mtu anatoa mbegu bila sababu matone hayo ya mbegu hutoka na kupaa hewani. Matone hayo hayaingii kikoa takatifu, na hazipati mahali pazuri. Badala yake, zinatangatanga bila kusudi, na...
5 Reactions
41 Replies
961 Views
Back
Top Bottom