Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma anasikitika kutangaza kifo cha Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Tabora Mhe. Salvatory Bongole aliyefariki Dunia jana saa 5...
1 Reactions
37 Replies
7K Views
Aliyewahi kuwa Vice Chancellor wa Chuo kikuu Huria cha Tanzania Prof T Mbwette alifariki dunia jana jioni katika hospitali ya Aghakan. Prof Mbwette alikuwa mwanataaluma mahiri katika fani ya...
40 Reactions
170 Replies
24K Views
Ni nani mtunzi wa wimbo wa EAC? PICHANI: Mwl. Samson Kibaso enzi za uhai wake. Kuanzia 1999 hadi 2010 EAC ilikua ikitafuta wimbo rasmi wa Jumuiya hiyo. Aliyekua Katibu mkuu, Balozi Juma...
18 Reactions
100 Replies
16K Views
Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) na mkazi wa Usangi mkoani Kilimanjaro amekutwa amefariki dunia kwenye moja ya chumba cha wageni mtaa wa Dar es Salaam mjini Moshi. Wakazi wa...
10 Reactions
253 Replies
36K Views
Sherehe ya mwisho ya bibi Susana Benjamin Mmary imefanyika nyumbani kwake huko Old Moshi Kidia, baada ya BWANA kumuita akiwa na umri wa miaka 131. Ni bahati mbaya kwamba taasisi zinazotunza rekodi...
32 Reactions
85 Replies
13K Views
Habari zilizotufikia muda huu mchezaji wa zamani wa team za Taifa, Pan Africa, Yanga, Lawrence Mwalusako amefariki alfajiri hii katika Hospital ya Taifa ya Muhimbili ==== Alikuwa beki shupavu...
3 Reactions
37 Replies
5K Views
Babu Njenje Mabruk amefariki dunia alfajiri ya leo. MWANAMUZIKI mkongwe wa...
9 Reactions
83 Replies
12K Views
Mzee Msegu wa Morogoro amefariki dunia leo. Alikuwa baba yao kina Elia Msegu na Andrew Msegu. Pia kipindi cha uhai wake alikuwa mchungaji. Sababu ya kifo aijatajwa
1 Reactions
40 Replies
6K Views
Prof. Mbunda amefariki leo baada ya kuugua ghafla na kukimbizwa Hospitali
4 Reactions
104 Replies
19K Views
Kamanda wa Polisi Wilaya ya Ukerewe, Masoud Mohamed amefariki dunia ghafla akiwa ndani ya hoteli. Afande Masoud alijizolea umaarufu katika mitandao ya kijamii kwa usomaji wa Quran. Taarifa zaidi...
22 Reactions
215 Replies
47K Views
MAFUMU BILAL HATUNAYE TENA Gwiji wa Saxophone na mwimbaji mkongwe wa muziki wa dansi hapa nchini, Mafumu Bilal Bombenga amefariki dunia usiku huu. Mafumu aliyetamba na bendi kadhaa zikiwemo...
10 Reactions
72 Replies
12K Views
Kanisa la KKKT KIA lampoteza mchungaji bwana Lyamuya. Alale mahali pema peponi. Amina
8 Reactions
40 Replies
7K Views
Familia Ya Marehemu Edward Moringe Sokoine, Inasikitika Kutangaza Msiba wa Lazaro Edward Sokoine Kilichotokea Leo Alfajiri 28/03/2020 Jijini Dar Es Salaam. Mwili Wa Marehemu Unatarajiwa...
6 Reactions
47 Replies
13K Views
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) amepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Ulinzi, Usalama wa Vyombo vya Majini na...
4 Reactions
62 Replies
14K Views
Aliyekuwa mpiga kinanda nguli wa Kikundi cha CCM cha Tanzania One Theatre (TOT) au TOT Plus Juma Jerry au Mzee wa Mbezi ( dunia (Pichani) amefariki Akithibitisha kifo hicho Mkurugenzi wa TOT...
2 Reactions
50 Replies
7K Views
TANZIA Kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais:Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais,Anasikitika kutangaza kifo Cha Bw. Willhelmy Bernard Kido
8 Reactions
40 Replies
8K Views
Ni ndugu yetu Innocent Flex ametwaliwa na Bwana usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Chalinze. Mpaka jana jioni alikuwa mzima wa afya lakini usiku akapata maumivu makali ya kichwa na kubanwa pumzi...
18 Reactions
207 Replies
27K Views
Kaimu Mkurugenzi wa kampuni inayoshughulikia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KADCO) Mhandisi Christopher Ande Mukoma amefariki dunia mapema asubuhi ya leo. Taarifa kutoka kwa Uongozi...
8 Reactions
82 Replies
16K Views
Kutoka kwenye titteer ya Balozi Khamis Kagasheki ni kuwa huyu gwiji wa kutafsiri msaafu kwa lugha kadhaa za kimataifa ametangulia mbele ya haki. Balozi ameandika "Nimepokea habari za kifo cha...
8 Reactions
71 Replies
12K Views
Back
Top Bottom