Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Mtendaji Mkuu Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka - DART Mhandisi Ronald Lwakatare anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya ya Maendeleo ya Usafirishaji Mhandisi Charles Salus...
1 Reactions
76 Replies
11K Views
Salaam Kwa majonzi makubwa, nimesikitika kupokea kifo cha Mmiliki wa Vituo vya Mafuta vya Ngara Oil. Ameugua kwa Muda mfupi, leo kakodi ndege kwenda Dar kwa Matibabu zaidi, kifo kikamkuta huko...
15 Reactions
123 Replies
13K Views
Mfanyabiashara Velani Mkomba aka Kilimanjaro Mwanga Lembeni Kwetu mwenye makazi yake huko Salasala amefariki kwa matatizo ya kubanwa pumzi. Rip Velani
12 Reactions
117 Replies
22K Views
Khamis Shaibu, Mkurugenzi wa Kampuni ya Quality Building Construction amefariki dunia Hapa pichani alikuwa anakabidhi jengo la serilikali alilosimamia
4 Reactions
82 Replies
11K Views
Inafahamishwa kutokea Kahama kuwa, mchungaji John Mang'welela wa kanisa la Sabato huko amefariki dunia leo. Taarifa zaidi ni hii hapa kama ilivyotolewa: ---------- "Kwa niaba ya Mwenyekiti wa...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
PATRICK KISEMBO amefariki dunia Februari 8, 2021 katika Hospitali ya rufaa ya Kibaha. Kisambo amefanya kazi na vyombo kadhaa ikiwemo, The Citizen, The guardian hadi kufikia kuwa Mhariri. === In...
5 Reactions
62 Replies
7K Views
Habari wanajukwaa, Shule kongwe ya ufundi ya Bwiru boys imepoteza mwalimu wake mkuu, mwalimu Elias Kaboja. Taarifa zinadai Mwalimu Kaboja alienda kumsalimu mwalimu wake hospitali ya Bugando na...
12 Reactions
82 Replies
10K Views
TLS imeondokewa na mwanachama wake wakili mwandamizi
5 Reactions
50 Replies
11K Views
Nimepata habari kuwa Profesa Simon Mbilinyi amefariki dunia hospitali ya Agakhan. Marehemu aliwahi kuwa Waziri enzi za Mkapa kisha akajiuzulu. Amewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho na pia...
6 Reactions
73 Replies
13K Views
Inasikitisha na kuhuzunisha sana kwa kifo chake. Ametutoka mapema leo 07/12/2020 katika hospitali ya Mount Meru Arusha. Taarifa zaidi kuhusu chanzo cha kifo chake zitakujia hivi karibuni...
16 Reactions
190 Replies
27K Views
Msiba wa Imam na mwanazuoni mkubwa mwenyezi Mungu amlipe kheri. -------- Bismillahi rahmani Rahim. Ratiba ya mazishi ya marhum Sheikh Ahmad Haidary Mwinyimvua Kesho tarahe 20/01/2021 Shughuli...
5 Reactions
23 Replies
4K Views
Mungu ampumzishe Salama Mpendwa wetu Taarifa zaidi kutolewa na Kanisa & Familia Bwana ametoa Bwana ametwaa
1 Reactions
35 Replies
6K Views
Tanzia, Mkurugenzi Mtendaji wa MOI Dkt Respicious Boniface anasikitika kutangaza kifo cha Mtumishi wa MOI Dkt Paul Gasper Marealle (Daktari bingwa wa Mifupa) kilichotokea usiku wa kumakia tarehe...
27 Reactions
87 Replies
16K Views
Mchungaji Owdencalm Mpayo amefariki dunia alasiri ya leo katika hospital ya Rufaa Mbeya alikokuwa amelazwa kwa ajili ya matibu. Wakati wa uhai wake, Mchungaji Owdencalm Mpayo aliwahi kuhudumu...
7 Reactions
37 Replies
6K Views
Tunatoa pole nyingi kwa familia === Uongozi wa Azam Media Limited, unasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi wake Thamra Kassim, kilichotokea mapema leo Dar Es Salaam.Inna Lillahi wa inna...
4 Reactions
34 Replies
6K Views
Aliye kuwa afisa elimu Wilaya ya Magu na baadae kuhamishiwa Dodoma makao makuu ndg Jesse Kaanyuma amefariki jioni hii katika hospitali ya taifa Muhimbili. Ni taarifa zilizodhibitika kutoka kwa...
4 Reactions
26 Replies
4K Views
Mkurugenzi Mkuu Dkt. Ayub Rioba anasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzetu, Mwandishi wa Habari Elisha Elia, kilichotokea tarehe 24/10/2020 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, alikokuwa...
16 Reactions
303 Replies
69K Views
Prof. Peter Msaki wa Nuclear physics amefariki dunia jana mchana. Kwa wale waliopitia Physics department Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam wanamjua jinsi alivyokuwa nguli wa fani hiyo
6 Reactions
158 Replies
20K Views
Katibu Mtendaji BASATA bwana Godfrey Mungereza amefariki dunia leo. Katibu mkuu Wizara ya Habari, Tamaduni na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amethibisha habari hii...
1 Reactions
69 Replies
12K Views
Mama mzazi wa Mkuu wa wilaya Jerry Muro amefariki dunia ,mama Ankunda Muro amefariki usiku wa kuamkia leo 24.1.2021 katika hospitali ya Taifa Muhimbili Poleni mkuu Jerry Muro kwa msiba mzito
1 Reactions
64 Replies
41K Views
Back
Top Bottom